Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live

If I were Kinamna or Mape

$
0
0
          True, you can take this to the bank. My crystal ball tells me that Chama Cha Maulaji’s (CCM) Sec. Gen., Abdulaman Kinamna and the head of ideology and hooey, Mapape Ninaye are now a liability. When the duo named mizigo ministers or liability, most goofed that those implicated were finished. Now that their boss Presider Jake Kiquette didn't’t understand their CCM patois as he did when Mapepe took on magamba, maybe, it is their time to hit the road.If I were them, I’d not hit the road but commit suicide if not to join the opposition. How on earth can one advise his boss who tells him raca stay in the same office?   Guys, CCM didn't’t like the way you washed your linens in the agora. 
When CCM’s top dogs barked, boozers were eager to see Kiquette bake mizigo before tossing them in the window.  What a humungous mistake to try to predict the guy who’s always unpredictable! It’s only sheik Ubwawa that’s able to easily predict what Jake’d do next due to the good communication between two actors. After all, they’re all doing abracadabra.
Now that Mizigo have triumphed over cadres, where’ll Kinamna and Ninaye put their faces? Will they bury their heads in the sands and bite the bullet?
To remind you, the mizigo that top dogs named were ministers Dr. Shcool Kawa-dog (Knowledge and Vocational Training), and  the late Bill Ngimua  (Dosh and Economic Affairs)  and Chris Chiiiza (Farming, Yum yum Security and Cooperatives) and  his deputy Adam Milima. Ask Mapepe and Kinamna. Where are these so-called mizigo now? They’re laughing at them. Other mizigo that appeared after the first ones are Prof Annae Kajuamlo Tiba-Ijuka, Hawa wana Ghasia, Bill Luku-vi, Sofi Lion, Steve Wahasira, Makorongo Muhanga, Marry Nyago and others especially those who forged their academic resumes.
Boozers were shocked to see the ever-messing mizigo being retained as they made their headways to ulaji. Who’d risk thinking that above mentioned mizigo’d be retained?   Ironically, when CCM top dogs took on the mizigo many goofed thinking something about getting rid of them would be done little knowing they’re painting the wind. Nope! It is now obvious. Kiquette’s ignored the duo thinking that what they told him was mere umbea. If I were them, I’d throw towel in and find a job of selling tomatoes that’s better than the humiliation the duo experienced. Why have Kinamna and Mapepe allowed themselves to play a second fiddle to Kiquette? Are they too mizigo that can’t pack and go for fear of dying of hunger? Are they accepting boozers’ belief that they’re but jackasses of all trade that can dress themselves down? Njaa nyingine bwana!
Like the most, boozers are now mourning the death of their vitegemezi’s future after Kawa-dog’s been retained in the same ministry to mess a great deal more. He’s now be given a cudgel to destroy the heads of our kids academically. He and Malima have proved to be untouchable. Who can touch the guy who comes from the same place with presider or the boy whose father introduced him to mzee Ruxa who henceforth created him? Kulipana fadhila bwana!
One boozer left us in stitches when he averred that when bwana mkubwa said that his government isn’t a joint venture he meant the opposite. His argument was simple: Look at how suspects of various messes are still in the offices. What’s that apart from being siri kali ya ubia? It is way too foolish to think otherwise as far as ubia-siri-kali’s concerned even by subception or subliminal perception. Call his govt whatever. The guy succeeded in fooling boozers so as to get away with it. Most thought that the guy’s to go under after EPA theft came to light. Nope! Who’d tell the king that he’s naked, his courtiers or the boozers?  Despite running on gas the car can’t stomach a Molotov bomb.
Looking at Kiquette’s theatrics chances are hadn't the mjengoni guys shown four ministers missing in the new cobbled cabinet the door, they’d have been munching as usual just like other mizigo. What made boozers happy is seeing Phil Mulugoo hitting the road. Those who don’t know or remember this guy, it is the guy who said that Tanzania’s the union of Tanganyika and Zimbabwe. It is sad that his boss Kawa-dog‘s been left in the office to fell our education even more.
Now that Kiquette decided to pooh pooh the advice of his party’s top dogs, Will these guys know tow or call it quits? Where’ll they hide their faces? What’ll they tell those they duped that they’d stand for their interests and rights? Now that a bunch of letdown’s proved to be untouchable, what’ll Kinamna and Mapepe do? For men enough, enough is enough. Call it a day in CCM or keep your heads down with indignity and humiliation as you chew a sour part of the apple. Again, if I were you the right thing for me to do was commit suicide or resign from my position and party. It is better to be a butler in this sense than being a cadre in this party.
Source: The Guardian Jan 26, 2014

Kijiwe chastukia CV ya waziri wa njuluku

$
0
0

BAADA ya msanii, sorry, mkuu kufanya vitu vyake, kijiwe nacho kinakuja kufanya vitu vyake. Haikuwa kwenye ajenda ya kijiwe kama si Mpemba kuibua kitu ambacho wengi hawakuwa wamekiona.
Mpemba anaingia akiwa na gazeti la Danganyika Daima. Anatweta kana kwamba kagundua dawa ya ngoma!
Anasema huku akiwa anatweta: “Assalaam alaykum jamia.” Tunajibu kwa pamoja: “Waleikum Salaam shehe.” Anaendelea: “Yakhe mwaona hili balaa?”
Kabla ya kuendelea, Msomi Mkata tamaa anamuuliza: “Yakhe balaa lipi mbona kuna mabalaa mengi kwenye kaya yetu. Lipi hilo lililoongezwa? Hebu tujuze basi utuondoe mshawasha tashwishi na shaka shehe.”
Anakunjua gazeti na kutuonyesha picha ya Waziri wa Njuluku aitwaye Saaada Mkuuuyaaa Saalimu.
Anasema: “Huyu binti mie namjua sana.” kabla ya kuendelea, Mbwa Mwitu anachomekea: “Umjua sana vipi ustaadh?”
Mpemba hajivungi. Anajibu: “Mie nanjua kama mtu mwenye CViii yenye utata. Kwa vile twajua alivozaliwa Kiembe Samaki na makuzi yake leo twaambwa yu msomi kiasi hiki wakati siyo!”
“Hebu Ami eleza uzuri. Una maana huyu bi mkubwa naye ni kihiyo kama wale ambao wamekuwa wakilindwa na mkuu wakidai wana Ma PhD kama yangu wakati ni feki?”
Mpemba anajibu: “Mie huko siendi. Chukua gazeti weye usome mwenyewe CViii yake uamue.” Anampasia gazeti huku kila mmoja akiwa na mshawasha wa kujua kunani.
“Du! Ukiachia mbali usomi wa mashaka, bi mkubwa alivyopandishwa vyeo si bure. Sorry. Hakupandishwa bali alipaishwa! Ama kweli tunaliwa na kila ajaye!” Anamalizia huku akitikisa kichwa kisha anaendelea: “Hili jamani ni bomu tena la uoza kama sikosei. Kumbe kaya yetu inaliwa na vihiyo wakati wasomi tuko vijiweni!”
Mgosi asiyependa neno kuliwa kulisikia tu anaamua kukwanyua mic: “Hata nawe msomi waiwa siyo?”
Msomi anajibu bila masihara: “Kwani wewe huliwi? Nadhani issue hapa si kuliwa ila kuliwa vipi. Maana hata hao wanaowala wenzao nao wanaliwa au vipi?”
“Mgosi mbona inatifumba. Mie nataka nijue kama unaiwa na anayefanya hivyo ni nani?” “Lisirikali finish!”
Mgosi anaonekana kukubali. Anasema: “Kumbe wanaondoa vihiyo na kuweka mihoyo au ni yale yale ya ondoa kihiyo weka mamihiyo?”
Mie naona wameweka wote. Kwani yule mtoto wa jamaa yake mkuu aitwaye Adamu Milima ya Kigoma si kihiyo anayekwenda kusaidiana na huyu mamihiyo anayesema Ami?” Anachomekea Kapende ambaye alikuwa kimya akisoma gazeti.
Mpemba anajibu: “Kwa huyu binti najua kuna ntu nyuma yake. Hana tofauti na yule mama aliyewahi kuwa waziri wa fwedha aliyepelekwa Marekani kipindi fulani aitwaye Aminia Salimu Alii.”
Mbwa Mwitu anadakia: “Huyo mtu anakaa nyuma yake ili iweje? Akiteleza akaanguka si atamuangukia?”
Wakati mambo ya kula na kuliwa yakiendelea, Kanji anajitia mjuaji kutaka okoa jahazi, anasema: “Sasa somi chukua gazeti, hapana sema nini iko. I know this lady iko na elimu ya fedha sana diyo maana tukufu teua yeye.”
“Wambie mwaya, wamezidisha uzushi hawa,” anachomekea Bi. Sofi aka Kanungaembe.
“Wambea tutawajua Bi. Sofi huna haja ya kutukana watu bila sababu,” anajibu Msomi huku akimpasia gazeti Mchunguliaji ambaye ametumbua mimacho utadhani mbwa kaona nyama.
Mipawa ambaye huwa haziivi na Bi. Sofi anaamua kukatua mic baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Anasema: “Hebu wacha niwambiage. Huu mchezo umeota mizizi. Vyuoni tunasikia shahada zikitolewaga kwa rushwa ya ngono. Hata huko nako ni hapa. Hivi hamkumsikia yule muishiwa aliyesemaga kuwa pale mjengoni kila mtu ana mpenzi wake? Mimi naonaga ni hayo hayo hasa ukichukuliaga kuwa ni wale wale.”
Anakunywa kahawa na kuendelea: “Hawa wanaotuitaga wambeya ni wale wale wanaotegemea kubwebwaga na hao hao wabebaji.”
Sofi anamkata mipawa jicho la chuki na kusema: “Taabu ya watu wengine akipata mtu kabebwa. Kwani kosa kubwebwa? Nanyi bebeni wenu mechi droo.”
Mipawa anarejea tena: “Hujakosea kanungaembe. Ila si wote wana tabia za unungaembe. Kwanini kujidhalilishaga kwa ajili ya mambo ya kupita?”
Mzee Maneno naye anaamua kung’ata mic: “Mbona zama za Mchonga upuuzi kama huu haukuwepo?”
Kapende anadandia: “Umemsahau mzee Nchonga nini? Yeye hakupenda mambo ya chini chini wala kuruhusu sirikali yake kufanya hayo. Nani angeona watu wenye kutia shaka wakiteuliwa u-DC kama ilivyo sasa ambapo ukiwaona wengi unajua hapa kimepita kitu?”
“Weweee! Kitu gani hicho na kimepita wapi? Anachomekea Mbwa Mwitu kama kawaida yake.
Mgosi anajibu: “Unauiza jibu. Kinapita hapo hapo kwenye ulaji, unacheza na ulaji nini.”
Baada ya Msomi kuona utani unazidi, anaamua kurejesha mada kwenye mstari. Anachukua gazeti na kusoma: “Hebu tuwe serious. bi mkubwa anasema eti alisomea shahada ya pili bila kutaja chuo. Ajabu eti anasema alipewa cheti badala ya shahada ya pili! Hii inawezekana kweli?”
Mpemba anadandia: “Yakhe hii yawezekana Danganyika tu. Huwaoni wale vihiyo wanaoitwa madaktari wakati ni maamuma watupu?”
“Mie nadhani hata anayewapa ulaji naye ni kihiyo vinginevyo asingefanya hivyo.” Anachomekea Kapende.
“Yakhe washangaa chooni kwanukani!” Mpemba anachomekea huku akiendelea kuangalia picha ya bi mkubwa Saaada kwenye gazeti.
Msomi anaendelea: “Kubwa kuliko pale ni hapa CV yake inaposema eti aliajiriwa mwaka 2006 alikuwa na cheo cha afisa utawala. Huwezi kuamini kuwa ndani ya miaka mitano alishapanda cheo hadi kuwa kamishina wa njuluku wa upande ule! Ama kweli huku ni kupaishwa siyo kupandishwa cheo. Lazima kuwe na namna.”
Mpemba anachomekea: “Si haba bibie nzuri ati. Avutia kiasi cha kuvutia hata vyeo na kuteuliwa haraka haraka.”
“Sasa atakapovutia njuluku msishangae kusikia HEPA nyingine hasa ikizingatiwa kuwa timu aliyonayo inaonekana kuwa hapo kwa ajili hiyo,” anasema Kapende huku akibonyeza iPad yake aliyonunua hivi karibuni kuwakoga wasio nazo. Mambo ni kwenda na wakati.

Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si likapita shangingi la Mwehu juu Nchembe tukaanza kuzomea na kumsahau Bi. Saaada.
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 29, 2014.

Nenda IGP Mwema na mikono iliyojaa damu

$
0
0

INSPEKTA Jenerali wa zamani wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema, amestaafu. Ameacha kiti kinachobubujika damu ya wanyonge.
Ameondoka na mikono iliyojaa damu ya wasio na hatia. Wasio na haki wamemlinda na kumpitisha kimya kimya huku akikabiliwa na tuhuma lukuki za mauaji ya watu wasio na hatia aliopaswa kuwalinda.
Ni ajabu kuwa Mwema ameruhusiwa kustaafu kwa heshima na kufaidi marupurupu na mapochopocho yatokanayo na kodi za wale waliouawa chini ya uongozi wake bila hatia.
Kimsingi hakustahili kufanya hivyo kama historia ya utendaji wake ingetiliwa maanani.
Mwema anaondoka na wingu la kashfa lukuki, moja kubwa ikiwa ni kuzidi kwa mauaji ya raia chini ya uangalizi wake. Ameacha legacy na mfano mbaya wa unyama na ukatili usio na kifani.
Mfano, wengi walidhani Mwema angewajibishwa yalipotokea mauaji mengi ya raia huko Mwanza, Musoma na kwingineko. Lakini hakuwajibishwa.
Hata yalipotokea mauaji ya mwandishi Daud Mwangosi, Septemba 2, 2012, licha ya Mwema kutowajibishwa, hata aliyesimamia mauaji yale, Michael Kamuhanda alipandishwa cheo na kutowajibishwa.
Huu ni ushahidi tosha kuwa Mwema alikuwa akiridhia mauaji yaliyokuwa yakitekelezwa na jeshi lake, huenda chini ya maelekezo yake au wakubwa zake.
Nani mara hii kasahau mauaji ya watu watano kule Arusha kwenye mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mnamo Januari 2011? Nani amesahau utesaji wa Dk. Steven Ulimboka hapo Juni 26, 2012? Nani amesahau hata kusamehe kutekwa na kuteswa kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda hapo Machi 5, 2013?
Hayo ni machache ya matukio ya jinai yaliyotendwa chini ya uangalizi wa Mwema ambaye matendo yake ni tofauti na kinyume na jina lake.
Hapa hatujagusia matukio ya mauaji yaliyotekelezwa na polisi dhidi ya raia mmoja mmoja kama yale yaliyotokea kule Mara Agosti 29, 2012 kwenye mgodi wa Barrick Nyamongo ambako polisi waliwaua watu wawili, Paulo Sarya ( 26) na Rodcers Nyamboroga (18) kwa kuwapiga risasi na mengine mengi kama hayo.
Sasa tunaambiwa Mwema amestaafu na nafasi yake kuchukuliwa na Ernest Mangu ambaye tungependa ajitenge na utendaji wa kinyama kama huu.
Tunapoandika Mwema ni mstaafu anayekula kuku kutokana na marupurupu ya kustaafu ambayo hakustahili kama nchini mwetu mtu angekuwa analipwa kutokana na stahiki yake.
Je, ni wangapi wameumia au kupoteza maisha na hata wapendwa wao chini ya utawala wa Mwema?
Japo Mwema “amestaafu” kwa amani, ameacha nyuma uchafu mkubwa ambao utamlazimu mrithi wake kufanya kazi ya ziada. Ameacha chuki baina ya wananchi na polisi kutokana na vitendo alivyosimamia vya uvunjaji na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini. Ameondoka na mikono iliyojaa damu ya watu wasio na hatia. Mwema analijua hili vizuri.
Jinamizi la mauaji yaliyofanywa chini yake halitamwacha hata kama watawala wenzake wameamua kumkingia kifua na kumstaafisha kwa amani.
Ukiachia mauaji chini ya Mwema, Jeshi la Polisi lilipata pigo jingine kwa kuwa na sifa ya kuwa kiranja wa rushwa nchini.
Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu cha Dar es Salaam (LHRC) ya mwaka 2011, iliyozinduliwa Mei 28, 2012, Jeshi la Polisi lilikuwa ndiyo kinara wa rushwa nchini.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, polisi wanaongoza kwa rushwa kwa asilimia 36.2, wakifuatiwa na mahakama asilimia 32.4, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) asilimia 15.1, hospitali asilimia 8.6, na Wizara ya Ardhi imepewa asilimia 5.3.
Si hilo tu. Polisi wamekuwa wakitajwa kwenye vitendo vingi vya jinai kama vile kushiriki ujambazi, ujangili na jinai nyingine. Rejea kukamatwa hapo Januari 6, 2013 kwa askari David Delina na Gerald Tuti wakitorosha pembe za ndovu.
Japo kila tukio chini ya jua lina funzo, tunajifunza jambo moja toka kwa Mwema kuwa hakuwa mwema kama jina lake.
Tunajifunza kuwa mfumo wetu wa kulindana unazidi kutukwamisha kiasi cha kuwaruzuku watu wanaopaswa kuwa mbele ya mahakama kujibu madai ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu kama ilivyo kwenye sakata la Mwema.
Tunaweza kukubali kuzidiwa nguvu na wenye nguvu. Tunaweza kusamehe hata kwa kulazimika, lakini hatutasahau wala kushangilia wala kushabikia uoza na uovu huu.
Nenda Mwena japo bado kuna maswali mengi kuhusiana na mustakabali wako na utendaji wako. Unaweza kujiridhisha kuwa umestaafu ukiwa huna hatia mbele ya sheria, mioyoni mwa waathirika wengi wewe ni mtu wa kupaswa kushtakiwa.
Laiti ungewajibishwa hata kwa kulazimishwa kujiuzulu kama wengi walivyotaka, hasa baada ya kugundulika madudu ya uvunjwaji na ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili sambamba na mawaziri husika, lakini haikuwa haikuwa hivyo.
Hata hivyo, binadamu ni nini? Tutazidi kuomba Mwenyezi Mungu asiyependelea atende haki kwa niaba ya waathirika. Tunawaombea waathirika wa kazi ya mikono yako nafuu toka kwa Mwenyezi Mungu tunayemkabidhi kesi yao baada ya wenye madaraka wenzio kutuhujumu kwa kukulinda kana kwamba ulikuwa ukiamrisha mauaji ya kuku.
Kwa ufupi ni kwamba Mwema kaa ukijua kuwa umeondoka na mikono iliyojaa damu ya watu wasio na hatia. Hata huyo anayerithi nafasi yako anapaswa aipige deki sana ofisi hiyo na kubadili kiti chako kilicholoa kwa damu ya watu wetu.
Nenda Mwema na legacy ya mauaji na uvunjaji wa haki za binadamu. Sina la ziada la kusema zaidi ya kuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu awalipie wahanga wako.
Yeye ni mwema na mwenye kutenda haki. Sina shaka haki itatendeka kwako kama ilivyotendeka kwa mtangulizi wako aliyestaafu na kuishia kukumbwa na kashfa moja baada ya nyingine.

Isipokuwa basi tutajifariji kwa maneno ya Marcus Tullius Cicero, mwanafalsafa wa Kirumi aliyesema; “Amicitiae nostrae memoriam spero sempiternam fore – Nataraji kumbukumbu za marafiki zetu zitaishi milele. Namalizia, Juu ya uovu wako.
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 29, 2014.

Kibonzo hiki kimenikumbusha ajali niliyopata

$
0
0

Miaka kama mitatu iliyopita nilinusurika ajali ambayo ilifanana kidogo na hii. Hivyo kibonzo hiki kimenirudisha nyuma miaka mitatu kiasi cha kunikumbusha kuwa nimshukuru Mungu zaidi kwa kunipa salio zaidi vinginevyo ningekuwa past tense.
 Hii chini ni ajali yenyewe.

Urais: Tuwakatae watoto wa vigogo

$
0
0
 
          Taarifa ambazo hazijakanushwa naibu waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Yusuf Makamba anajipigia debe kugombea urais haziwezi kupita bila kujdaliwa. Taarifa zilizokaririwa na vyombo mbali mbali ni kwamba Makamba ana mpango wa kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao wa 2015. Wengi wanajiuliza Makamba ana sifa gani zaidi ya jina la baba yake ambalo nalo linahusishwa na ufisadi, kujuana, kurithishana madaraka na propaganda tu? Kwa umri alionao na historia yake ya kuingia kwenye siasa kupitia mgongo wa baba yake, sijui kama January ana jingine la mno. Je watanzania wataendelea kubariki utawala wa kifamilia ambapo kila anayepata nafasi serikalini uhakikisha anamrithisha mtoto wake au jamaa yake? Hii ni jinai hata kama imezoeleka na kuanza kukubalika. Hii ni hujuma kwa watanzania wasio na majina makubwa wala mjomba wa kuwabeba ili waingie katika ulaji wa kula kwa mikono miwili tena bila kunawa wala kuona aibu. Ni aina mpya ya ufisadi wa kimfumo inayolenga kuiteka nchi na kuigeuza shamba la bibi la baadhi ya koo zenye majina makubwa.
          Hii si mara ya kwanza wala ya mwisho kuongelea suala hili. Leo utasikia akitajwa Makamba. Kesho utasikia Nchimbi. Kesho kutwa utasikia akitajwa Mwinyi na kadhalika. Namna hii nchi haiwezi kuendelea kwa vile wahusika wanajuana na kulindana ukiachia mbali kulipana fadhila. Tusiruhusu Tanzania kufikia kuwa nchi ya hovyo kama zile ambapo rais anamteua mkewe kuwa waziri huku akimuandaa mwanae kumrithi.  Tuondokane na taifa ambalo kila aliye karibu na mkubwa naye ni mkubwa.
          Je watanzania wataingia mkenge kama Kenya ambao walichagua jina la mwanzilishi wa taifa hilo kwa sababu ya kikabila? Je Makamba anataka kuingia kwenye orodha ya watoto wa vigogo waliopata madaraka simply because baba zao walikuwa wazito kama vile Aman Abeid Karume, Ian Khama, Faure Gnassingbe Eyadema (Togo), Joseph Laurent Kabila (DRC) na Ali Omar Bongo (Gabon).
          Je Makamba hajaridhika na ulaji kwenye kundi lake la wateule watoto wa vigogo la akina Emanuel John Nchimbi, Dk. Husein Ali Hassan Mwinyi, Adam Malima, Mbaraka Abudulwakil,Vita Kawawa, na Zainab Kawawa ukiachia wale waliotamalaki kwenye balozi zetu huko nje?
          Hapa hujawataja wakuu au waliowahi kuwa wakuu wa wilaya watokanao na koo za vigogo kama vile Gerald J. Guninita,Paul Mzindakaya,Festo Kiswaga, Khanifa M. Karamagi, Husna Mwilima, John V. K. Mongella, John B. Henjewele, na Agnes Hokororo.
          Hata ukienda kwenye ofisi nyingine za ulaji wapo kama vile Dk. Hawa Rashidi Kawawa (Mganga Mkuu Msaidizi wa Jiji la Dar es Salaam), Dk. Guni Kate Kamba (Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni), Dk. Asha Omar Mahita – (Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala) na Dk. Amani Kighoma Malima (Mganga Mfadhiwi wa Hospitali ya Temeke).
Ndani ya CCM wapo Ridhiwan Kikwete, Dickson Membe, Freddy Lowassa, Ashura Hussein Mwinyi, Ben Samuel Sitta, Deborah Mwandosya, Irene Pinda, Felister Ndugai, Christopher Ndejembi, Sharifa Bilal, Hawa Kigoda, Judith Mukama, Jerome Msekwa, Mboni Mhita na wengine wengi.
Benki kuu nako hawakosi. Wapo wakihomola na kulinda maslahi fichi ya baba zao. Wapo Salama Ali Hassan Mwinyi, Filbert Tluway Sumaye, Zaria Rashid Kawawa, Blasia William Mkapa, Jerriet Marten Lumbanga, Pamela Edward Lowassa, Rachel Muganda mtoto wa mke wa Daudi Balali aliyeliingiza taifa hasara ya mabilioni ya EPA na aliyekuwa gavana wa Benki Kuu,Salma Omary Mahita,Justine Mungai,Kenneth Nchimbi,Violet Philemon Luhanjo,Liku Kate Kamba,Thomas Mongela na Jabir Abdallah Kigoda. Ni uroho na roho mbaya kiasi gani? Hapa hatujataja walioko kwenye taasisi nyeti kama vile TRA, Ubalozini, Mambo ya Nchi za Nje, Viwanda, Hazina, Uhamiaji, Mizani, na kwingineko kwenhye maslahi manono. Kimsingi, kinachofanyika, ni kwa watawala wa sasa na waliopita kuwaandalia watoto wao na jamaa zao kuendelea kutawala hata baada ya wao kuondoka. Hapa ndipo utawala wa kifalme usio rasmi na kuwalindana unapotengenezwa mchana kweupe huku watanzania wakiendelea kuwaamini kuwa wapo kuwakomboa wasijue wapo kuwakomoa na kujikomboa wao binafsi na koo zao. Huwezi kuwa na kujuana kwa namna hii ukashindwa kuwa nchi ya kifisadi nay a kiukoo (nepotic and clannish country). Huwezi kuliepuka hili hata kidogo.
 Nadhani watanzania wamechoka na utawala wa kurithishana iwe ni serikalini au chamanni. Je hawa watoto wasio na majina mazito watatawala lini nao? Je Tanzania ni nchi ya kifalme chini ya ufalme wa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi na serikali yake? Tufikie mahali tuambiane ukweli kuwa kuna haja ya kuwakataa watoto wa vigogo ambao kimsingi wanataka kuendeleza utawala wa familia na mawazo mgando yale yale na sera za kujuana na kulipana fadhila.
          Japo Makamba kama mtanzania yeyote anayo haki ya kugombea uongozi ngazi yoyote, ukiangalia historia na uzoefu wake, unashangaa sifa atazipata wapi zaidi ya jina la baba yake.  Ukiangalia hata jinsi alivyopata elimu yake ya sekondari kuna mazabe. Ningependa kusikia siku moja akijitetea kuhusiana na tuhuma kuwa alinunua jina la mchovu ili kuweza kusoma kidato cha tano na sita. Kama ni kweli alifanya hivi, huyu anaweza kufaa kuwa rais? Akipata urais atawanunua wangapi? Bahati mbaya watawala wetu wanapokabiliwa na kashfa na tuhuma kama hizi huwa wanakaa kimya ili zijifie wasijue kuna watu wasiosahau.
          Tuhitimishe kwa kuwashauri watanzania kuwa macho na watu wanaotumia majina ya baba au mama zao kuusaka uongozi. Tuwafichue, kuwazodoa na kuwaambia fika kuwa hawatufai. Kama wanafaa basi wanafaa kuondolewa kwenye nyadhifa walizozipata kutokana na ukubwa wa majina ya wazazi wao au mitandao ya kujuana ya kiulaji iliyotamalaki nchini. Inatosha basi kumwambia mtu kama Makamba kuwa hana sifa za kuweza kugombea achia mbali kuwa rais wa Tanzania. Walichokula kinatosha. Tuwaachie wengine wenye uchungu na uwezo wasimame lakini si wachovu wanaojificha nyuma ya umaarufu na mitandao ya wazazi wao.

Mkuya’s and Malima’s CVs smell fishy

$
0
0


 
Reading the Curricula Vitae for the newly appointed minister of Dosh, Saadia Mkuya Salimu and her deputy Adam Milima boozers smelt something fishy. I could see how they snooked after reading these CVs.  For these CVs beg many more questions than answers so to speak. What isn't clear, however, is whether the problem is the CVs themselves or the way they’re written. Looking at the inputs in the said CVs, there’s something giddy.
Essentially, the CV is a reception to our academic lives. Thus, writing it needs much care to see to it that it is written professionally and logically.  All details included in the CV are checked and crosschecked again and again to make sure that everything is spiffy. True, writing a CV can prove to be a challenge when the said CV has some fake or far-fetched items or if it is written by unqualified person. Indeed what the CV says tells the readers who the writer is academically. For, it speaks volume. It also unearths what is intended to be hidden. There are some questions that Mkuya, for instance, needs to answer in order to shun the doubts that her CV creates. Notably, among those five years from being a mere office to a commissioner of finance, two or three years namely 2008-2010) were spent on her “masters” degree which she obtained from unmentioned school. Why didn't she mention the school from which the acquired her master degree? May be the school is tired of publicity. Who knows? It doesn't want to be bugged maybe.
Now let’s delve into these two CVs commencing with Mkuya’s
Mkuya’s CVs indicates that she’s employed by Zanzibar Treasurer as an officer in 2003 the position she held up till 2006 when she became an administrative office. This is normal. What raises eyebrows is how Mkuya’s able to jump up to being appointed the commission of Finance (Zanzibar) in 2011 just after five years-it is too good to be true.  Wait. This isn't the end of this stunning story though. After obtaining her masters, in 2012, Mkuya’s appointed a Member of Parliament by President Jakaya Kikwete who went ahead appointing her deputy minister of Finance in the union government. Before long, Mkuya was appointed minister of dosh after the death of her boss. What a flying lady as far as promotions are concerned. Huyu si mtu wa kawaida. If she’s then there must be a very powerful Godfather if not a sponsor. This is Bongo. Who cares?
Going back to Mkuya’s CV it indicates that from 1997 to 1999 she studied for a Diploma in Business at, once again, the unmentioned school. As of 2000 to 2002 Mkuya studied for the second master degree from undisclosed school. Interestingly, Mkuya’s CV does indicate as to when she got her first degree which means she was doing master degree without having an undergraduate degree! Ironically, even after completing her “second degree” Mkuya was awarded a certificate but not a degree! Is this possible? Maybe it only possible in Danganyika where ministers can be accused of forgery and still be appointed not to mention those who mess the ministry of education so as to be referred to as Mizigo. Despite all such goo, the guys are appointed so that they can mess even more.
 After briefly serving Mkuya’s CV let’s peep in Malima’s
Malima’s CV is as interesting just like that of his boss is. For it indicates that Malima completed Form four in 1982. Thereafter, in 1983 Malima went to Cuba to study for master degree even before completing advanced secondary school. It only is possible for an extra genius to jump from ordinary Level to masters! Again, this is only possible in Bongolalaland where curiosity is a very foreign term as far as sieving employees or public officers. What matters is not how much one is educated by how much one is connected. If you are not connected even if you have a very strong PhD you are as good as an illiterate compared to a connected illiterate.
Yo-ho-ho!  Just like his boss, Malima’s “two master degrees”!  Interestingly, after obtaining MSc (Economics) from the university of Hauana not Havana in 1989, Malima went ahead and obtained the same degree namely MSC (Econ) from the University of London (SOAS) in 1995. Why did he study the same degree twice whereas master’s programs are flexible so as to allow a person to do masters in other areas? Who knows? Again, what Malima did is intriguing academically.
Boozers didn't show any mistrust when Malima’s appointed deputy minister of dosh just like they did for Lam Michembe. However, if Malima and Mkuya are not well cooked academically, boozers worries that dosh will be scooped for next uchakachuaji are reasonable. For, the guy the doubt will use this weakness to do his things. Maybe those who appointed the trio knew what they’re doing as far as raising money for another EPA-like exercise is concerned.
In sum, let it be said loudly that Mkuya’s and Malima’s are wanting. They've, if it were law, what we call lacunae. Without answering above-posed questions, boozers won’t differentiate them from other forgers.
Source: Business Times Jan., 31, 2014.

Hii ya Masoud kwa Mkuya nimeipenda

$
0
0


Chanzo: Mwananchi Jan., 31, 2014.

Source: The Guardian IPP Jan., 31, 2014.

This is why I adore Danganyikans and boozers

$
0
0

lowasa 47b14
When the good govt that doesn't pay its energy bills hiked power at the tune of 40%, I wrong thought that there’d be some sparks either from the boozers or power generators. Nay! Nothing did happen. I wrongly thought that I’d see some offended paupers taking to the streets at least to tell the world they oppose what’s going on.  Nope!
Whenever power hike occurs everything goes up from daladala to mbavu za dog.  Everybody’ll use what’s possible to top up. Teachers will tell pupils that if they don’t attend their tuition they must expect to fail. Nurses, too, will charge patients not to mention bartenders who, of course, will beg like crazy. Dada poa, too, will increase the prices of their sins. Small houses, too, will hike their services. Truly, all aspects of life will haunt you. While all this menace’s going on, opposition politicians drop the bombshell that the national debt is skyrocketing waiting for you or the next generations to pay it. Before long, the high and mighty in ulaji pointlessly and carelessly will increase their matanuzi knowing that their cash cow, you’ll foot their bill. As if isn't enough, investakers will increase tax evasion on top of many and long tax holidays they always enjoy. As you weigh what to do, Mr Sossie Muhongo the minister of gas drops another bombshell that the gas is for foreigners not locals. Petrol prices swell as the electricity price surges.
I didn't know.  Our sheepish boozers and Danganyika are smarter than I wrongly thought!  Guess what. When you hike power tariffs and prices, they increase illegal connections. They gang up with vishoka and vijembe who illegally and covertly and overtly connect power to the houses.  Who knew that even big factories schools and other ventures could connect power illegally? St Mary’s are you there? They say: Ngoma droo. You think you can take them for the ride little knowingly they beat long before.
Before knowing how Bongo’s ran I goofed. I used to look down at our boozers. I likened them with sheep that can be slaughtered at the will of a shepherd be it in the church or in the barn. Now I know. I was terribly wrong. Boozers are smarter than I am.  Bongolalalanders remind of Samuel Butler’s quote that says,“The truest characters of ignorance are vanity, and pride and arrogance.” Don’t take this serious. For, it is my kanywaji transliteration. Importantly, the point is: We’re pretending to know while we actually cause our own calamity by not acting promptly timely and decisively especially when some goons and swindlers take us for a ride.
Sometimes, fake smartness is ignorance and stupidity altogether. Shall this become the order of the day as it’s always seems to be, when are we to forge ahead just like others? Whom are we punishing? True, we’re but ruining and punishing our coming generations that’ll one day urinate on our graves for being mediocre and stupid. Despite all this megalomania and insanity, I truly love our boozers and the way they commit suttee in the name of being smart.
I still ask myself. How can small hunks such as Burundi, Kenya and Rwanda have reasonable price and reliable supply of electricity in spite of having no reliable sources while we who've them don’t?  What’s a miss? Did you hear how students of University of Nairobi took to street when there occurred power cuts just for a short while?
Again, who cares if at all this is the hunk of the smarter? Bongo ya wajanja hata kama mafala. If you want to know what I mean, just ask yourself. The guy works 365 days a year and his salary can’t buy even a quarter of his needs. Yet, the same guy builds a mansion not to mention enrolling his kids in academics that hike education as well. Wait. The wife of the same guy is always donned in gold and all expensive wiwalo. Nobody questions all this science! Surprise! surprise! You can find that the same guy might have one or two nyumba ndogo and other loss-making ventures such as getting kanywaji every weekend where fat offers are generously made to one or two people. Wait. You can find that the same punk’s a very nourished account not to mention another villa in his village and the oil guzzler. Does this click for you?
 Have you forgotten how artistes are becoming tycoons overnight simply because they use art to deal with drugs? Again, this isn't my take. This is what I hear in the streets of Bongo that nary become bankrupt of rumours and gossips. Faint not my friend. This is Bongo where Bongolalalanders live and do their things. You know them. You can easily and truly see them through yourself. Au vipi? What have you done to stop or erase the injustice of hiking power and other essentials? Aren't you one of them? Include me not. I’m doing my part by telling you the same things you’re supposed to know but you don’t. Why? Hayanihusu is the tendency of everybody. Martin Luther Jr once said, “Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and consciencious stupidity.”
Source: The Guardian Feb., 2, 2014.

Kweli Jogoo alifundisha vifaranga “kupuu” ndani!

$
0
0
Baada ya kichwa ngumu mkulu mwenyewe kuwashiti akinakiherehere Andalaman Kinamna na Mape Mapepe Ninaye waliowaita wateule wake mizigo, ametoa mpya.  Si amerejesha mizigo na migushi hasa pale alipowapandisha ulaji walaji ambao CVs zao zinaonyesha walivyo vihiyo walioghushi. Hapa ni kama vile matapeli wawili wametosana. Kwanini kuwatumia walevi kupata sifa? Nadhani hawa nao, kama vibinti vya shule za msingi vinavyopachikwa mimba, wameponzwa na kiherehere chao. Hakika kilichotokea ni sawa na kuruka mkojo na kukalia na si kukanyaga manonihino. Ama kweli jogoo aliwafundisha vifaranga kunya ndani! Sijui inaleta picha gani inapotokea yule mliyedhani atalinda maslahi yenu anapokuwa mstari wa mbele, kwa mfano, kuwakingia kifua majambazi, vibaka na waharifu kila aina? Msitu ule ule na nyani wale wale. Kinachogomba ni wale wanaofanya makosa ya kuwaamini wakidhani wana jipya wakati waliishiwa miaka mingi iliyopita tangu aondoke mzee Nchonga.
Kutokana na mlevi kusoma sana somo la Research Methods, aliamua kufanya kile ambacho akina Edward Snowden na Julian Assange huita udukuzi. I decided to bug some new appointed ministers particuluraly Saidia Mkuya Salimu na Naibu wake aitwaye Adam Kigoma Milima. Lolololooooo! Niliyogundua ni makubwa God knows. Bahati nzuri wakati nikifanya ugunduzi na udukuzi huu sikuwa nimevuta wala kupata kanywaji. Nilikuwa mzima na timamu kiakili hata kimwili na kiroho. Ndiyo nilikuwa natoka gymn kutunisha misuli baada ya kutoka kwenye tambiko ambako nako nilikwenda baada ya kuandika article moja kwa ajili ya jarida moja la walevi la ulimwengu kuhusu jinsi wakubwa wanavyoweza kubebana na kufichiana uoza wao.
Kwa vile nilikuwa naandika kuhusu uoza wa wakubwa uchwara, niliamua kutembelea wavuti wa mjengo wa Jamhuri ya Mgongano wa Danganyika na kupata haya madudu. Leo nitacheza na Mkuiya na Milima. Hata hivyo, ifahamike. Wawili hawa ni kile ambacho wakameruni huita typical replica ya kile kinachoendelea kwenye kaya ya Danganyika.  Hakuna kitu kimebarikiwa na kuhalalishwa kama kughushi kwenye kaya hii. Warning, kughushi ni halali kwa vigogo si kwa fito na wachovu. Ukiwa ni kigogo na mzito unaweza kughushi utakavyo hata vitegemezi vyako. Hii ndiyo maana kuna uwezekano wa Milima kughushi na hakuna anayemgusa kwa vile dingi wake alikuwa kizito wa wizara ya njuluku.  Kuna ubaya gani akirithishwa wizara ya baba yake? Laiti wizara hiyo ingebadilishwa jina ikaitwa wizara ya Milima ya Fwedha. Maana kuna kakurithishana fulani. Usishangae dokta Hossein Muinyi siku moja akataka arithishwe ikuu ya dingi wake. Bado mlevi anafanya kazi ya ziada kujua huyu Mkuiya anabebwa na kupaishwa kwenye ulaji kwa sababu ya nini. Hajajua kama ni kitegemezi au kishikaji au kilaji cha kigogo fulani.
Mambo ya vigogo na vishikaji na vilaji na vitegemezi vyao tuyaache. Tuangalie kinachotarajiwa kufuata. Kwa kitaalamu nasema what I am going to do is predict what forgerers and the agents of ruining outfit will do in the ministry of dosh and njuluku.
 Tumeishaonyesha kuwa mkuu wa wizara na naibu wake wa njuluku ni vihiyo. Hivyo, huyu naibu wa sera za ukwapuaji aitwaye Mwehujuu Lameeeki Michemba atakachofanya ni kutumia hawa vihiyo kuchomoa njuluku kwa ajili ya uchakachuaji ujao. Nadhani yote hii itafanyika ili kupatikana kiraka kingine kitakachofunika madhambi ya majamba wazi makubwa yatakayoondoka. Mara hii mmesahau jambazi wa Kiwila na nkewe, vivyele na mashoga zake bila kusahau bi mkubwa Annae Tamaa Makapi wa Makapu? Unadhani waasisi na wanufaika wa HEPA wataepa vipi lupango kama siyo kuwawezesha majambawazi wengine ili wawalinde kama walivyomlinda Tunituni Ben Denjaman Makapu? Are you thither guys? Mnaliwa mnajiona msipoamka. Mliwe hadi wapi na lini ndipo msituke Yarabini?
Hebu twende kwenye mada ya mizigo na migushi. Mizigo ishatua kwenye ulaji na hakuna anayeigusa. Hata wale akina Mapepe walioifichua sasa wanaitetea wakijifanya hawakueleweka kama wakati ule waliposhupalia magamba wakaishia kugeuka magamba wenyewe kama ambavyo wamegeuka mizigo huku mizigo yenyewe ikipeta na kutesa. Hamkumsikia Silvia Rweyependekezamu akisema kuwa tuache kupiga kelele kwa vile bosi wake ameishatimiza wajibu wake wa kutubebesha mizigo? Hamkumsikia akiongea kama vile hana akili nzuri. Ungemwangalia usoni huyu Rweye……mu alivyokuwa akitoa jasho na povu, unagundua kuwa naye haamini alichokuwa akisema. Sema njaa ndiyo ilikuwa ikimsukuma atetee upuuzi na mizigo. Huyo tushamzoea aliyesaliti taaluma yake akageuka nepi ya jamaa.
Niliposoma CVs za hawa vilaza sorry waishiwa sorry wahishimiwa niligundua kitu kimoja. Mkuiya anasema ana masters mbili lakini hana bachela wala haelezei alipozipata hizi mastaz! Ni Bongolalaland pekee ambapo mtu anaweza kunyaka masters wakati hata hiyo bachela hana. Nani angeamini kuwa Milima aliweza kutoka darasa la 12, tena failure, akaweza kufanya masters? Tembelea wavuti wa mjengoni uone utapeli na upuuzi vya kitoto hadi ulewe bila kunywa wala kuvuta. Nimeyaona mengi huko.  Kuna watu wamepewa ulaji wakati hawana chochote zaidi ya kujishebedua kwa wakubwa wenye uchu wa nyuchi na mambo mengine kama hayo.
CV nyingine iliyoniacha hoi ni ya huyu mwingine ambaye nilim-bug, yaani mgosi toka Zenj daktari Hossein Muinyi anayedai ana PhD ya madawa na kukuta kumbe ni mtupu. Maana kwenye maandiko ya kisomi wala hana hata moja zaidi yay ale yanayomnukuu akiwa waziri wa afya. Mpaka leo sijaamini kama kweli mtu mwenye PhD ya kweli asiwe na andiko hata moja la kisomi.Huyu jamaa si ndiye alisababisha milipuko kule Mgongo wa Mboto? Sasa anarejeshwa kwenye ujeshi ili kuua wengine zaidi siyo?  Utapeli mwingine wa kitoto God knows.
Funga kazi ni kuteuliwa kwa kasuku mmoja toka Dodoma aitwaye Ju-ma Mkamiawaandishi na mtuhumiwa wa rushwa toka serikali za mitaa aitwaye Erasto Dhambi. Huyu ana madhambi God knows. Mwenzie waliyekuwa wakiomba rushwa pamoja anasota akingojea hukumu wakati yeye akipewa ulaji! Ama kweli jogoo aliwafunza vifaranga kupuuu ndani!
Chanzo: Nipashe Jumamosi fEB. 1, 2014.

Iwe Rwiyemaaamu unafwikiri tutaacha kujadili mizigo?

$
0
0


BAADA ya juzi kujadili CV ya Saaada Mkuuuya Saalimu, kijiwe kilipata salamu toka kwa mtu wake wa karibu akiomba tumhifadhi. Nasi tuliwatuma wamwambie kuwa kazi yetu si nepi wala gagulo kumhifadhi mtu.
Tutamfichua yoyote atakayetaka kutuhujumu kama jamii. Ndiyo maana wanakijiwe huwa hatuna simile na yeyote.
Leo hii kijiwe kimeamua kumshukia fisadi mmoja wa kimawazo aitwaye Silva Rwiyependekezamu. Ambaye kwa ufupi huitwa Rwiye.
Naona mgosi Machungi anaingia akiwa na ndita usoni. Si bure lazima kuna jambo, tena kubwa limemuudhi.
Anatuamkua: “Asaaam aikum wagosi.” Tunaitikia: “Wa leykum ssalaam.”
Mbwamwitu anachokoza kwa kujibu: “Alaina wa Alaikum.” Mgosi anamdharau wala hampuyukii.
Msomi Mkatatamaa anauliza: “Mgosi mbona umekunja ndita kunani ndugu yangu?”
Mgosi anajibu: “Leo nina hasia ya kuua mtu. Hivi ukumisikia yue kanjanja Saiva Rwiyemaaaamu akisema eti tisiongee mizigo ya bosi wake aiyotutwisha kana kwamba hatiumii!”
“Alaa kumbe unaongelea huyu msaliti na mchumia tumbo anayefanya kazi ya unepi kwa jamaa! Huyo nshamdharau miaka mingi. Tangu lini mtu anayefikiri kwa utumbo akawa na mantiki Mgosi?”
Mpemba anakwangua Mic: “Yakhe huyu jamaa nshenzi sana. Hajui kuwa kulalamika ni haki yetu kikatiba? Basi aambwe na afahamu kuwa hatutaomba ruhusa mtu wala nani.”
Kapende anaidaka mic hata kabla ya Mpemba kuitua na kuzoza: “Huyu jamaa mpuuzi kweli kweli. Yaani hata kama mizigo inaendelea kutuelemea na kutunukia tusilalamike? Au hawa ni kwa vile nao ni mizigo ndiyo maana wanatetea mizigo kwa vile hawajui ilivyo mizito? Akome na akomae hata kama amekataa kukua.”
Mijjinga naye hajivungi. Anakatua mic: “Beng’we hili li Rweyependekezamu lingenyamazaga kabla hatujalitia makofi. Jitu limeishiwa God knows. Huwa nadharau jitu linalosaliti taaluma yake na kwenda kuendekeza njaa hadi linageuzwaga nepi.”
Mzee Kidevu anamnong’oneza mzee Maneno kuhusu Mijjinga anavyobukanya Kikameruni.
Naye Mijjinga kagundua na kuendelea: “I swear to God. One day I will nyonga somebody.”
Kijiwe hakina mbavu jinsi Mijjinga anavyochanganya Kikameruni na Kiswahili.
Mbwamwitu anaamua kuingilia kwa utani. “Mzee Mijjinga naona ng’eng’e lako la mama haswa.”
“Ulikuwa hujuagi kuwa mimi naongea Queen English! Basi nimeamua kuchanganyaga ili wote wajue. Kama huyu mzushi aliyetaka kututisha aliongea Ukameruni kwanini sisi tusimjibu akajua tunajua kuliko anavyojua?” Anajibu Mijjinga huku akijifagilia.
Kanji anajitia urweyependekezamu naye.  Anasema: “Mimi jua ili bana iko soma Britain na naongea good English.”
Mzee Maneno anaamua kukwanyua mic: “Tushazoea mawazo yenu mgando. Mbona Wachina hawaongei hiyo guudu ingilishi na bado wanaendelea?”
Kanji hajivungi, anakwanyua mic na kuchonga: “Veve iko compare Chinese na Danganyika. Acha tani bwana. Chinese iko viumbe ya juu sana.”
“Kanji acha ubaguzi wa kipumbavu. Baada ya kusema China iko viumbe ya juu utasema gabacholi iko viumbe ya juu pia kwa sababu iko kuja hapa honga mizi kuba yetu pata tenda hata pesa ya EPA.”
“My friend hapana mimi pumbaf wala shiriki iba pesa ya EPA. Hata ile Hindi naachiwa na tukufu juzi siyo dugu yangu. Dugu yangu nyinyi hapa.”
Kijiwe hakina mbavu Kanji anavyotaka kutuhadaa kuwa sote ni dugu wakati dugu yake ni fisadi yenye daraka.
Bi. Sofi Kanungaemba lazima ampe tafu mshikaji wake Kanji. Anakwanyua mic na kuzoza: “Kanji wapashe wapashike. Wanaosema kuwa mheshimiwa Silva hajui kimombo wana vichaa. Angekuwa hakijui angepewa usemaji wa Kurungezi?”
“Sofi umeingiliwaga na nini dada yangu? Mimi nilimsikia akibukanya na kuchanganya kiswangilish akisema eti kaya inapaswa ku-move forward. Hii ina maana gani? Bosi wake mwenyewe hakimanyi kama Nchonga itakuwa yeye?”
Msomi anagundua kuwa maongezi yanaanza kuhama toka kwenye mada kwenda kwenye kujadili watu. Anakunywa kahawa yake na kunyoosha vidole vyake na kusema: “Waingereza husema, healthy minds discuss philosophy. Sick minds discuss personalities. Yaani akili zenye afya huongelea falsafa na masuala. Akili zilizougua hujadili watu. Nasi tusijadili huyu Rwiyemaaamu bali alichosema ambacho ni kutaka kutunyamazisha.”
Kabla ya kuendelea Mpemba anadakia: “Yakhe hapo nimekupata uzuri. Ndiyo, twapaswa ongelea masaala badala ya huyu kidhabu ati.”
Mgosi Machungi anakwanyua mic na kulonga: “Tikubaiane. Huyu Weyependekeza azima ajipendekeze ndipo mkono uende kinywani. Muhimu timwambie hata bosi wake aliyetitwisha mizigo yake kuwa hatinyamazishwi na hatiogopi mtu. Kwani mbwai mbwai bwana?”
Kapende anadandia: “Hakuna huyu mpuuzi aliniacha hoi kusema eti tuache mjadala ili kuwapa nafasi mizigo kuchapa kazi. Wachape kazi gani wakati waliishaivuruga miaka mingi? Mie nawaonea huruma akina Kinamna na Mapepe Ninaye waliotaka kutumia mizigo kuimarisha chama wasijue bosi wao atakifumua.”
“Mie naona Rweyependekezamu hajakosea ati. kama yeye yu nzigo twambeba kwanini asitake tubebe na wenzake kama yeye? Bila shaka haya ndiyo mantwiki alotumia bosi wake kurejesha mizigo ili tubebe. Kwani tukishabeba mizigo hatuwezi jikomboa hata kidogo kwa vile yatuelemea na kutuumiza ati.”
“Ami hujakosea. Hukusikia akisema eti kama rahisi ameona wanafaa basi nasi tuwaone hivyo. Kwani sisi hatuna akili hadi tuamuliwe na mtu ambaye naye ni mzigo kama hao anaowatetea? Maana Waingereza, samahani leo nitatumia maneno ya Kiingereza, husema, show me your friends I will tell you who you are. Au tuseme Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba. Hivyo, huyu mchumia tumbo ni wa kudharauliwa na kuendeleza mjadala. Kwani kaya hii ni ya rahisi na mizigo yake au wachovu?”
“Msomi nakuunga mkono sana. Sisi ndiyo tinaipa kodi wanayotumia kutanua. Hii kaya ni yetu wala si ya mkuu wala mizigo. Tina haki ya kumijadii yeyote hata kama ni mkubwa.”

Kijiwe kikiwa ndiyo kinachangamka si likakatiza gari la Rweyependekeza. Kila mtu alizoa mitope na kulimwagia huku tukimzomea hadi akatimka huku akiwa anatetemeka kama aliyevamiwa na homa ya ghafla. Ole wake! Siku tukimpata tutamfanya kitu mbaya.
Chanzo: Tanzania Daima Feb 5, 2014.

Article 0

$
0
0

YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe.
Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia yake kisiasa.
Ukiangalia uzito wa hali ya mpapariko na mparaganyiko aliyomo Kabwe, unashawishika kuandika tanzia. Hata hivyo, siandiki hii tanzia. Wengine watafanya hivyo.
Leo nitaongelea mgogoro wa CHADEMA. Rejea kile kilichoitwa Waraka wa Kuhujumu Chama wa Kitila – Zitto – Mwigamba. Sitaki kudurusu kesi iliyoko mahakamani kama ilivyofunguliwa na Kabwe kwa vile naheshimu mahakama sana.
Ninachoweza kusema ni kwamba ubunge wa Kabwe kwa sasa unatokana na mahakama na si chama chake. Hivyo, punde si punde, Kabwe atakuwa historia ndani ya CHADEMA na sasa nyingine kwenye duru za kisiasa nchini, vinginevyo itokee miujiza.
Wengi wanahoji Kabwe atakwenda wapi baada ya kutimuliwa toka CHADEMA? Nadhani Ansbert Ngurumo alitoa jibu la swali hili kwenye safu yake ya Maswali Magumu ya tarehe 12 Januari.
Sitaki nirudie alichoandika Ngurumo. Ila naweza kusema kuwa darasa lake la walipo wale wanasiasa machachari, tena wengine toka CHADEMA hiyo hiyo wakiwa na vyeo vikubwa kuliko vya Kabwe, ni jibu tosha kwa Kabwe ambaye linapaswa kumfikirisha ili ajiandae kisaikolojia kwa pigo na anguko hili la ghafla.
Kwanini nasema Kabwe au Mkumbo waandike tanzia yao kisiasa?
Kwanza, kukiri kwa Mkumbo Kitila ndiyo ushahidi utakaotumika kumfukuza Kabwe uanachama.
Kwa kukubali kuwa waliandika waraka uliokuwa na lengo la kuhujumu chama, watatu hawa walifanya kile ambacho Wahindi huita ‘suttee’ ambapo mara nyingi wanawake waliochoka na maisha hujichoma moto.
Pili, kile kitendo cha Mkumbo kusema waraka wao haukuwa kosa, lakini akaomba msamaha, ni ushahidi wa kutapatapa ambao ulisaidia CHADEMA kumtimua uanachama. Na hawawezi kusema walionewa. Walifungwa kwa maneno yao wenyewe.
Tatu, kama wenzake Kabwe wamevuliwa uanachama kwa kosa lile lile atanusurika vipi?
Nne, hakuna kitu kiliwavua nguo wahusika na kuwaonyesha kama wababaishaji kama kitendo cha kutaka kujiuzulu ili waondoke kwa heshima.
Wengi walihoji: Kama walichotenda si kosa walitaka kujiuzulu kwa sababu gani?
Tano, wapo waliodhani kuwa Kabwe na wenzake “wangemwaga mtama” kwa maana ya kufichua maovu ya CHADEMA. Bahati nzuri, japo nia ya namna hii ilikuwapo, hapakuwapo na “mtama” wa kumwaga ikizingatiwa kuwa CHADEMA wanafanya mambo yao wazi wazi kwa mujibu wa kanuni na sheria.
Kwa ngoa na usongo alivyonavyo Kabwe, kama kungekuwa na maovu yoyote yaliyotendwa na chama au viongozi wake, bila shaka asingeyataja tu bali angeyaimba kama shairi ili angalau kujifariji baada ya kupata lililompata.
Waswahili walisema: Ivumayo haidumu (hasa inapovumishwa pale isipostahiki kuvuma). Emma Bombeck katika kitabu chake “At Wit’s End”, aliwahi kusema; “Don’t confuse fame with success – usichanganye umaarufu na mafanikio.”
Naye Oprah Winfrey amewahi kusema; “If you come to fame not understanding who you are, it will define who you are – Kama ukiwa maarufu bila kujijua umaarufu utakuumbua.”
Nadhani hili ndilo linawasumbua wengi wanaokabiliwa na hali kama ya Kabwe. Hufiki mbali. Kutojitambua ni sehemu ya utoto ambao si kuvaa nepi bali kutenda kitoto, hata atendaye hivyo awe mtu mzima vipi.
Kabwe kweli alivuma kutokana na sababu mbaya tu. Au tuseme ajali ya kisiasa. Alivuma pale alipojitokeza kuwa mpambanaji mzuri na mtetezi wa haki za wananchi. Baada ya sifa kuingia kichwani, alifikia mahali kusema eti angetaja majina ya vigogo walioficha pesa ughaibuni. Baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema kumvua nguo, Kabwe aliishia kunywea kwa aibu ya kuongopa na kuzua. Hadi kesho tunauliza: Yako wapi majina ya majambazi na mafisadi walioficha pesa yetu nje?
Kitu kingine kilichommaliza Kabwe ni ile hali ya kudai kuwa asingegombea ubunge kwa mara ya pili. Badala yake angwenda kufanya kazi anayopenda ya kufundisha chuoni.
Msimu wa uchaguzi ulipowadia, Kabwe aligombea huku akisahau aliyokuwa ameahidi. Kwa wapiga kura hili lilikuwa pigo kubwa. Nadhani hata CHADEMA waliliona hili na kulihofu. Wenye busara walihofu na kuhoji hili.
Yanini kupayuka wakati unaweza kujiondokea kimya kimya au kutangaza kutorejea siasa wakati wa mchakato wa kutafuta wagombea? Kupenda sifa kwingine kwaweza kuwa kitanzi kwa mhusika.
Pigo jingine kwa Kabwe ni ile hali ya kushutumiwa kuwa anatumiwa na CCM na asikanushe na kutoa majibu mujarabu. Wapo wanaoona kama ni ukweli. Maana ungekuwa uongo Kabwe, bingwa wa kuongea, asingekaa kimya.
Ukiunganisha na uvumi kuwa Kabwe atarejea kwao CCM, unaona ukweli japo kwa wanaojua mizengwe ya CCM, akifanya kosa akajirejesha kule, watamtema kama ganda la mua.
Kwa waliosikia nukuu za Januari Makamba kuwa kiongozi wa nchi awe ni mtu mwenye kujua kutunza familia yake, walishajua kuwa Kabwe hawezi kukatiza pale ikizingatiwa kuwa neno mke au mtoto bado ni msamiati mgumu tu japo nasikia ana mtoto.
Alioa lini? Watamchunguza kuanzia dada zake hadi mama yake ili wamchafue. Huu ni ushahidi kuwa huko CCM nako hakubaliki. Wameishamtumia. Hawamuhitaji tena ili asiwachafue. Kama amewasaliti wenzake, atashindwa nini kuwasaliti waliomtumia, tena kwa kumlipa jambo ambalo hajakanusha?
Licha ya ushiriki wa Kabwe kwenye kuandaa waraka husika, hakuna kilichomuumbua kama kudai kuwa hakuwa na taarifa za mpango huu mzima.
Alichodai Kabwe ilikuwa sawa na kumficha msichana unayetaka kumuoa uchumba halafu bado ukasema una mpango wa kumuoa.
Ushahidi wa kimazingira ni kwamba Kabwe alijua na kuratibu kila kitu. Kuna wanaoona kama hapa kilichokuwa kikifanyika ni kutumiana yaani wawili kumtumia Kabwe naye kuwatumia.
Hata hivyo, tuseme CHADEMA imekuwa na subira kupita kiasi, hasa kwa Kabwe na siasa zake tatanishi. Nadhani kwa uamuzi waliochukua dhidi ya Mkumbo na Mwigamba na hatimaye Kabwe utakuwa somo kwa wengine kuwa kumbe CHADEMA inaweza kung’ata, tena kwa makali zaidi.
Tumalizie kwa kumpa Kabwe nasaha fupi ya Kilatini; Consilio, quod respuitur, nullum subest auxilium – asiyekubali kushauriwa hawezi kusaidiwa.

Hivyo kaka, Acta est fabula, plaudit – mchezo kwishnei kwa lugha ya watoto wa mjini. Huo ni ushauri huenda unaweza kukusaidia kama utakubali kushauriwa.
Chanzo: Tanzania Daima Feb. , 5, 2014.

THE POWER OF BEDROOMS IN POLITICS

$
0
0
Remember Professor Laurent Gbagbo former president of Ivory Coast currently caged in The Hague?  What of his wife Dr. Simone Ehivet Gbagbo?  The Gbagbos painted a grim picture as far as African elites are concerned. Gbagbo, the professor of History, made a bad history for not understanding history.  He mindlessly clung unto power so as to cause many deaths and many casualties.
Gbagbo’s saga is a test to our educational integrity and worth for us as a society. Many’d think.  Such highly educated person’d know basic things such as Human Rights, freedom and rule of law so as to uphold democracy especially elections. But nay, the guy thought though wrongly he’s but a king.
After Gbagbo’s unceremoniously dragooned out it came to light that his wife, Dr Simone, also the historian, harshly and greedily used him to tighten his grip on power and terrorize the country by ignoring all rules in the book.  
In this dirty business of dirty politics Gbagbo’s not alone. Who knew that a professor of law like Abdulaye Wade (Senegal) would tamper the constitution and extend his term in office on top of grooming his son, Karim, to inherit his presidency?  
Who’d risk thinking that a hyper academician like Robert Mugabe’d mess the way he’s always been doing by being hoodwinked by an illiterate like his wife, Grace Marufu so as to abuse the powers vested on him?
The sage’s it that when you want to tame a bull you’d know where its strength and weakness lie. For African big men their strength-cum-weakness is in the bedroom. So who occupies and controls their bedrooms control everything including them and their powers.  
    This can be seen in, among others, Simone, former political activist, was able to make or affect whatever decision Gbagbo made. She’s like president especially acting as an adviser to the president. Many who know her believe: Gbagbo’s decision not to cede power to a constitutionally elected president, Alasane Ouattara’s the result of Simone’s advice.
    When the world found that Gbagbo’d lost his sense of reasoning, it intervened to see to it that he’s booted out.  Interestingly, UN and Ivorian former colonial master, France, took a lead in getting rid of the tyrant.
The Gbagbos were humiliatingly bundled before the media after being dug out of the bunker in which they spent over two weeks hiding. Indeed, Gbagbo once again, proved the sage that education sometimes doesn’t emancipate the bearer if he’s unable to read the signs of times. So too, was his educated son, Michel, who’s severely beaten before the TV cameras. It’s a shame of its own magnitude for the former president and his family to be treated just like common criminals. All this happened just recently. But did our venal rulers make any note of it?
Today’s analysis is based on hidden presidents namely the first ladies and members of the families of the presidents. Simone’s described by many media outlets as the lady that’s feared more than the president himself. Moreover, she’s implicated in many scandals among which’s the disappearance of her husband’s rivals prominent one being French-Canadian journalist Guy-André Kieffer. Kieffer’s believed to have been hijacked under the instructions of Simone in 2004. Since then Kieffer’s nary been seen anywhere.  
What’s unveiled in Ivory Coast’s just a typical replica of what’s, for long, been going on in many African countries as far as power greed is concerned. It is more a tip of iceberg. Sadly though, when all this sacrilege is going on, those who oil the cog are encouraged to produce more as they slink to stinking poverty.
Presidency in corruption-rampant Africa’s the means to opulence not only for the holder of it but also his or her family, friends in other cases even the tribe.
The capital so much used by hidden African hidden presidents is nothing but sharing bed with the big man plus being able to manipulate him.
In today’s analysis we shall try to explore incidents where the “hidden Simones or presidents behind the curtains” are going on with business as usual.
In Uganda, Yoweri museveni’s wife Janet, the first lady and minister’s still a legendary when it comes to tame the man. It is alleged that her clan and kids are all benefiting from the government of the day and nobody’s blotting this nepotism.
In Equatorial Guinea the tyrant Theodore Obiang Nguema allowed his namesake son to scoop from the treasury as much money as he deems fit. This tinny country with the population of a half a million of which over 50 is living under a dollar a day is like Nguema’s private estate.  The son of president who also is a minister in his father’s government owns mansions and beaches worth millions of dollars in Malibu and a personal jet worth over $ 30,000,000 is untouchable. To add more flavour, the son of the tyrant spends a million bucks in every trip he makes to the US. Why is the US gagged? Wherever there is trouble, just drop a coin.
Not far from Equatorial Guinea there is Congo Brazzaville where the son of the tyrant, Denis Christel Sassou-Nguesso has all it takes even to stop IMF and WB from probing any malpractice involving public funds. Just like Nguema the boy can spend any huge amount of money without raising any alarm! Remember this is the country of just 4,012,809. The irony is. Despite having small population with where 50% lives under a dollar a day, the same country’s the income of $ 3,000,000,000 annually from oil. Where does the money go? Ask the tyrant, his son and cohorts. Anyway, this is Africa.           
In Kenya, Unga (Flour) scandal left Lucy Kibaki morally injured though it was put to rest just like Anglo-Leasing scam.
In Ethiopia the wife of former Prime Minister Meles Zenawi, Azeb Mesfin’s known as Queen of Mega thanks to being alleged to have an upper hand in mega corruption.
The last but not least player’s none other than Mugabe’s sweetheart Grace aka Gucchi. This lady’s renowned for over spending especially at the time Zimbabweans are dying in thousands thanks to poverty and mismanagement. Grace stole thunder when she’s linked with Bloody Diamond by Wikeleaks recently before the media uncovered her coveted love with governor of Reserve Bank of Zimbabwe (RBZ), Gideon Gono. Thanks to her ability to muzzle Mugabe. Nothing’s ever gone wrong in their convenient marriage despite the leak. Gono’s still the governor of RBZ and Grace first lady. This can show you how president behind the curtains are more powerful than those you see on the rostra.
Going back where we started, what’s unearthed in Simone Gbagbo sheds light on a true but grimmer picture of what’s been going on in Africa where presidents behind the curtains have inflicted a great deal of sufferings to our people and our economies. Think about that and evaluate your ruler. Anyway, I was trying to think like president or one of his majordomos. “Politicians and diapers should be changed frequently and all for the same reason,”José Maria de Eça de Queiroz.
Source: Business Times Feb., 7, 2014.

Mlevi aonya walevi wa politiki

$
0
0

Baada ya mlevi kushuhudia na hata kusikia walevi wa politiki wakivuana nguo hadharani, ameamua kutoa somo ili kuonyesha tofauti kati ya walevi wa kanywaji na walevi wa politiki.
Ninafanya hivi kuepuka aibu inayotokana na mchezo huu mchafu wa mitandao ya kilevi ya kuhujumiana, kuumbuana, kutukanana hata kupakaziana ingawa mengi yanayosemwa na hawa walevi wa politiki yana ukweli.
Ila kwa vile mie si mlevi wa politiki yao nawaachia wenyewe sawa na aibu yao.
Bila kurudia mauzauza na mfukunyuku, kasheshe, mshike mshike kindaki ndani na ulimpyoto walivyoshuhudia wale wa taputapu baada ya walevi wa politiki kustukiana kuzidiana kete kwenye mchezo wa kuwanyonya walevi, napenda kusema wazi kwa niaba ya walevi kuwa sisi walevi wa kanywaji huwa hatuna upogo ufyole na ulimpyoto wa kuvuana nguo hadharani japo huwa tuna sifa ya kutoboa siri bila kificha na kutomuogopa mtu.
Hata hivyo, huwa tunafanya kweli panapo ukweli na haki na si kutafuta ulaji wa dezo kama wale.
Hivyo, leo nitaonyesha tofauti baina ya makundi haya mawili ili wasomaji na wachovu wajue.
Hii itaepusha dharau na kinyaa na kuepuka kuanza kutuona sisi walevi wa kanywaji hovyo sawa na wale mapolitiki.
Ulevi wa mataputapu una hatari zake kama vile kuangusha gari mitaani kiasi cha wahuni kutaka kukufanyia vitu vibaya ukiachia mbali kukamatwa na ndata mara kwa mara wanaotaka kukutoa kitu kidogo na kikubwa kutokana na njaa na ufisi na ufisadi wao.
Unaangusha gari na kupona wakati mwingine kuokotwa na wapita njia na mambo yanaishia pale.
Ukitoka pale unakwenda kuwekwa kiti moto na mamsap akidai ni kwanini unamuaibisha hivyo.
Unapiga magoti na kumshika miguu na kuomba msamaha ukiapa kwa miungu yote kuwa hutarudia kumuangusha na mambo yanaisha.
Bi mkubwa kwa vile ameishakuzoea, anasamehe yanaisha na kungoja zali jingine.
Zifuatazo ndizo tofauti baina ya walevi wa kanywaji na wale wa politiki.
Mosi, wakati walevi wa kanywaji huangusha gari yaani miili yao, tatizo la walevi wa politiki  ni kuangusha kaya nzima kiasi cha kuruhusu wezi wa kila aina waitwao wawekezaji kuja kuharibu na kuhatarisha maisha ya walevi wote na vizazi vijavyo hasa kwa kutumia kufisidi hata kuiba na kula bila kunawa.
Pili, sisi walevi wa mataputapu si wezi wala majambazi kwa kiwango cha haya ya politiki.
Tatu, sisi hujiibia vidani na vipesa vya akiba vya wake zetu. Ikizidi sana huiba vifaranga ili kuuza na kupata lau mnuso.
Nne, walevi wa kanywaji wakiiba vitu vidogo vidogo kama vile vidani vya wake zao, wale wa politiki huiba madini hata majumba na ardhi.
Mara hii mmewasahau walevi wa politiki walioiba nyumba za walevi wakagawana na kudai watajenga nyingine! 
Uliza hizo zilizojengwa ziko wapi na kama zilijengwa ziligharimu kiasi gani cha walevi?
Tano, wakati sisi tukiiba vifaraga tena vyetu vyenyewe, walevi wa politiki huiba wanyama mbugani kwa njia ya ujangili na wakati mwingine huuza hata wakiwa hai.
Mara hii mmesahau jinsi majambazi haya manono yalivyoiba wanyama wenu yakanajisi hata uwanja wenu wa ndege kwa kupitisha wanyama hai kwenda Umangani!
Nani anaongelea huu ujangili tena? Nani anayakamata haya majangili yaliyoshirikiana na jangili la kigabacholi yakavusha wanyama hai kupitia Kia? Sisi hujiibia vijisenti tena vya ugoro.
Yenyewe yanaiba kuanzia EPA hadi Richmonduli na kuendelea kujikausha kana kwamba hayajulikani wala hayahusiki.
Sita, sisi hujivutia bangi na kunusa bwimbwi kidogo wakati yenyewe yakiingiza na kutoa tani za madawa hayo tena wakijenga mijumba ya bei mbaya na wengine kutumia uchache utokanao na bwimbwi kuingia kwenye siasa ili wafanye zaidi.

Kwani hamjui siri ya kushindikana kuwakamata wauza bwibwi? Nani amkamate nani iwapo kambale wote wana sharubu?
Saba, sisi hatuwauzi wake wala watoto wetu tofauti na wao. Je! walevi wa politiki wanafanya nini? Wanawauza walevi mchana kweupe tena wakiwahadaa kuwa hayo ndiyo ‘better life for all while it actually is worst life of all’.
Tena wanauza hata vizazi vijavyo kwa ‘just ten percent of’ rushwa.
Nane, sisi walevi wa mataputapu hupenda mapupu na utumbo na finyango kidogo.
Walevi wa politiki hupenda salala ukiachia mbali kupenda mashangingi ya kibongo na ya Kijep ya Ujapani.
Hamkuwasikia mjengoni wakizodoana kuwa kila mtu ana chakula pale? Hamjaona vimwana wanaoibuka ‘from the blue’ na huishiwa na ‘Foundations’ za uongo na ukweli?
Kama bi Mkubwa wa WaMa anakula kwa njia hiyo, kwanini wadogo zake nao wasifaidi?
Wenzetu kwa kulewa politiki na mashangingi sina mfano! Hamkuona juzi mashangingi ya kisanii yakijiweka karibu na wao ili nayo yafaidi ulaji wa kishangingi na kishankupe wa kula bila kunawa kwa mikono miguu na hata mikia?
Hamkuyaona mashumbwengu, machangudoa, machangupaka na machanguchangu chakachua cha wenzangu ya kike na kiume yakijiweka karibu na mibaka na walevi wa kipolitiki ili yatufaidi?
Tisa, sisi walevi wa mataputapu tunajivunia elimu yetu ya kupayuka. Waulize wale wa politiki wanajivunia nini zaidi ya kuibaka hiyo elimu na kuiharibu kiasi cha kukosa maana?
Shukuruni Kawa-dog upo hapo? ‘Thank Lord’ mshirika wako Phil Muongo Mulugoo goo goo ame-go.
Atokomee mwana kutokomea. Nawe mshukuru mshikaji wako ambaye ameamua kutumia uswahiba wenu kuua elimu kama alivyowahi kusema Dokta Silaha.
Hata hivyo, mnajali nini na mnaogopa hasara gani iwapo viegemezi vyenu vinasoma ughaibuni na vingine hata kughushi huko?
Siku hizi kughushi ni dili. Faza na Maza wanaghushi hata watoto na wajukuu na vitukuu.
Kweli mbigiri huzaa mbigiri na mafisadi huzaa mafisi na mafisadi!
Acha niwahi kwenda kuwasuluhisha Malisera, Makambaaa, Makondaa Mshindwayi na Mjega wanaovuana nguo wakigombea maslahi uchwara ya mitandao ya ulaji wa dezo ya urahisi.
Naenda kuwapa ‘fwact’ kuwa wakiendelea kuvuana nguo kwa maneno tutawavua nguo kimakwelini na kitakachowakuta wasitulaumu.

Wajua nini kitawatokea? Si umma utawaona kuwasanifu na kuwacheka!
Chanzo: Nipashe Jumamosi Feb., 8, 2014.

Huyu soja vipi jamanini?

$
0
0
Kuna utendaji, uwajibikaji na uadilifu hapa? Kweli kuna usoja mle au kiriba tumbo na magonjwa ya kila aina kuanzia ya kitabia hata ya kibaolojia. Je nchi zenye masoja kama hawa zimo kwenye hatari kubwa kiasi gani? Hilo wowowo ndiyo usiseme. Ikija kwenye friji wow! Only God knows! Ngai Muthamaki tuhonokye! Mnakumbuka jinsi masoja wa Kenya walivyokwenda kwenye Westgate or Wastegate mall kujiibia kila walichoweza huku wakisahau wajibu wao? Je Bongo mnao maafande wangapi mafisi na mafisadi wakubwa kiasi cha kuwalinda na kuwaengaenga mafisadi wakuu? Msijali. Nilikuwa nawaza tu baada ya kuona picha nzuri ya kupendeza kama hii. Tafakarini hata hivyo.

Robin Hood vs Hooded Robbers

$
0
0
Legendary English archer-cum-swordsman, Robin Hood and his merry men stole the show in Nottinghamshire before getting global notoriety. No literature tells exactly when Hood or Hudgin in Germany was born. What is clear is that Hood was a good man who aspired to form an egalitarian society based on justice and respect.  Ironically, he wanted this to be achieved through crime. An outlaw as he then was, Hood was renowned for robbing British plutocrats and offering his loots to the needy and paupers.  He did a good thing in bad way just like those who do bad things in a good way. Hood wore his heart on his sleeve when it comes to what he used to do. 
Hood didn't’t hide his true colour. By the way, Hood was a bibber like us. He loved kanywaji and justice. He hated corruption, greed and hypocrisy. This is why he didn't dispute the fact that he was a robber.  Again, he was a good robber who shared the loots with paupers. He risked to be jailed even killed for the sake of unprivileged. This is totally different from what we experience in the modern world whereby a cabal of people uses their power to rob those who voted for them. I like to call such venal creatures Hooded Robbers.  Our robbers, don’t admit their being robbers. So too, they don’t share their loots with the paupers. Instead, they just rob the paupers and stash money in the offshore-banks.
Whether Hood’s name came from the hood, he is likely to have been used to disguise himself or not, I won’t concentrate on that. Instead, I’ll concentrate on the modern hood of power and political positions our Hooded Robbers use to destroy our lives. What’s more, our greedy beings can be called economic hoons. They always drive at high and suicidal speed when they sense that there is money to be robbed. They don’t drive on the road you know. Nay! They drive in politics so that they can be entrusted the offices to rob.
 Robin Hood is a satire to our modern-time Hooded Robbers. Don’t tell me that you don’t know them. You know them. Maybe you’re one of them if not them. To get it, try to ask yourself how many fat thugs in power you know? Of course, you know countless. Don’t start saying hootis! You know what I mean. Don’t ask me where they live. So too, you know where they live. Don’t ask me where they stash their loots. You as well know that it is either in Swiss Banks or somewhere else from Jersey Island to the Island of Man, Cayman you name it. Call them hounds especially for those who invest in robbing us under many good names such as development partners, investors, shakers and movers. If anything, ours are but rabid dogs that need to be hanged whenever seen or discovered.
In case you've not gotten it, if you want to have a clear look into our Hooded Robbers, I’ll give you some qualities they posses as opposed to Robin Hood. Robin Hood hard a lion heart. They have rat heart so faint and dubious that they rob even unborn creatures. They sell everybody sometimes including themselves. They are more of psychopaths than normal human beings you've ever known. We need to decloth them in every manner. How can we stop declothing them if at all they don’t measure up to what they preach? They preach water and drink wine-super hypocrisy. People must be tired of hoo-ha offered by con men and women they think are their emancipators while they actually are their tormentors and prosecutors. They’d make them to pay whenever they rob them.  There must araise modern Robin Hood in politics, human rights, administration and what not. When these Robin Hood serve boozers must not expect to be recompensed when they take the role of emancipating the boozers. 
While Robin Hood did not feel guilty of what he was doing due to his good intentions, our Hooded Robbers feel no guilty for their dirty deeds. They don’t just because they’re strong at heart. Nay! They are faint hearted and blind to the extent that they can’t think beyond their noses. They are bêtes noix who use their stomachs to think instead of heads. Again, they still try to show their cockiness while they actually are sitting ducks if not lame duck who knows corruption in the place of accountability and delivery.
Source: ThisDay Feb., 10, 2014.

Mkiti wa CCM kizimbani kwa kuuza dawa feki

$
0
0
Mkurugenzi wa mashtaka Jinai (DPP) ameamuru mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa wa Dar Es Salaam, Ramadhani Madabida (Pichani) wa kwanza kushoto kufunguliwa mashtaka matano mojawapo likiwa ni kusambaza madawa feki yenye thamani ya mamilioni ya kurefusha maisha kwa waathirika wa ukimwi.
Hatutajadili kesi iliyoko mahakamani. Hata hivyo ukiangalia mrorongo mzima wa kesi na visa vya Madabida kujihusisha na uuzaji na usambazaji madawa feki havikuanza jana.Hapa unaweza kuona uovu na roho mbaya vinavyotawala Tanzania. Zamani wakati wa awamu ya kwanza mtu mwenye kutia shaka kama huyu asingeweza kuchaguliwa kiongozi hata wa shina. Ukisikia mfumo wa kifisadi ndiyo huu. Mke wa mtuhumiwa huyu ni mbunge ambaye bila shaka anatumia ubunge wake kutafuta dili kwa ajili ya madawa feki. Na hii si mara ya kwanza kwa Madabida kukumbwa na kashfa ya kuuza madawa feki. Mara ya kwanza alituhumiwa na mambo yakaisha kimya kimya. Huyu ibn muthnaq Madabida simtofautishi na habithi Ditopile Mzuzuri. Bila shaka naye atakufa mapema kama ilivyotokea baada ya Mzuzuri kuua na kulindwa na jamaa yake Kikwete asijue Mungu hana rushwa wala kujuana. Maana ukiangalia umati wa waathirika anaowaibia na kuwaua unashindwa kuelewa hata kilichowapa ujasiri CCM kuendelea kumbakiza kwenye wenyekiti.

Kijiwe chafaidi mipasho ya CcM

$
0
0
    John Malecela







BAADA ya kulishughulikia li-Rweyependekezamu, tulisikia eti lililalamika na kulaani sana likitishia eti kumuona Mkamiawaandishi wahujumu gazeti. Hilo limeishiwa tu. Baada ya Chama cha Mipasho (CcM) kuamua kutoa burudani ya bure, kijiwe kimeamua kukaa na kutafakari na kufanyia uchambuzi hatua hii ya kupigiwa mfano na kushangiliwa, hasa na wale waliokuwa wakitatizwa na kitu hii.
Yote haya yalianzishwa na Mpemba ambaye inaonekana ni mfuatiliaji mzuri na mpenzi wa mipasho ya walevi hawa wa madaraka.
Anaingia akiwa na gazeti la Danganyika Leo. Anaamkua na kuagiza kahawa huku akiwa anatembeza uso wake kuzunguka kijiwe kizima kuona watu wanajisikiaje.
Anasema: “Mwafahamu kuwa kuna kijana aitwaye Maakondaa kwenye chama cha mafisadi aliyekonda kuona wazee wote wa chama yake wanatumiwa kiasi cha kutoamini kama hiki ni kitu cha kufumbia macho? Hivo, bwana ndogo aliamua kupayuka kiasi cha kuwakwaza wakongwe. Nanhusudu huyu kijana walllahi.”
Mbwa Mwitu anaamua kumtania Mpemba akisema: “Shehe unhusudu huyu dogo ili umfanzeni?”
Mpemba hajali. Badala ya kumjibu Mbwa Mwitu anamgeukia Mchunguliaji aliyekuwa akimezea gazeti na kusema: “Najua wapenda sana habari na magazeti weye. Basi tukua utusomee ili hata hawa wanolote utani kwenye mambo yaso ya utani wafahamu kinioendelea.” Anampa gazeti huku akimuonyesha pa kusoma.
Mchunguliaji naye anachukua gazeti na kuanza kusema: “Hebu sikia dogo alivyozoza. Haya si maneno yangu.”
Anasoma gazeti linalosema: “Lowa-sir sasa amekuwa akiwatumia watu kusema ovyo, kwanza mwenyewe hana sifa ya kuwa rais wala kuwa amiri jeshi mkuu wa nchi, na kama wapo vijana hapa mjini wanaotaka fedha kwa haraka wamtafute.”
Mijjinga anaonyesha mshangao. “Kumbe fisadi huyu ni kitega uchumi cha wachumia tumbo siyo!”
Kapende anajibu: “Ulikuwa hujui? Hukusikia Maakondaa akisema kuwa kama unataka ulaji wa dezo nenda kwa Lowa-Sir?  Hukumsikia mgosi akiapa kufanya lolote kuhakikisha anamtetea na kumlinda fisadi huyu Ewassa? Sijui amemfanya nini yarabi hadi anapagawa hivyo baba zima!”
Mgosi Machungi anakwanyua mic haraka na kujihami. “Niombe msamaha haaka kabla sijapiga mtu zongo. Siwezi kujizaiisha kwa vijipesha kidogo isitoshe kwa mtu anayetumiwa na hao waiomnunua kuja kuwanunua Wadanganyika wenye uchu. Jamani tiwe makini tinapoongeea haya mambo. Mimi si wa kujiuza kwa Owassa.”
Kapende hakawii. Anamnyang’anya mic Mgosi na kudema: “Mgosi nawe una papara. Kwani mgosi ni wewe pekee duniani? Namaanisha mgosi Joseph Makambaa si Machungi.”
“Hapo time understand. Maana tiishangaa kuona tinahusishwa na fisadi wakati sisi tinapambana na ufisi na ufisadi,” anajibu Mgosi Machungi huku akitabasamu kuonyesha kuridhika na majibu ya Kapende.
Mpemba anaingilia: “Nyie mwashangaa haya! Sie tushazoea hasa wakati wa yule kamandoo uchwara Salimuni Amri ambaye sasa ashasalimu amri. Walitokea hata magabacholi wakamramba viatu hadi wakawa matajiri. Alipotimka sasa mwawasikia hawana ladha tena. Wahaha kama mbwa koko.”
Kanji kaudhika kusikia neno gabacholi. Anakatua mic: “Choli iko mizi hapana ita dugu yako choli bwana. Sisi sote dugu.”
Kapende anachukua gazeti toka kwa Mchunguliaji na kunukuu maneno ya Malisera akisema: “Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa juu wa chama, akiwemo Mwenyekiti wa chama wa kaya, Rahisi Kikwe… Naitaka sekretarieti ya chama kutafakari, kumjadili kwa kina na kumwajibisha Ewassa, ikiwezekana atimuliwe uanachama.”
Msomi anakwanyua mic na kuzoza: “Anashagaa nini iwapo lao moja? Hakuna aliyeniacha hoi kama yule habithi toka usukumani aitwaye Mjega ambaye alisema kuwa agwe alikataliwa na Mchonga asijue hata huyo bwani wake Lowa-Sir alikataliwa pale aliposhindwa kueleza alivyopata huo ukwasi ambao sasa anawahongea hata wanaume wazima wakajidhalilisha.”
Mipawa anakwanyua mic: “Usinikumbushage Mchonga alipowakataa Ewassa na Kikwekwe wake kiasi cha kuokoa kaya asijue watarudi na kuizamishaga.”
Mijjinga aliyekuwa anabofya ki-ipad chake anadandia mic na kuzoza: “Huyu Mjega namfahamu sana. Ni mtu mzima hovyo ambaye anajigejuza a barking dog that does not bite.”
Msomi anampa tafu kwa kuzoza ukameruni kwa kusema: “They guy is but a lapdog that can’t become a watchdog.  Muhimu ni kwa wapinzani kutumia mwanya huu. Maana underdog can become top dog. Au vipi?”
“Waheshimiwa mlivyoamua kutuadhibu kwa ukameruni wenu sina hamu. Mmekuwa kama jamaa zetu waishiwa wa mjengoni wanaopenda kuchanganya Kiswahili na kikameruni!” Analalamika mzee Maneno.
“Samahani mzee mwenzangu. Nilichotaka kuonyesha ni uhovyo wa huyu Mjinga sijui Mjega sijui nini. Ukisikia kutumia, kutumiwa na kutumiana ndiyo huku. Hamkumsikia mgosi Makambale akiapa kwa miungu yote kuwa atakufa na Ewassa as long as naye anamkatia ili afaidi?”
Mbwa Mwitu anachomekea: “Urahisi si mchezo ndugu zanguni. Mtu anakula kuvaa na kutanua bure ndani na nje ya kaya.”
“Rais iko zuri sana. Kama nakuwa rais iko kula kunya, sorry, kunywa bure hadi toto na bibi yake. Mungu akupe nini dugu yangu?”
Machungi huku akiwa ameinamisha kichwa anasema kwa kunyong’onyea: “Imitisikitisha sana kuona mgosi mzima anajizaiisha kwa mwanaume mwenzake. Sisi kue Ushoto tishakubaiana akikanyaga tinamtia adabu kwei kwei sitanii.”
Bi Sofi aka Kanungaembe ambaye alikuwa kimya muda mrefu naye anaamua kukatua mic: “Mimi sioni ubaya watu kupashana kama wanalo la kupashana. Nadhani wale ambao si wanachama wangeachana na mambo ya chama na kushika yao.” Anamalizia akiwa amemkazia macho Kapende.
Kapende hangoji. “Haya si mambo ya chama bali kaya. Tuwapige chini ili wakapashane vizuri.”
Mpemba anakubaliana na Kapende. “Hawa kama siyo kusaidiwa na uchakachuaji, tungekuwa tushawasahau zamani wallahi. Maana walivoishiwa na kutifuana nadhani kila mtu aone ubovu wao.”
“Heri Mpemba umesema. Pia ongezea kuwa kama si njaa za wachovu na wendawazimu wao wa kupwakia takrima tungekuwa tushaanza kuonja matunda ya ukombozi. Hukumsikia baba yao Pio Msekua akisema kuwa wapingaji wakijiandaa vilivyo wakaungana wanaondoa manyang’au haya once and for all?” Anadakia Msomi.
Anakatua kashata na kuendelea: “Mie naona tatizo hapa si chama wala wakubwa zake wanovuana nguo hadharani. Hapa tatizo wachovu wenyewe kushindwa kutimua hichi chama kilichogeuka zigo tena la kunuka.”
Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si likapita shumbwengu la Lowa-Sir akiwamo anamnong’oneza mgosi Makambaaa. Tuliwazomea na kulimwagia kahawa na kila mtu kutimka kivyake.
Chanzo: Tanzania Daima Feb., 12, 2014.

Article 0

$
0
0
HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya.
Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama sehemu mbalimbali kuwapigia kampeni jambo linalosababisha migongano na hata malumbano yanayokiua chama taratibu.
Hali ni mbaya sana. Watu wamefikia kuvuana nguo hadharani kuhakikisha yule “wanayemtaka”, huku naye akiwataka na kuwatumia nao wakimtumikia anapita hata kama ni kwa watu wazima kufanya mambo ya kitoto kama kuvuana nguo hadharani.
Ni bahati mbaya kuwa CCM imeishiwa na kufilisika kiasi cha kutokuwa na kiongozi mwenye uthutubu wa kukaripia mitandao hii inayodhoofisha na kuua chama.
Asikudanganye mtu. Wote sasa ni sawa na kambale. Wana sharubu, tena ndefu sana. Mitandao ya kifisadi, kiulaji na kimaslahi imechukua nafasi ya chama kiasi cha kukiangamiza taratibu kama kansa inavyoonekana na kila mtu ana mtu wake na maslahi yake.
Hata Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete naye yumo kiasi cha kuhojiwa. Naye ana mtu wake anayeweza kulinda maslahi yake. Haya si maneno yangu. Rejea karipio la Malecela aliyekaririwa hivi karibuni akisema: “Kinachonishangaza ni ukimya wa viongozi wa juu wa chama, akiwemo Mwenyekiti wa chama wa taifa, Rais Kikwete. Naitaka Sekretarieti ya CCM kutafakari, kumjadili kwa kina na kumwajibisha Lowassa, ikiwezekana atimuliwe uanachama.”
Mtifuano wa Malecela na Mgeja unanikumbusha kisa cha ugomvi wa washirikina waliokuwa wakigombea kila mtu na kinyago chake ndicho kiabudiwe hadi wakataka kutoana roho ilhali vinyago vikiwa salama.
Mwisho wa yote, walipogundua kuwa vinyago vyao havina lolote wala maana, waliamua kuvichoma moto na kumtafuta Mungu wa kweli. Je, Malecela na Mgeja watafikia hatua ya kuachana na mitandao na maslahi binafsi na kukirejea chama?
Hata hivyo, mchezo huu unaoelekea kusababisha mauti ya CCM ni ukombozi kwa Watanzania kama wataweka kumbukumbu. Pia mchezo huu ni faida kwa wapinzani kama wataamua kuvalia njuga haya madudu yanayofichuliwa na makada wa CCM wenyewe. Hakika mitandao imetandawaza kila aina ya sababu ya kuanza kuiaga CCM taratibu.
Leo hii ni zamu ya makada, Hamis Mgeja, Mwenyekiti wa CCM wa Shinyanga na Makamu Mwenyekiti wa CCM mstaafu na Waziri Mkuu wa zamani, John Malecela. Baada ya Malecela kuita waandishi wa habari hivi karibuni na kukaripia tabia ya baadhi ya wana-CCM kuanza kutangaza kugombea urais hata kabla ya muda, amejichongea.
Malecela katika mkutano wake na waandishi wa habari alimtaja Edward Lowassa, mbunge wa Monduli na waziri mkuu aliyetimuliwa kutokana na kashfa ya Richmond wazi wazi kuwa hafai kuwa rais.
Siku mbili baadaye, Mgeja aliamua kumtolea uvivu Malecela jambo ambalo limetufanya kuuliza kulikoni Mgeja kumsemea Lowassa kana kwamba yeye ndiye wakili wake? Je, ametumwa au amejituma? Je, ana nini cha mno na Lowassa au ndiyo huku kutumiwa na kutumiana?
Mgeja alikaririwa akisema: “Huyu Malecela amesahau huko nyuma yeye alishawahi kutuhumiwa kuwa alipewa fedha kutoka nchi za Uarabuni na mpaka kubadilisha dini na kuitwa Jumanne ili aungwe mkono kupewa nguvu za kugombea urais.”
Laillah ila allah! Hatukuyajua haya na kama ni ya kweli basi kuna namna. Je, inakuwaje kwa Mgeja Muislamu aone kitendo cha Malecela kusilimu kama kitu kibaya kama hakuna namna? Pia Mgeja alisema kuwa Malecela alikataliwa na baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere hadi kumtungia kitabu.
Ajabu Mgeja huyo huyo sijui kwa kusahau kwa kutojua kuwa alitumia mfano mbovu, alisahau kueleza kuwa hata huyo Lowassa alikatiliwa na Nyerere huyo huyo.
CCM imeoza kwa rushwa jambo ambalo kumbe wananchi hawakujua. Kwani Mgeja aliongeza: “Malecela, Makonda na washirika wenzao wanajua kuwa wako baadhi ya wanachama wanagawa kalenda nchi nzima, wanagawa simu huku wakitumia magari ya serikali kugawa hizo takrima na inawezekana na wao pia walishawahi kuzipokea na wana-CCM wengi walishazipokea, hata mimi nilishapokea, mbona hizo hawasemi, nazo zinakivuruga chama?”
Je, hapa kinachogomba baina ya Mgeja na Malecela ni uchungu kwa chama au uchungu kwa mitandao? Je, Malecela ni kama Yusuf Makamba aliyeonyesha wazi wazi anamtetea na kumuunga mkono Lowassa? Wapo wanaosema kuwa anatumiwa.
Ni aibu kiasi gani kwa makada wa chama kuanza kuhongana na kutumiana kama nepi? Je, chama cha namna hii chenye uoza kuanzia kichwani hadi miguuni bado kina udhu na hadhi ya kuongoza taifa linalohitaji mkombozi toka kwenye rushwa ufisadi na majanga mengine ambayo CCM imeyasimamia na kuyatekeleza siku zote? Je, wananchi wanajifunza nini kutokana na vita hii ya mitandao maslahi?
Rushwa kwa sasa inatembezwa wazi wazi na waasisi madaraka wa ndani ya CCM. Watu wanauliza haya mabilioni yanayomwagwa yananunua nini na wahusika waliyapata wapi? CCM inanuka rushwa kiasi cha kutisha.
Rejea karipio la Malecela aliyekaririwa akisema: “Naomba niseme kuwa bila karipio au tamko la chama, hawa wanaotumia fedha hadharani kwa lengo la kutafuta umaarufu na ushawishi kwa vijana ili kupata madaraka, wataharibu misingi bora ya uongozi iliyowekwa na waasisi wetu ndani ya chama.” Kwa rushwa kama hii ya wazi wazi kumebaki kitu cha kuweza kuweka madarakani?
Watanzania wakifanya kosa wakarudia makosa kwa kuchagua chama fisadi na kinachoongoza katika rushwa wasijute wala kumlaumu mtu. Hawa watu wapo kwa maslahi yao fichi na si ya Watanzania. Laiti Watanzania wangewabana hawa watoa rushwa wakaeleza walikopata hizo pesa na wanataka kununua nini!
Tumalizie kwa nukuu ya Paul Makonda, Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi, aliyekaririwa akisema: “Lowassa amekuwa akiwatumia watu kusema ovyo, kwanza mwenyewe hana sifa ya kuwa rais wala kuwa amiri jeshi mkuu wa nchi, na kama wapo vijana hapa mjini wanaotaka fedha kwa haraka wamtafute.”
Kwa halli hii, Watanzania waliokuwa wemelewa mapenzi na imani kwa CCM wamejikuta mbele ya kinyago cha mpapure walichodhania ni Mungu. Kazi kwao. Wazee wazima wanafanya kile Waingereza huita, washing your linens in the agora.
Ukifikia hapo umeisha na kuishiwa. Watanzania wanapaswa kuifungisha virago CCM ili wenye uwezo waingie na kutawala. Hakuna tena sababu ya kuendelea kuiamini CCM isiyojiamini wala kuaminika.
Chanzo: Tanzania Daima Feb., 2014.

Swali la leo: Iweje Faru na Tembo wauawe Bongo kampeni London?

$
0
0
Ivory destruction
Pesa ya wizi, ufisadi, rushwa, unga na ujangili wanaficha London.
Safari za kikazi wanafanya London.
Kampeni ya uzazi wa mpango London.
Mikutano ya uwazi London'
Kampeni ya kuangamiza ujangili London.
Je ni kwa nini au ni kwa vile hawa jamaa ndiyo waliotutawala?
Je ni roho kuwasuta wahusika ambao walirithi faru na tembo kibao toka kwa wakoloni?
Wakoloni walikuja wakatuibia lakini walikuwa na akili wakatubakishia.
Sisi tulipopata uhuru ambao umegeuka udhuru tumejitahidi kujiibia na kumaliza kana kwamba hakuna vizazi vijavyo. Sijui ndiyo huu uvivu wa kufikiri au kufikiri kivivu! Sijui ndiyo huko kuishiwa au sanaa za kuwaweka sawa wafadhili majangili ya ofisini na mbugani yakaendelea kupeta?
Nukuu ya leo ni toka kwa Mchungaji Peter Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA).
Alikaririwa hivi karibuni akihoji,“Inakuwaje mtu anayevunja sheria za nchi hakamatwi. Waziri Nyalandu amekuwa mlalamikaji badala ya kutafuta suluhu, majibu yake na ya Serikali ya CCM yanadhihirisha kuwa mtandao huu unaogopwa unaihusisha Ikulu, wanasiasa, polisi, maofisa wanyamapori na wanajeshi.”

Cashgate: Joyce Banda crusader or pretender?

$
0
0
          Malawi’s cashgate is all over the place in the media. Cashegate is amega theft of public funds involving millions of dollars ranging from $ 100 to 250 million.  Malawi’s president Joyce Banda’s nary lacked shockers. She recently came up with the purge on corruption in her country after the donor countries unearthed cashgate.  Banda told Malawians that she’s ready to even hit the road shall they deny her votes in the coming elections. Again, she boldly said that the job of stamping corruption out must be done and somebody’s to risk and do it. And she’s the one to do it no matter what. Despite her boldness and assurance, wary Malawians are asking: If she sincerely and seriously means business, why taking actions after donors unveiled the scam so as to refuse to release cash her cash-strapped government wants badly? They add. Why now when the country nears general elections? Does she want to get some of kind of mileage out of this war that she’s supposed to declare many months ago? Did she wait so that she could make some gains out this move against graft?
While questions are asked about the timing others are questing Banda’s "guiltlessness", seriousness and cleanliness as far as corruption is concerned. Detractors are asking: Is Banda clean or she is just whitewashing in order to get votes in the coming elections? Peter Chinoko, an outspoken head of the Catholic Commission for Justice and Peace in the Lilongwe archdiocese, has the answer as he’s recently quoted as saying: “We have concrete evidence about the president’s involvement and being part and parcel of the scandal.”  Interestingly, Banda did neither comment nor refute these damning allegations.
Apart from Chinoko, others are asking: What of her seven trips to Nigeria? Who footed the bills for her given that such trips are private ones? When Malawians wanted to know who Banda’s funder (s) was she squarely refused to divulge the person or persons who fund their president.
As for donors they categorically said, “We will not be able to resume support through government systems until we have a clear assurance, independently verified, that our resources are all being used for their intended purpose,” said Sarah Sanyahumbi, a British diplomat who heads the donor grouping, which includes European countries, the European Union and the World Bank. Britain has withheld £17 million of budget funds.
Detractors accusing Banda are not mincing words. They’re pointing fingers at her donors who happen to be the beneficiaries of the same monies Banda’s trying to retrieve. For example, a prominent business man Oswald Lutepo who also is a senior official in Banda’s party is said to have scooped over $ 6,000,000. Despite being accused, it came to light that Lutepo donated 22 vehicles to Banda’s party. This being the game-cum-situation many are questioning Banda’s cleanliness under such conflict of interests. Will she prosecute Lutepo according to the law despite charging him of theft and money laundering? Will partisan gimmicks come in and the case end up being sideshows?
Another suspicious character is Justice Minister Ralph Kasambara who is behind bars accused of ordering the shooting of one Paul Mphwiyo,Director of Budget who seems to have spilled the bins that lead to opening the floods gates Banda is facing currently.
Those of us who know where the heart of corruption in Africa is tend to suggest one remedy-declare your wealth and make it a national exercise for all citizens. One lifeline of corruption will be brought down. It is only in Africa where a person can acquire wealth or property just over night and nobody asks or task that person to divulge how she or he made such monies. This is why it is easy for many people to indulge in drug dealing, piracy, paid terrorism, corruption, robbery and whatnot. They know they’ll get away with it. It doesn't mean that our rulers don’t know it. They know it too well save that they don’t want to intervene for the fear of being forced by the diligent population to provide sound social services like in developed country. Instead they bless Mobutuism or Bongo-bongo whereby everybody plunders where she or he’s to survive without considering others who have no opportunity.  African proverb has it that a goat eats according the length of its rope. Call it a sin-by- all community whereby the bigwigs steal big sums while the small ones end up robbing whatever they put hands on and life goes on. If anything, pointless plundering and spending were what was going on in Malawi. For, it came to light that a mere junior public servant in the poorest country on earth’s found keeping over $ 300,000 in the boot of his car. Worse enough, most of those who stole the monies in question invested unwisely in posh cars, villas, and whatnot.
 If anything, corruption in many African countries is motivated by the lack of laws and political will forcing leaders and citizens to declare their wealth and file their tax return. How can prosecution work if at all there are some presidents who don’t even pay tax let alone to fail tax return or declare their wealth. 
Source: Business Time Feb. 14, 2014.
Viewing all 3175 articles
Browse latest View live