Quantcast
Channel: Free Thinking
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njaa Inapopanda Kichwani PhD Hugeuka Bullshit

          Juzi wakati waheshimiwa wa mjengoni wakijadili bajeti, pamoja na ulevi wangu, niligundua kitu ambacho wengi hawajaona. Kama si jamaa yangu mmoja, tena aliyekuwa akionekana msomi wa kweli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPSF mnamuonea Magufuli bure

          Malalamiko ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania au Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) ya hivi karibuni kuwa serikali inaminya sekta binafsi hayana msingi. Mtendaji mkuu wa TPSF Godfrey...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijiwe: Wachunaji Wachague Dini au Siasa

            Kijiwe cha leo kinajikita kwenye mambo ambayo wengi huogopa kugusa hasa wakiwa si wanachama wa chama twawala. Hii si jingine bali kuzuka kwa mtindo wa baadhi ya matapeli kujiita wachungaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli asipuuzie shutuma za Kenya dhidi yake

            Hivi karibuni, mara mbili bila kuthibitisha madai yake ya ajabu, kiongozi wa walio wengi kwenye bunge la taifa, Aden Duale, alikaririwa akiishutumu Tanzania kutaka kuingilia uchaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Is Trump’s move an accidental suicide?

            The news that the you-are-fired maharishi, president Donald Trump fired the Director of the Federal Bureau of Investigation (FBI), James Comey was not only a bombshell that tremulously...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fisi anapochunga kondoo wa Bwana

             Japo vitabu vya dini vinatuzuia tusihukumu ili tusije kuhukumiwa, kuna wakati mwingine hakuna namna bali kuhukumu. Mlevi siogopi kuhukumiwa hasa ninapowahukumu wanaopaswa si kuhukumiwa tu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuuawa Lowassa na Magufuli Gwajima achunguzwe

           Kwa waliobahatika kusikiliza mahubiri ya wiki iliyopita ya “mchungaji” Josephat Gwajima, walishangaa sana. Pamoja na kujulikana namna anavyojitahidi kutumia madhabahu kufanyia siasa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Handcuffed President: Fall from Grace

When former South Korean president  Park Geun-hye allowed her office to be used by a close friend as a money minting and printing factory, she did not know that, in the end, her end would be...

View Article


Kijiwe kukamata mali za mafisadi

            Baada ya taarifa za kufumka kashfa ya ufisadi wa kutisha ambapo mhalifu fulani wa Tume ya Kupamba na Kueneza Rushua, sorry Kupambana na Kuzuia Rushua (TAKUKURU) kukutikana akimiliki mimali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nani anakumbuka mauji ya kipumbavu kama ya Mvumi?

 Tukio la kusikitisha la kinyamana na kipumbavu lilotokea Oktoba 1, 2016 huko kijijini Iringa Mvumi lilistua na kuchukiza wengi ukiachia mbali kwa taifa. Wataalamu wawili wa  Udongo na dereva wao toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Leave Tanzania out of Kenya’s upcoming election

                 Recent damning allegations made by Majority leader Aden Duale that the NASA has established a pony-trekking center in Tanzania are shocking. Up until now, I don’t know the rationale...

View Article

Wiki hii nimekumbuka Botswana baada ya Tanzania kustukia wizi kwenye madini

View Article

Eti Dom ni the big city of Bongo? Wow!

           Baada ya kufichuliwa madudu kwenye vitabu vya kiada kayani, walevi wengi walipigwa na butwaa kiasi cha kuamua kuhoji hata kama ni kilevi. Wengi walisikika wakitukana matusi ya nguoni ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makaburi, makinikia, Magufuli na Muhongo

           Japo rais John Magufuli aligoma kufukua makaburi kwa hofu kuwa angeshindwa kuyafukia, sasa makaburi yanajifukua yenyewe ili watanzania wayachunguzee; na baadaye wayafukie. Tukio la hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Graves, Magufuli, mineral sands and Muhongo

            When President John Magufuli’s told to revisit scandal-laden former regimes, he said he’d not exhume graves for the fear of not being able to re-cover them. It’s as ifAbyssus aabyssus...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli Amtumbua Kamishina Mkuu wa Polisi

Mwezi wa Mei utaingia kwenye historia kama wa uamsho wa utumbuaji ambao anaufanya rais John Magufuli. Hii ni baada ya kuwa amelaza zoezi la utumbuaji kidogo, juzi Magufuli alimtumbua rafiki yake...

View Article

Kijiwe kwenda ikulu kumpongeza rais

            Baada ya kuvunja mwiko wa kugeuzwa kichwa cha mwendawazimu kulikofanywa na rais Joni Kanywaji Makufuli, kijiwe kinapanga, kwa dhati kabisa, kwenda ikulu kumpa tano kikimtaka akaze buti na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli: Mwalimu wa maendeleo Afrika?

            Kitendo cha hivi karibuni cha rais John Magufuli kufukua makaburi yaliyozika maendeleo ya Tanzania, hata Afrika, ni cha kupongezwa na kupigiwa mfano. Baada ya kustukia wizi wa ajabu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Forgery is boil but not goosebumps

            Recently, Tanzania has been teetering and tottering with news revolving around chronic and systemic forgery. No news is good news. When news broke that the government would audit academic...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizi wa madini: Mlevi kuleta smelter

           Wachukuaji, wezi na makuwadi wao wamekuwa wakificha dhahabu na madude mengine na kuyasafirisha ughaibuni huku walevi–sijui wa ujinga au upumbavu kama siyo ulevi wao–wakishuhudia kana kwamba...

View Article
Browsing all 3173 articles
Browse latest View live