A New Book on Terrorism Is Coming Soon!
The following is the letter I received recently informing me that my hereunder mentioned book has been accepted by Hamilton Publishers for publication. I am currently doing final touch to see to it...
View ArticleKushamiri utekaji: Barua kwa wahini na wahiniwa
Kabla ya kuanza barua yangu ngoja nitoe ufafanuzi kama si utongozi wa maneno yaliyotumika hapo juu. Kwa watu wa Pwani nadhani hawana taabu na maneno tajwa. Kwa ufupi wahini ni wale wanaowahini au...
View ArticleMy New Book Is on Shelves Now!!!!!!!!!!
Perpetual Search is a nerve-numbing piece of poetry that challenges all humans. The odes here want everybody to ask themselves who they think they are. So, too, it explores human nature based...
View ArticleKijiwe Chamtaka Makonda Aonyeshe Vyeti
Baada ya kugundua kuwa kaya ina mkwamo utakanao na sekeseke la Daudi Bashite aka Makonda, kimeamua kuokoa jahazi kwa kuhakikisha kila mmoja anatendewa haki bila ubaguzi wala upendeleo. Hii inshu...
View ArticlePunguezeni mikoa na wilaya vilivyoanzishwa kisiasa
Hivi karibuni Mbunge wa Nkasi Kaskazini Ally Kessy akichangia kwenye kikao cha bunge la 11 huko Dodoma alitaka rais John Magufuli aangalie uwezekano wa kupunguza utitiri wa wilaya ili kuleta...
View ArticleBarua kwa Ben Saanane
Mpendwa Ben, Nakuandikia popote uliopo; uwe hai au marehemu, najua utasikia. Usiposikia wapendwa wako watasikia ukiachia mbali wanaochukia kile ulichofanyiwa. Sasa ni zaidi ya miezi mitatu...
View ArticleUDSM: Makufuli fungia makufuru ya kughushi kayani
Juzi rahis Joni Kanywaji alisema kuwa yeye ni mgumu wa kushukuru. Aliyasema hayo wakati akifungua mabweni mapya ya chuo kikuu cha Manzese. Hata nami Mpayukaji ni jiwe inapokuja kushukuru....
View ArticleBarua ya wazi kwa rais Magufuli
Mhesimiwa rais John Pombe Joseph Magufuli, Naandika waraka huu wa wazi kwako kwa kusukumwa na uzalendo na usongo kwa nchi yangu. Hivyo, sitapindisha wala kuzua jambo zaidi ya kusema...
View ArticleKaya ya madaktari wengi na madudu kibao
Karibu katika kila uteuzi hukosi kusikia dokta so and so ameteuliwa na dingi kuula somewhere. Hapa siongelei akina Bashiteshite wala Makorongo Muhanga. Naongelea wateule wanaoitwa madaktari...
View ArticleWanaolaumu Magufuli kuhusu Israeli wasome historia
Rais John Magufuli akisalimiana na balozi wa Israel nchini Yahel Vilan ikulu jijini Dar Es Salaam Baada ya rais John Magufuli kuridhia kufunguliwa ubalozi wa tanzania nchini Israeli, wengi...
View ArticleKijiwe chastukia zoezi la kuhakiki vyeti vya kibashite
Baada ya mbwembwe nyingi zilizoonyeshwa na watawala kwenye kupokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya feki au vya kibashite, Kijiwe kimestuka na kutoa angalizo.Msomi Mkatatamaa anaingia akiwa amekula ndita...
View ArticleKughushi: Viongozi wa umma wachunguzwe
Hapo tarehe 28 Aprili 2017, rais John Magufuli alikabidhiwa na kupokea ripoti ya uhakiki wa wafanyakazi wa umma kule Dodoma iliyowasilishwa na waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi Angela Kairuki. Ripoti...
View ArticleBaada ya kutemwa kwa kughushi: Mlevi kuvamia siasa
Japo ni jambo la aibu, sina budi kulieleza. Mwenzenu nilipokuwa nikiwakoga na maulaji yangu kwenye ofisi ya umma, sikuwaambia ukweli. Ukweli ni kwamba nilikuwa natumia cheti cha kughushi nikichanganya...
View ArticleVyuo vya kitapeli vifutwe haraka
Baada ya zoezi la kuhakiki vyeti feti kukumbwa watanzania wanaokaribia 10,000 bila kuhusisha wafanyakazi kwenye taasisi binafsi na viongozi wengine wa kisiasa wa umma, kuna haja ya...
View ArticleKijiwe Chataka Vyeti Vya Wanasiasa Vihakikiwe Pia
Baada ya waziri wa Utumikishaji ofisi ya rahis kuja na mpya kuwa zoezi la kuwang’oa vihiyo lilihusu wafanyakazi wa umma tu, Kijiwe kimeona hii si sawa. Ni ubaguzi na uonevu wa wazi. Hivyo,...
View ArticleMwakyembe Kukalia Ripoti ya Clouds Ni Kujidhalilisha
Kwanza, nikiri. Namheshimu sana Dk Harrison Mwakyembe waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Hakuna ubishi kuwa–kwa hali ilivyo–kufichwa kwa taarifa ya kuvamiwa kwa kituo cha Clouds cha jijini Dar Es...
View Article