Barua ya Wazi kwa Rahis Sa100 Ripoti ya CAG
Mpendwa Rahisi, sorry, Raisa, nisikuzeeshe kukuita mama, tunakaribiana kiumri. Usijali lugha yangu. Tatizo ni ufyatu. Dhiki zimenifyatua hadi nafyatuka, kuchanganyikiwa, kuchanganyika huku...
View ArticleChanzo mauaji ya wanandoa hiki hapa
Taarifa za mauaji ya wanandoa zinazidi kuongezeka kiasi cha kukera na kutisha. Haupiti mwezi, na sasa wiki, bila kusikia taarifa za mume kumuua mkewe kwa sababu mbalimbali kuu ikiwa wivu wa kimapenzi...
View ArticleMafyatu tunakumiss Edward Sokoine
Mpendwa Fyatu Edward Moringe Sokoine ole Severe.Najua umelala kwa miaka 40. Juzi nilisikia chawa mmoja akikuita mzee. Kwa uchache, nikupe bonge la kumbukizi. Uliondoka mbichi miaka 45 tena kwa utata....
View ArticleKWA WANANDOA NA WATARAJIWA ULAZIMA NA UMUHIMU WA NDOA
Katika makala hii tunachambua taasisi muhimu kwa binadamu ya ndoa. Tuzame kwenye taasisi hii adhimu na muhimu. Ndoa ni taasisi kongwe kuliko taasisi zote duniani. Ni taasisi ya lazima na muhimu katika...
View ArticleCELEBRATING THE GOLDEN ANNIVERSARY OF UNION DAY.
Today, 25th April, marks exactly 60 years, in the continuing life of our Union between Tanganyika and Zanzibar. It was on that “miracle day”, 25th April, 1964; when the “miracle session” of the...
View ArticleFyatu Awataja ‘Wanamtusi’ Rahis
Mpendwa Dada mkubwa, Pole kwa majukumu hata majungu. Naamini ulisoma waraka wangu kwako wa ripoti ya CAG. Naomba, kwa mara nyingine, tuwasiliane bila kufyatua wala kufyatuka. Juzi ‘mwanao wa...
View ArticleCommemorating International Workers; Day 2024
Last week on 1st May was ‘International Workers’ Day’; which, at national level, was celebrated in Arusha, at the Sheikh Amri Abedi Stadium, which was, reportedly, filled to capacity. Similar...
View ArticleMafyatu Wanataka Muungano si Mgongano
Juzi Tunda Lishe alilikoroga. Si alihoji mantiki ya Zenj kuua Tanganyika hata kutaka wadanganyika wawe na pasipoti kuingia Zenj. Baada ya kukinukisha, si kiliuma. Machawa na mazwazwa wajikombao wapate...
View ArticleHOW PRESIDENT MAGUFULI ‘DECOLONIZED’ TANZANIA’s MINING ECONOMY.
The main focus of today’s presentation will be on the late President John Pombe Magufuli’s efforts in ‘decolonizing’ Tanzania’s mining economy. I was motivated to write piece after reading an article...
View ArticleWanandoa watofautishe kupendana na kutaka.
Kila mtu hupenda mwingine. Vivyo hivyo, anaweza kumtaka au kutakiwa na mwingine. Hakuna asiyejua kupenda ingawa si wote wanaopenda ifaavyo na inavyotakiwa. Mujhimu ni kujua kupenda na kupenda ni vitu...
View ArticleKaa Chonjo na "no tozos" Uchakachuaji wa 2025
Baada ya mafyatu wa upingaji kuanza kufyatuka, kufyatua, na kukinukisha, Chambo cha Maulaji (CcM) tumeamua kuanza kuwafyatua wapika kura ya kula kwa ajili ya uchakachuzi ujao. Tokana na wingi wao...
View ArticleHere comes a new baby The Story of Stories!
NEWISBN9781779338471Pages110Dimensions210x148mmPublished2024PublisherMwanaka Media and Publishing, ZimbabweFormatPaperbackTHE STORY OF STORIESPoetryby Nkwazi N. MhangoThe Story of Stories is...
View ArticleMisingi na nguzo kuu za ndoa
Kama ilivyo nyumba, ndoa ina misingi yake. Kama ilivyo taasisi yoyote, ndoa ina nguzo hata miiko yake ambayo wanandoa wanapaswa kuizingatia na kuilinda. Hapa, tutaongelea misingi mikuu ya ndoa ambayo...
View ArticleWaishiwa Wasiwe Madoktari au Wabukuzi
Kaya yetu si ya watata wala aihitaji utata, kuringa, na kuringishiana ujuha. Ni kaya ya mafyatu. Hii inatosha. Siku hizi, kila fyatu anataka aitwe ima doktari au profedheha hata kama hajui kusoma na...
View ArticleYet another baby in the house!!!!
NEWISBN9789956554379Pages104Dimensions203x127 mmPublished2024PublisherLangaa RPCIG, CameroonFormatPaperbackYOO-HOO, AFRICA IS YOWLINGby Nkwazi Nkuzi MhangoYoo-hoo, Africa Is Yowling is an awakening...
View ArticleMafyatu Kumkaribu Rais Kuzindua Kijiwe
Baada ya kuona kuwa inawezekana kumfyatua, sorry, kumchengua rahis hadi anazindua mangomangoma ya Hamnazoo, mafyatu tunakula mkakati kumkaribisha kuzindua kijiwe chetu cha ndumuu. Naona yule anatikisa...
View ArticleMisingi na nguzo kuu za ndoa
Katika makala iliyopita tuligusia misingi na miiko baadhi ya ndoa. Leo tunaendeleza tulipoishia.UhuruNdoa inapaswa kuwa huru na isiyotegemea au kuingiliwa na watu wengine katika uendeshaji wenu....
View ArticleWaziro wako wa fedheha aka njuluku anatuhujumu na kukuhujumu
Mtukufu Dk., Dk., Dk, Dk. Dk.Rahis. Naambwa unazo PhD tano si haba.Sina tabia ya kupongeza. Hivyo, kwa heshima na taadhima, nakuomba usishangae. Mie ni fyatu. Si msifiaji wala chawa. Hivyo, sianzi kwa...
View ArticleMisingi na Nguzo za Ndoa (2)
Leo tunaendelea tulipoishia kuhusiana na miiko na nguzo za ndoa. Karibuni tuendelee.MaadiliTaaluma na taasisi yoyote lazima iwe na maadili ya kufanya ifanikiwe na kuheshimika. Ndoa kadhalika, lazima...
View Article