Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3178 articles
Browse latest View live

Lukuvi whom are you trying to dupe

$
0
0
Image result for photos of lukuvi
           
Soil Minister, Bill Lukuvi, left boozers shocked and infuriated. He’s recently quoted alleging that he turned down a cool Tsh5 billion bribe that two tycoons wanted to offer him so that he’d allow them to hike their parcels of land to the govt. Lukuvi’s quoted as saying,
 “If you are greedy you can’t do the job you were sent to do. Sometimes, there came two big businessmen and wanted to give me Sh5 billion so that I pass there project worth of billions and they announced to my friends that they would give me the money, but it is impossible here.” Doesn’t Lukuvi see that his negligence, apart from setting these criminal free, portrays him as inept and unfaithful person?
For the boozers whose brains are as sharp as a razor, despite being sloshed all times, Lukuvi’s hoo-has left many more questions than answers. All such questions portray Lukuvi as a boil that president Joni Kanywaji Mugful must cleanse as soon as possible. Though Lukuvi wanted to portray himself as a clean chap, he failed miserably so as to end up inculpating himself. Maybe, he thought that boozers are tabula rasathat can’t weigh and analyze things.  Kaka, you can’t take us for the raid and get away with murder. Lukuvi’s allegations are wanting; and have a lot of holes.
First of all, he is neither serious nor trustworthy. His allegations are ambiguous; and they show the dearth of truth.
Secondly, boozers are asking a couple of questions as to why Lukuvi didn’t alert the Prevention and Combating Corruption Bureau (PCCB) to set a trap and catch these criminals. For any sane person, this would have been the first step to take to net such criminals who sabotage our hunk. Why didn’t he do that if there wasn’t any foul play; that Lukuvi doesn’t want to divulge? Lukuvi needs to tell us.
Thirdly, Lukuvi’s allegations lack evidence. If he thought that by revealing such criminality without taking any actions was something that’d depict him as an incorruptible dude, he ended up opening Pandora’s Box pointlessly. For, such allegations render Lukuvi as an irresponsible person who lost such a golden chance to nip such criminals in the bud.
Fourth, boozers think: Lukuvi didn’t tell the whole truth; and if he did, he just told a half-baked one. Although Lukuvi aimed at creating a good image that he is incorruptible, he ended up messing even more. The law is clear that whenever anybody comes across anybody attempting or committing crime, that person is duty bound to inform the authorities. This is the procedure that even boozers–despite being blotto all the time–know. Again, Lukuvi alleged that some big criminals have been using our land to solicit dosh from various financial institutions; and invest in Dubai and London. Are these freebooters the citizens or foreigners who have turned our hunk into shamba la bibi the president was complaining about the other day? After becoming aware of such criminality, what is Lukuvi going to do to take on them and stop them altogether? How did they know that Kigamboni will become a hot cake so as to amass such huge chunks of boozers’ land? Aren’t these criminals a government within a government? How many are out there and how many are there in public offices? These are simple questions any sane person even if he or she was boozers was supposed to ask and find answer to.  Look at how stupid, sometimes; some of our officials tend to be. The punk is spending just five million on a plot; and sells it to the same that owns the land at the tune of 141 million shillings by simply catching the ferry and go to Kigamboni to conclude a deal! What monkey business.
If Lukuvi were competent and patriotic enough, he’d have told us the number of freebooters that have been benefiting from this theft. So, too, aren’t such criminals along with Lukuvi boils that President Mugful is supposed to cleanse as urgently as possible? Again, whom does Lukuvi want to deceive while everything is clear that he slept at the wheel? Which measures does Lukuvi intend to take to arrest this criminality?
In sum, boozers want Lukuvi to tell the whole truth and show cause why he shouldn’t be cleansed just like other jipus. For, his negligence–apart setting these criminals free–Lukuvi sabotaged our hunk for not taking actions. What is behind the curtain that Lukuvi doesn’t want to be put on the agora? With my bhang and Kanywaji, I can conclude that Lukuvi hid a lot of information that would have helped us to put these criminals where they are deservedly supposed to be, behind bars. So, too, had Lukuvi did his homework, we’d have been able to attack their already amassed wealth as we squeeze them to divulge their accomplices especially in the positions of power. Lukuvi, go tell it to the birds. Whom do you want to fool and cheat?
Source: Guardian, March 27, 2016.

Barua ya wazi kwa waziri mkuu Majaliwa

$
0
0

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.             Mheshimiwa waziri mkuu,
Kwanza nakupongeza kwa kuteuliwa kuwa waziri mkuu. Pili, nakupongeza kwa juhudi unazofanya kupambana na uovu kuanzia bandarini hadi kwenye sekta ya ardhi.
Ndugu waziri mkuu, hivi karibuni ukiwa mkoani Kagera, ulifanya maamuzi magumu ambayo ni kuwanyang’anya ardhi mafisadi wa ardhi walioipata na kuihodhi kinyume cha sheria na wasiiendeleze katika wilaya ya Ngara. Hili ni jambo la kupigiwa mfano kama juhudi zako zitalenga kuwabaini na kuwashughulikia wote waliojilimbikizia ardhi.
Ndugu waziri mkuu, hivi karibuni waziri wa Ardhi, William Lukuvi alitoa madai kuwa kuna wafanyabiashara wawili waliohodhi ardhi kwenye eneo la Kigamboni waliotaka kumhonga shilingi bilioni tano ili awawezesha kuiuzia serikali ardhi waliyoipata kwa bei ya kutupwa baada ya kuwarubuni na kuwadhulumu wananchi. Lukuvi alikaririwa akisema kuwa wafanyabiashara wakubwa wawili walikuwa na jumla ya ekari 700 walizonunua kwa shilingi milioni tano kwa heka huku wakitaka kuiuzia serikali kwa shilingi 141 kwa heka.
            Ndugu waziri mkuu, baada ya Lukuvi kutoa madai haya –ambayo bila shaka yaliacha mashaka na maswali mengi bila majibu–wengi tulishangaa ni kwanini hakuwataarifu Tume ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) au polisi ili kuweka mtego na kuwakamata wahalifu hawa. Kama haitoshi, Lukuvi alificha majina ya wahusika kiasi cha kujenga shaka juu ya ukweli wa madai na usafi wake. Kwa kuonyeza uzembe wa wazi, wengi wanamuona Lukuvi kama jipu linalopaswa kutumbuliwa na kuondolewa kwenye serikali ya awamu ya tano. Maana, ameonyesha uzembe wa wazi wazi na kutojua wajibu wake kama waziri na mtanzania kwa kushindwa kuripoti tukio la jinai. Wengi walidhani kwa mtu wa kada ya Lukuvi, angechukua hatua mujarabu na kuonyesha kwa vitendo anavyochukia na kupiga vita rushwa. Sijui kama hata rais ameuona huu udhaifu wa Lukuvi ambao tungetaka nawe uupige darubini na kumshauri rais nini cha kufanya dhidi ya waziri kama huyu ili liwe somo kwa wengine wanaofanyia kazi mazoea badala ya kufuata taratibu na kanuni.
             Ndugu waziri mkuu, tukirejea kwenye maamuzi yako ya wilayani Ngara ambapo hati za kumilki jumla ya ekari 7,700 zilifutwa, tunakutaka uchukue hatua hiyo dhidi ya wamilki aliowataja Lukuvi huku ukibaini wengine ambao wameishafanya mchezo huo au wanapanga kuufanya. Pia tungeshauri sheria ya uuzaji na umilkishaji ardhi wawekezaji irejewe na kurekebishwa ili kuziba mianya ambayo waroho wachache wenye madaraka na fedha wamekuwa wakitumia kuhujumu taifa huku wao wakitajirika wakati taifa linazidi kuwa maskini wakati lina raslimali lukuki. Kwa mfano, tunashangaa serikali–ambayo kisheria ndiyo mmilki wa ardhi nchini–kulanguliwa ardhi yake wakati ina mamlaka ya kufuta hati milki husika na kuchunguza namna hawa walanguzi wa ardhi walivyopata hodhi ya ardhi husika. Hili halitasaidia tu kupambana na hawa wanaojulikana. Pia, litasaidia kubaini mitandao yao iliyojazana kwenye ofisi za umma. Waziri Lukuvi alisema kuwa kumekuwapo wafanyabiashara hasa wawekezaji kuja Tanzania na kununua ardhi bila kuiendeleza huku wakienda kwenye mabenki na kuchukua mikopo kwenda kuanzisha miradi kwenye miji ya Dubai na London jambo ambalo licha ya kuhujumu taifa linawanyima watanzania ajira na huduma. Tungeomba umuite Lukuvi kwenye ofisi yako na kumtaka atoe maelezo ya kufanikisha kuwakamata wahalifu hawa pia ukimtaka aeleze kwanini–kama ni kweli alitaka kuhongwa–hakutaarifu vyombo husika viweke mtego wa kuwanasa? Pia umtake waziri Lukuvi akupe majina ya wahusika ili kubaini ukubwa wa tatizo na kulishughulikia.
            Ndugu waziri mkuu, pia tunakushauri uchunguze kujua hawa wawekezaji, wawe wa ndani au wa kigeni walipataje kununua na kuhodhi ardhi husika na nani aliwaambia kuwa Kigamboni ingekuwa na soko kubwa baadaye wakati miradi ya serikali ni siri?  Hili litasaidia kubaini watumishi wasio waaminifu wa serikali wanaovujisha siri za serikali na kuzitumia kuhujumu watanzania bila sababu zaidi ya uroho na ufisadi.
             Ndugu waziri mkuu, Lukuvi alikwenda mbele na kudai kuwa kuna baadhi ya viongozi waliojilimbikizia ardhi. Tungeshauri na hili Lukuvi aitwe na kulitolea maelezo ili uchunguzi ufanyike na kubaini wahusika walipataje ardhi husika na hatua zichukuliwe ilil kukomesha mchezo huu unaotokana na ubinafsi na ufisadi wa kutumia madaraka ya umma kwa kujinufaisha binafsi kwa baadhi ya maafisa wa serikali.
            Kwa vile umeonyesha umakini na juhudi kubwa katika kutatua matatizo ya wananchi, tunategemea hutaacha tuhuma na kashfa kama hizi zifutikwe chini ya busati jambo ambalo litaionyesha serikali yako kama yenye kupendelea na kugwaya baadhi ya wahalifu. Tusingependa dhana potufu kama hii iruhusiwe kujengeka ingawa kuizuia kutatokana na namna utakavyofanyia kazi madai kama haya.
            Tumalizie kwa kusema wazi kuwa tunaitikia wito wa rais John Pombe Magufuli wa kutaka watanzania wamsaidie kubaini na kupambana na ufisadi mambo ambayo yameikwamisha nchi yetu kimaendeleo ukiachia mbali kuigeuz shamba la bibi na kuiletea hasara na aibu. Wakati wa kufanya kazi kwa mazoea unapaswa kukomeshwa na kujenga uchapakazi unazingatia sheria, taaluma na maadili.
Ndugu waziri mkuu, tunaomba tuishie hapa kwa kutoa hoja.
Wasalaam.
Chanzo: Tanzania Daima, Machi 27, 2016.

Kijiwe chapanga kutembelea Zenj

$
0
0

            Japo kijiwe hakikushiriki kwenye uangalizi wa uchakachuaji wa marudio kule Zenj–kwa  kutoridhika na jinsi mambo yalivyokwenda ndivyo sivyo–mjumbe wake, alhaj Mpema, alikuwako kule kuangalia si kupiga kula jinsi mambo yalivyokuwa yakienda ili atuletee taarifa ambazo ameziwasilisha leo.
            Baada ya kuamkua huku akiwa anaonyesha wazi kuchukia, Mpemba anakwanyua mic, “Yakhe najua kila mmoja atakajua kiliochotokelezea Zenj hasa kuhusiana na huu uchakachuaji uliomalizika. Taarifa ni kwamba kilichotokelezea kule ni wizi wa kula wa kawaida tokana na wapika kula wengi kutopika.”
            “Unataka kuniambia hizi sherehe za kupongezana na kuapishana ilikuwa ni danganya toto tofauti na ukweli wenyewe? Kama ni hivyo basi rais Joni Kanywaji Makufuli amejichagua kuushiriki ukiachia mbali kula jiwe muda wote ambapo mambo yalikuwa yakifukuta kule Zenj utadhani yeye si rais wake.” Anauliza Mijjinga huku akimkazia macho Mpemba.
            Kabla ya Mpemba kujibu Mgosi Machungi anaamua kumchomekea Mijjinga, “Kwanza yue njomba angu wa madevu yuko wapi mbona hatimsikii akitoa tamko au naye ameamua kukata pua na kuunga wajihi ii apate tena umakamu?”
            Mpemba anajibu, “Kusema ule ukweli wa Mungu kule Pemba hakuna ntu hata mmoja alopiga kula. Kama wapo waliopiga basi ni wale mamluki, mapandikizi au mazombi kama siyo maruhani walozoea kuwatumia hasa kwa kuengeza idadi ya wapiga kura wakati siyo. Hilo la bwana nkubwa kushiriki au kutoshiriki dhulma hii ni juu yake kupima na kuchagua. Hata hivo atajitofautishaje wakati chama chake ndo kinioshikilia usukani kikifanikisha kila jinai huku Zenj? Mie njuavo hapa hakuna haki ilotendeka bali dhulumaa.”
            Kabla ya Mpemba kuendelea, Kapenda anauliza, “Una maana kuwa huyu bwana hakushaini na anatawala upande mmoja kama mwenzie Kanywaji aliyeonyesha kufanya hivyo wakati wa gogoro hili?”
            Kabla ya kujibu Mpemba anatikisa kichwa na kusema, “Yakhe hilo li wazi kuwa huyu jamaa ataendelea kutawala kimabavu kama yule bazazi alojiita Komandoo wakati hakuwa chochote wala lolote. Ukimuona leo huweziamini kuwa huyu ndo alowahi jiita komandoo wakati sasa yu kama kondoo na si komandoo.”
            Baada ya kuona zinaingizwa inshu zisizoendana na mada Msomi Mkatatamaa anaamua kula mic, “Kutokana na taarifa aliyoleta alhaj Mpemba ni kwamba Zenj hakuna aliyeshinda bali kushindishwa. Kama mnakumbuka niliwaambia kuwa huyu wa kushaini atashindishwa hasa baada ya kufuta uchaguzi bila kutoa sababu za kufanya hivyo. Nadhani huko aliko Jechia Dhwalimu Jechia anachekelea kwa kufanikisha ulaji wake. Kitaalamu naweza kusema kuwa mgogoro ambao Nambari Wani wamejidanganya wameuua au kuuepuka ndiyo unaanza. Wataweza kufanikiwa kama watamshawishi Madevu na kumpa ulaji kama walivyofanya mwanzoni pamoja na mkakati huu kuwa na mashaka na matatizo yake. Je wanakaya waliogoma kushiriki uchakachuaji watakubali mtu wao kuwa kitanda kimoja na watesi wao?”
            Mpemba anakula mic tena, “Wallahi nakuaapia. Kama kuna ntu adhani anawezawatumia watu kulinda ulaji wake binafsi aota huyu. Nijuavo mimi ni kwamba wale waliogomea uchakachuaji hawatakubali lolote isipokuwa kusomewa matokeo ya uchaguzi halali wa kwanza uliovurugwa na huyu Jechia Dhwalimu Jechia. Vinginevo hapa hakuna atondanganya yoyote awe ni wa upingaji au wale wanaotula sasa.”
            Kanji aliyekuwa akisikiliza kwa makini anaamua kutia guu, “Dugu yangu Pemba kama nasema iko kweli basi iko sida kuba sana Zaainzibaa. Kwanini sasa gagania laji kama vatu ingine hapa kuwa na tumboni ya kula?”
            Kapende anaamua kutoa jibu, “Kwani mafisadi wanaotuhangaisha wawe wa kiuchumi au kisiasa unadhani hawajui kuwa nasi tuna matumbo kama wao? Wanajua ila wanajiona kuwa wao ndio wanaofaa kula na wengine waliwe tu kana kwamba wao si watu. Huyu bwana hana cha kupoteza hata kama wachovu wakiamua kuchenchiana. Mambo yakiwa magumu atatumiwa ndata na ndutu toka Barani na watamlinda kwa kuwaumiza wapingaji kama alivyofanyiwa komandoo na mchezo unaishia pale.”
            Kabla ya Kapende kuendelea Da Sofia Lion aka Kanungaembe anamchomekea, “Mie tangu nigundue kuwa kumbe siasa ni mchezo mchafu hasa baada ya mjomba wangu kubomolewa nyumba yake sina hamu na wanasiasa. Sishangai kuona kinachoendelea Zenj. Iwavyo vyovyote Madevu anaweza kupewa chake kama alivyofanyiwa swahiba yake wa zamani Hamad Rashid Mood akatulia na wachovu wakaendelea kusota kama kawa kwani hii ni mara ya kwanza hii kufanyika?”
            Mipawa anamchomekea Sofi, “Da Safi, sorry, Sofi usemayo ni kweli tupu. Je kulalamika tu kunatosha au lazima tufanye mageuzi lau ili tuweze kuleta mabadiliko yenye manufaa kwa jamii yote?”
             Kabla ya da Sofi kuendelea Mbwamwitu anachomekea, “Bwana Mipawa si useme tu kuwa kuna kitu unataka kwa Sofi hadi unamwita safi au vipi?”
             Sofi anaamua kujijibia, “Kaka hayo yako. Sisi watu wazima ati. Kama kuna anachotoka kwani kuna ulazima gani wa kuzunguka au kukuogopa wewe? Tunajadili mambo muhimu kwa kaya wewe unaleta utani. Ndiyo maana mnaliwa na hawa mafisadi tokana na kutokuwa serious.”
            Mbwamwitu anaamua kumkaba da Sofi ili amtie adabu kwa kumwambia analiwa.
Kuona hivyo tunaamua kuingilia kati. Tunawaachanisha na kila mmoja anatawanyika!
 chanzo: Tanzania Daima, Machi 30, 2016.

BREAKING NEWS GOOD NEWS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

$
0
0
 We are one

Ndugu jamaa, marafiki na wasomaji kwa ujumla,
Nina furaha -kwa niaba ya familia -kuwatangazia kuwa usiku wa kuamkia leo majira ya saa sita kama na sekunde kadhaa tumajaliwa watoto mapacha NGWAZI na NKWAZI. Bi mkubwa ametuletea makamanda hawa wawili na amejifungua salama salimini njiani akielekea hospitali ya Boundary Trails MB. Tunamshukuru Mungu na kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki kushiriki furaha hili. Mara nyingi, ni nadra kupata mapacha tena wa mwisho. Dada na Kaka zao wameishakwenda kuwaona na kuwakaribisha. Nkuzi na Jr wameshangaa na wanasema: "Dad and Mom, you have brought yet new cool toys.
 Habari ndiyo hiyo.

Bongo: Shamba la bibi au la bangi?

$
0
0

            Kasheshe iliyotokea hivi karibuni kule kwa akina Omushuma aramu mushaija iwe nogambaki omuzira nkende Rwabunonihino na Rweyependekeza kama anavyopenda kuwasanifu John Kanywaji Makufuli, ilimuacha mlevi hoi pamoja na mibangi na ulabu wake. Wakati akitafakari jinsi kaya ilivyogeuzwa shamba la bibi kama Dk Kanywajia alivyofichua hivi karibuni, sikujua! Kumbe nalanguliwa bangi hapa Bongo wakati naweza kutia timu KG na kuondoka na magunia! LOL! Acha nijiandae kutia timu kule nije na zana tena za kutgengenezea uchache wa chapchap hasa usawa huu ambapo lisirikali limewagwaya wauza bwimbwi.
            Sikujua kaya hii ni smart kiasi cha kuruhusu uwekezaji kwenye uzalishaji mihadarati baada ya kugundua kuwa akina IpTL bin Escrow wanapiga dili na kuondoka wakiiacha kaya apeche alolo! Sasa nimejua. Lile dili la kwenda Moro kwa Mkude kusaka mijusi au kwenda Selous kuua tembo naachana nalo. Lazima niende zangu kwa akina mulangila nizoe ganja na kuja kuwalangua wakuda hapa Bongo.
             Najua, mwanzoni akina Ben Nkapa walikunya nkojo ya uwekezaji hasa kwenye uchimbuaji madini wasijue wataachwa Solemba baada ya kuwa mbwi na kuachia ulaji wakibaki kutegemea huruma ya warithi wao wasifichue vi-Kiwira vyao. Waliigeuza Bongo No-Man’s land wakati Mwinyi akiigeuza kichwa cha chizi na Njaa Kaya chaka la mafisadi. Hivyo, akina Njaa Kaya waliona wawekeze kwenye uzalishaji wa mibangi ili kupata njuluku ya haraka! Ama kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza!  Nani angeamini: kaya inayojiita kisiwa cha amani iruhusu uzalishaji mibangi tena ukifanywa na wakimbizi na wahalifu wengi wakikimbia mauaji ya halaiki kule Ruanda? Nashauri watuhumiwa watumwe kwa Po Kagame kuhakiki kama hawana tuhuma za mauaji ya halaiki.
            Mwenzenu nilikuwa najua Bongo ni shamba la bibi kwa akina absiii na kalu na wachukuaji waitwao wawekezaji kuja kupiga dili na kuondoka na madini huku wachainizi wakiondoka na vipusa na nyara zetu huku tukiwekeza kwenye kubomu nje, kondomu, baa, short time guest houses, dini na upuuzi mwingine. Kumbe kuna wajanja zaidi kama Escobar wa Kolombia wanaokuza na kusepa na mibangi na miunga wakati sisi tukiendelea kushangaa shangaa kama hamnazo? Sijui Dk Kanywaji hili atalibebea mbeleko gani yarabi kwa aibu na hasira.
            Hata hivyo, kuna kipindi nilistuka hasa pale jamaa yangu Madabidabi alipotuhumiwa kujihusisha na biashara haramu ya mihadarati lakini Chama chake cha Mafisi na Mafisadi (CCMM) kikamkingia kifua huku akina Njaa Kaya wakijifanya hawakuwa wakiinyaka. Mie nilijua kuwa mchezo ungeishia kwenye kutoa matishio kuwa wanene wana orodha ya wauza mibwimbwi lakini hawakuona haja ya kuwapelekea kwa pilato wala kuwatupa lupango washikaji na washitiri wao wa kisiasa, kumbe wenzetu walishaanzisha mashamba ya bangi kando yam to Kagera huku wakimwagilia kama hawana akili nzuri!
            Kwa vile mimi ni mteja wa bange, lazima nifanye kila hali nihamie Kagera lau niwe napata kaya na lupisi na ile kitu roho inataka na kutononoka. Nikihamia kule lazima ninenepe. Maana nikishatua lazima nimtamfute Kokugonza anichambue kama karanga baada ya kuchambua mibangi na kanywaji kangu. Kama haitoshi, lazima nimtafute brother Jimmy Rugemalayer anikatie mshiko wa Escrow ili nikimaliza kutenda madhambi yangu niende kwa Faza Kisoft bin Laini anisamehe madhambi yangu kabla sijafunga safwari kwenda kwa Porofwedha Anae Tamaa Kajuamlo Tiba anipe tiba na kunifundisha jinsi ya kuji-defend ovu course befwore ze government thinking of akichuari teikingi mi to the pilato.
            Nikimaliza kufanya yote haya ikatokea ndata wakaninyaka, lazima niende kwa advocate Rutagatina ili anitetee kama ndata watanifungulia kesi au vipi?
            Nikihamia Kagera lazima nifwaidimo maisha bwana. Nikishapata tubangi na tunywaji lazima nipate nyama choma itokanayo na nyama ya ng’ombe aina ya ankole wanaovuka mpaka toka kwa jamaa yangu Kaguta na Kagame kuja kulishwa na kunenepeshwa kwenye shamba la bibi na la bangi au vipi? Lazima hapa niwaalike marafiki zangu akina Muchimbazo, Rwakatongo na Rwakanonihino waje tupate ile kitu roho inataka huku tukisindikizwa na akina Koku na Saida kama siyo Kayitesi na Nyininka toka UG na RD au vipi?
            Kabla ya kwenda KG lazima nipite Chato nikapate tafu toka kwa sista yangu Njile na Ndebile ndipo nipige zangu kwenda kupata ganja na rubisi na kimpumu. Nikitoka pale lazima nipite Mwibara kwa akina Nchagwa na Matiko lau wanipe tafu twende zetu kwa wanchari na warenchoka ili kuonja bangi lao kabla halijasepa kwenda kaya ya nyayo ambapo rahis wao UK alisema wana taaluma ya kukwapua.  Hapa ndugu zangu Waikoma, Wangoreme, Wanata na Waisenye hamtataka niwape tafu kuwabonda Watimbaru, Wanyabasi na Wakira. Nikiona noma lazima nivuke mpaka nizame zangu Nyariba Chake au Kitutu Masaba ili nikapate musima na musiri na omugusii Nyandusi na kufaidi musiki wa Ong’eng’o na Sungusia.  Lasima to toboe hapa na entururu kama siyo Ingochande beka ekapeti.
Lo! Kumbe ni mibangi! Wasubati wa Kuruya, Kentare, Kemambo na Kumasuka mpo!
Chanzo: Nipashe, Aprili 2, 2016.

Tunaipongeza serikali kubomoa jengo hatarishi

$
0
0
            Hakuna ubishi kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya rais John Pombe Magufuli imeanza kuleta mapinduzi tena ndani ya muda mfupi kama haitalewa mafanikio na kulegeza Kamba. Tukio la hivi karibuni ambapo jengo sugu na hatarishi lililokuwa mtihani ulioishinda awamu iliyopita ni la kupigiwa mfano na kupongezwa.
            Kwa kuvunja jengo hatarishi la Uhindini–tunadhani bila shaka–serikali imetoa onyo kwa wale wote waliokuwa wanadhani kuwa hawagusiki kwa vile wana uwezo na fedha ya kuwahonga watendaji wabovu serikalini kuhalalisha jinai yao. Wengi wanaokumbuka malalamiko ya wananchi juu ya hatari ya majengo mabovu hatarishi kama hili wanajua jinsi serikali iliyopita ilivyowapuuzia na kuacha maisha ya mikononi mwa Mungu. Hata hivyo, ujio wa rais Magufuli unaonekana kuleta pumzi mpya kwa wanyonge waliokuwa wakikwazwa na vitu kama hivi.
            Inabidi tuseme kuwa kuipongeza serikali isiwe sababu ya kubweteka na kuona sasa kazi imekwisha. Kimsingi, kazi ndiyo inaanza. Kwani yapo majengo mengi yaliyojengwa chini ya viwango ambayo hayajagunduliwa na kushughulikiwa. Na kama si jengo lililoporoshwa kuchongewa na jengo jingine pacha kuanguka na kuua watu zaidi ya 30 huenda jengo hili hatarishi lingekuwa limeishamalizika na kupangishwa kwa watu wasio na hatia wakingoja majaaliwa ya Mwenyezi Mungu. Hii maana yake ni kwamba kuna majengo mengi ambayo yanapaswa kukaguliwa na kushughulikiwa yatakapogundulika kujengwa kwenye mtindo ule ule wa kuwahonga watendaji wabovu serikali na kuhalalisha mauaji ya halaiki kwa watu wasio na hatia.  Hivyo basi, tunategemea kasi na ari ya kupambana na jinai hii inayofanya miji yetu iwe makaburi yanayongojewa kujifukia na kuua wengi wasio na hatia iendelee. Tunategemea yatafuatia majengo mengine yaliyojengwa kwa mtindo wa chapchap ili kutengeneza fedha chafu chapchap bila kujali usalama wa wananchi. Je tunavyo vitega uchumi hatarishi kama hivi vingapi nchini kuanzia majumba ya short time ya kueneza ukimwi, zahanati na hospitali visivyokidhi viwango nchini?
            Je tunayo majengo mangapi kwenye fukwe zetu na mabonde na vyanzo vya maji nchini? Kwa kumbukumbu ni kwamba kuna hoteli na mahekalu ya watu binafsi vilivyojengwa kwenye fukwe zetu na maeneo oevu kama vile hekalu la Getrude Rwakatare ambalo limesitishwa uvunjaji wake tokana na mhusika kukimbilia mahakamani. Kuna haja ya kubadili sheria zetu ili kuondoa mianya wahalifu wanaojenga sehemu zisizoruhusiwa kuzitumia kutukwamisha. Hivyo, tunategemea–baada ya kuangusha jengo hatarishi la Uhindini–majengo ya kwenye fukwe na sehemu nyingine zisizoruhusiwa yafuatie haraka huku ukaguzi wa mejengo yote nchini ukifuatilia ili kuondoa kadhia hii ambayo licha ya kuhatarisha usalama wa watu wetu ni kikwazo kiuchumi.
            Pia tuchukue fursa hii kuiasa serikali isifanye upendeleo katika kupambana na kadhia hii. Kwa mfano, kila mtanzania anajua kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinamilki majengo mengi ya umma kinyume cha sheria. Hili nalo linapaswa kushughulikiwa ili haki itendeke kwa wanyonge wa taifa hili wajisikie kuwa sasa nchi ni mali yao na si mali ya wezi wachache wenye madaraka na fedha kama ilivyokuwa. Nani asiyejua kuwa viwanja vingi ambavyo CCM inatumia kukodisha kwa kuegeshea magari vimepatikana kinyume cha sheria kwa vile CCM ni chama tawala. Hatuwezi kuendelea na uoza huu halafu tukajiridhisha na kujisifu kuwa tunatenda haki kwa watu wetu kwa usawa.
            Pia serikali ihakikishe kuwa watanzania wanakuwa na makazi na miji salama. Maana, unapokuwa na majengo hatarishi kama hili lililobomolewa, yanakatisha tamaa uwekezaji kwa shaka ya kupata hasara baadaye. Pia majengo kama haya yanaweza kuathiri uchumi hasa sekta ya bima ukiachia mbali mabenki ambayo yanaweza kutoa mikopo kwa wenye majengo kama haya wakiweka majengo mabovu kama dhamana na kuingiza mabenki hasara  kutokana na majengo haya kutokuwa na thamani sawa na ile wamilki wanayodai yanayo.
            Hapa tunaongelea sababu za kiuchumi. Kuna upande mwingine ambao ni kusababisha vifo na uharibifu wa mali ukiachia mbali kuwa matokeo ya jinai ya kughushi na kudanganya kuhusiana na thamani na viwango vya majengo husika.
            Tumalizie kwa kuipongeza serikali na kuitaka ifanye kila liwezekanalo ili kuepuka madhara majengo hatarishi yanaweza kusababisha kwa watu wasio na hatia hata uchumi wa nchi.
Chanzo: Tanzania Daima,  Aprili 3, 2016.

From Boozer to President Mugful

$
0
0
5th President of TanzaniaHEKAYA ZA MLEVI WA CANADA: Kiquete kuingia na EPA kutoka na Escrow
           Dear Mr. President, Dr. Joni Kanywaji Mugful
How are you doing? Take note that you made my Easter. On top of bang and swig, you made me happy type when you spoke to the nation during your Easter oration. You openly said that you’d like to see Bongo at parting of the ways with begging mentality your predecessors turned into a dosh-making venture not to mention a globetrotting opportunity.
            You’re quoted as saying that Bongo isn’t a poor hunk that’d degrade itself begging pointlessly. Boozers love to hear such patriotic words if they’re not going to end up becoming a political mantra devoid of actions after stepping out of line. Despite being stoned, I fully concur with you. Endowed with all such resources, our hunk should not depend on begging for handouts while there’s a lot of dosh that is lost in tax evasion, tax holidays, corruption, larceny, and doing nothing.  I wanted to say this: I was afraid people won’t take me seriously due to being a boozer.
            If you seriously mean business, I’ll make a small contribution on how to make Bongo self-reliant. Make sure that you:
a) Take on corruption ruthlessly and steadfastly without looking the monkeys in the faces. Up till now, boozers wonder why since you came to power, you’ve never touched Escrew that robbed their billions. What are you waiting for?
            b) Revive the Warioba Draft Constitution that corrupt rulers butchered in order to save their necks. I’m sure you know how it was sabotaged and why.  Having clean constitution empowers you to take on all criminals legally and politically. For, it’ll seal all loopholes criminals use to rob our hunk. You can take this to the bank. Under the currently rag-packed constitution, you may arrest and arraign some criminals to end up suing the govt and getting away with the murder as it once happened when you intercepted a fishing ship that was illegally fishing in our territory. New constitution will help you to revisit all shoddy contracts the hunk blindly entered.
            c) Resume the code of ethics not only for public servants but for all citizens. Everybody has to disclose her or his wealth and how it’s made. This will deter drug barons, thieves, corrupt officials and all bêtes noirs in the hunk. I see them in many streets enjoying the loots without any fear of being brought to book. Even aggravated burglary that’s become endemic in the hunk’s geared by the absence of the code of ethics. Remember how such crimes were rare under mzee Mchonga? It is simple. The system and its laws didn’t motivate or allow criminals to rob and comfortably spend the spoils as it currently is.
            d) When everybody’s duty bound to declare wealth and the way it was obtained, it becomes much easier arraign all those found with unaccounted for property. I sometimes wonder to see crooks and goons who were paupers yesterday to just wake up tycoons.  Boozers would like to know how some rich clergy made their billions so as to own even choppers, mansions and oil guzzlers while the Lord they preach was a pauper who said that the kingdom of heaven is for the paupers but nabobs.  I know. You’re a good and practicing Christian. I saw you kissing the cross and one boozer called this shirk without knowing how complicated beliefs are. Whether someone kisses the cross or the stone, it is none of my biz. Anyway, to jog your mind as I support my argument, let me quote Jesus who in Matthew 19:23 notes, “Truly I tell you, it is hard for someone who is rich to enter the kingdom of heaven.”
             I don’t want to use my own thoughts. Readers would pooh pooh them thinking are the views of a drunkard fella whose brain doesn’t work without bang and swallow to kick start it. Didn’t Jesus say, “Again I tell you, it is easier for a camel to go through the eye of a needle than for someone who is rich to enter the kingdom of God,” (Matthew 19:24)? If this is the case, why then are the viongozi wa kiroho wenye uroho amassing wealth? Whom are they cheated among themselves, congregations and God?
            To drive my point home, I’ll speak prophetically today.  There is a sage that says, “Blessed is the hand that giveth than the one that taketh.” Aren’t we blessing the donors as we curse ourselves? For more on this, you can read Acts 20:35.
             In sum, given that now you know why we’re poor, it is time to put your words to actions so that our hunk my become a donor to other poor and corrupt hunks whose leaders like begging and degrading themselves wantonly and pointlessly. May God bless you? May God bless our hunk with this new spirit of self-consciousness and self-reliance? Did you read my Hello John Magufuli piece? I’d like it published in a book. Support me please.
Source: Guardian April 3, 2016.

Mizigo yenu

$
0
0
Wanguni au wangoni -kama wanavyoitwa Tanzania, Wanyasa, Washona na wote wenye asili ya kule watafaidi ujumbe uliomo kwenye wimbo huu hasa wale wanaoamini katika kutoleana sadaka na kumwagiana damu ukiacha mbali kula mwili wa wenzao wasiitwe wala watu.
Wachukua mzigo wangu wa dhambi (umthwalo wa zono zami) pale Kalvari
Nanyi pelekeni mizigo yenu (imithwalo ya zono zako) ya dhambi Kalvari



Is racism cancer in Indian society?

$
0
0
Are Indians racist? Get the answers from them at a national level. I am posting this with the intention of addressing the problem in order to help.

Kijiwe kwenda kunywa chai na Dk Makufuli

$
0
0

            Baada ya rahis Joni Kanywaji Makufuli kukikuna kijiwe pale alipotangaza kuwa anataka Bongo iondokane na uombaomba na kugeuzwa shamba la bibi, Kijiwe kinapanga kwenda kumpongeza na kumpa inshu nyingine tayari kwa utumbuzi.
            Mpemba anaingia akiwa na gazeti la Pashapasha. Analiweka mezani baada ya kuamkua na kusema, “Yakhe mmesikia maneno mazito ya rahis?”
            Kabla ya kuendelea Mbwamwitu anamuuliza, “Maneno yepi wakati rahis anasema mengi tu?”
            Mpemba anajibu, “Ama kweli mswahili ntu wa ajabu sana. Mie nauliza swali nawe wajibu kwa swali!”
Mbwamwitu anajibu, “Inategemea na swali ulilouliza. Kama umeuliza jibu unategemea nini zaidi ya swali”
            Mgosi Machungi anaamua kukamua mic, “Mie naona Ami hajakoshea sema ungesema hujampata vizui.”
            “Mgosi acha utani. Eti sikumpata vizuri siyo?”
Mpemba anakatua mic, “Wallahi hata mie sinjanpata Mbwamwitu vilivo vinginevo ningentosheleza tu. Maana uwezo ninao ati.”
            Mchunguliaji aliyekuwa akisoma gazeti anaamua kuwachomekea wenzake, “Mie wote nimewapata vizuri na nadhani sasa ngoja niwatosheleze. Nadhani Ami anamaanisha habari hii.” Anaonyesha gazeti na kichwa cha habari kinasema, “Rais kufyeka mishahara ya kijambazi kwenye mashirika ya umma.”
            Mijjinga aliyekuwa akingalia huku akitabasamu anakatua mic, “Hata mimi namuunga mkono Dk Kanywaji. Haiwezekani tuchape kazi wezi wachache wanufaike wakati sisi tukiumia kwa ukapa, ukata na ukwete. Hebu angalia hapa.” Anafunua gazeti na kusoma, “Ndugu zangu wana kaya, kuna gendaeka wanalipwa hadi madafu milioni 40.”
            Kapende anaamua kutia guu, “Huu kwangu ni ujambazi hata kama majambazi wanaoutenda wanatumia kalamu. Nadhanai hapa tunapaswa kurekebisha sheria ili majambazi hawa wa kalamu wahukumiwe na kupewa adhabu sawa na wale wanaotumia silaha hasa ikizingatiwa kuwa na kalamu ni silaha tena yenye nguvu kuliko bundiki. The pen is mightier than a gun.” Anamalizia kwa kimombo kiasi cha kuwaacha wengi hoi.
Kabla ya kuendelea Msomi Mkatatamaa anamua kumkosoa Kapende kwa kusema, “The pen is mightier than the sword. Hata hivyo hujakosea sana na hasa ikizingatiwa kuwa kiCameron siyo lugha ya kaya. Kama rahis mwenyewe wakati mwingine anachapia kwanini nasi tusimuunge mkono hata kama si jambo jema?”
            Kapende anajitete, “Nilifanya makusudi ili kuona wasomi wenzangu kama mtagundua. Asante sana kwa kunikosoa daktari wa falasafa mwenzangu.”
Msomi anaendelea, “Huyu jamaa kama atafanya kweli, ni kweli kuwa kaya yetu siyo maskini. Maana ukiangalia inavyoibiwa na kila nyani na kinyama mwitu chenye sura ya binadamu, unashangaa hata mantiki ya wanene wetu kwenda kujidhalilisha ughaibuni kubomu wakati mshiko umejaa hapa nyumbani.” Anakohoa kidogo na kubwia kahawa yake na kuendelea, “Kama gendaeka wachache wanajipendelea hivi, hivi tukitenda haki tukakomesha ufisadi sisi si kaya tajiri kweli? Juzi nilimsikia Dk Kanywaji akiwa Chato akisema kuwa waligundua kuwa kuliwa na wahalifu waliokuwa wakipokea mishahara 17. Hivi huyu naye anahitaji kupelekwa mahakamani na kupewa dhamana au kunyongwa right on the spot?”
            Mipawa anajibu, “Usemayo ya msingi. Kaya yetu si maskini bali ina umaskini wa kutengenezwa na gendaeka wenye madaraka wasiyojua kuyatumia kama jamaa yetu chekacheka bin Njaa Kaya. Umenikumbusha mambo yalivyokuwa yameharibika kiasi cha kaya kubakwa. Umeona yule miss alivyoburuzwa kwa pilato? Sisi tulidhani mchezo unaishia kwenye kujihonga na kuchaguliwa miss kumbe wenzetu wanatumia kila mwanya kutuibia njuluku! Hakuna jizi lililonichukiza kama Hass Kitilia. Haya magendaeka ni ya kutundika shaba kama wanavyofanya wenzetu wa Uchaina.” Anapiga chafya mara mbili na kuendelea, “Wana bahati wana hizaya hawa. Kama siyo pilato kuwanyima dhamana ningeenda mwenyewe kunyonga nyani tena hadharani bila kujali nini kitafuata.”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anapunyua mic, “Kaka hata mimi sikuamini kuwa na mamiss wanaweza kuwa matapeli na majambazi. Ama kweli huyu mtoto wa kike katutia aibu akina mama wa kaya hii!”
            Kanji hangoji amalize. Anamchomekea mshikaji wake Sofi, “Acha Sofi mimi chomekea veve. Veve nasangaa hii miss kuwa tapeli! Mimi jua hii miss sana. Kwanza nakuwa na biasara na ile festi ledi Anna Kappa Tamaa. Kama chunguzi zuli nafanya, takuta na hii Ana Tamaa hata hii Salamia Kwetete iko dani ya hii vizi. Sasa tajua kama gongo iko juisi au nywaji.”
            Msomi anaamua kutia guu tena, “Nyinyi mnashangaa huu ujambazi? Kimsingi, hata huu ujambazi wa kutumia silaha umezalishwa na mfumo huu unaowalea majambazi wa kalamu. Napendekeza twende ikulu kupata chai na Dk Kanywaji halafu tumpe mbinu ya kukabiliana na ujambazi huu. Lazima tubadili sheria zetu za kushughulikia ujambazi uwe wa silaha au kalamu. Siku zote nasema turejeshe sheria za maadili kwa wanakaya wote. Kila mtu aeleze alivyochuma. Nadhani tukipambana na kero hisi kisayansi kwa kutumia sheria tutashinda badala ya kutegemezea usongo wa rahis peke yake.  Lazima tufanye mapinduzi kimfumo na siyo kutumia jazba na kulalamikalalamika.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si Dk Kanywaji akatutwangia na kututaka twende ikulu kupata chai na kubadilishana naye mawazo!
Chanzo: Tanzania Daima, Aprili 6, 2016.

Who’ll save South Africa from Zuma?

$
0
0

            South African president Jacob Zuma is a cat with seven souls. Since he came to power, he has become more a liability to his country than an asset. Since unseating former President Thabo Mbeki, Zuma has proved to be more of a chief than a president. His political life’s weathered many scandals such as rape, abusing the office of the president, embezzlement of public funds (Nkandla scam), Marikana shootings in which miners were killed, adultery and above all corruption especially his ties with an infamous family known as Guptas, three Indian brothers who turned South Africa into their El Dorado using Zuma and associates. There recently surfaced some accusations liking the Gupta family alleging they promised some politicians of ministerial positions provided they safeguard the Guptas’ heinous interests. True, due to such machinations, Zuma was forced to hire and fire three Finance Ministers within a week.
Zuma’s quandary doesn’t end up on Nkandla scam. It goes further involving his family members especially his son Duduzane who’s alleged to be behind many scams of which is the 2013 scandal in which Dudu (as he is known) allowed his influence to be exploited by the Guptas that landed their private jet at Waterkloof military airbase something that’s construed to have compromised national security. The Daily Maverick May 3rd 2013 had this to say vis-à-vis marriage between Zuma and the Gupta. “It is not a secret that President Zuma and members of his family are financially entangled with the Guptas. (Previously, President Zuma was financially entangled with Schabir Shaik in what the High Court called a “mutually beneficial symbiosis”– before the relationship broke down when that encrypted fax temporarily landed Shaik in jail–and at “death’s” door–for corrupting and bribing Zuma).”
            Before the Gupta saga waned, the Nkandla scandal in which Zuma is alleged to have illegally benefited from the upgrade of his homestead in his home village of Nkandla kicked in. This scandal was unearthed by the Public Protectors, Thuli Madonsela, who ordered Zuma to pay the extra money as a remedial action. Firstly, Zuma rubbished such an order;and thus, forced the opposition party, the Economic Freedom Fighters (EFF), to sue Zuma before the Constitution Court of South Africa which recently ruled that Zuma must pay back the money as a remedial action as ordered by the Public Protector within 45 days after the Treasury calculating the amount he’s supposed to pay. The eleven-bench court ruled in favour of the EFF holding that what Zuma did amounts to tantamount of constitutional breach. The court went ahead hailing the Public Protectors as David who took on the Goliath. After this historic ruling,Zuma made an apology for what happened. However, the opposition disparaged it as an insult to the nation. It wanted him to go. What seems to help Zuma stand his ground is the fact that the mode of forcing him seems to be convoluted in that a section of opposition led by the Democratic Alliance (DA) seeks to impeach Zuma while two months ago this method failed thank to Zuma’s African National Congress (ANC) party having the majority. Sensing the danger of this move, the EFF wants South Africans to take to the streets to force Zuma out.
 Before this ruling, Zuma squarely refused to pay the money back. Once the case was instituted, Zuma made a U-turn and threw the towel in that he’d pay the money. Tactically, Zuma aimed at avoiding such legally and politically damning rule.
            Given that Zuma–thanks to patronage politics–survived all scandals, many think that, this time around he’ll get away with murder. However, by the look of things, the EFF is hell-bent to see to it that Zuma packs and hits the road. How possible is this? It remains to be seen. While the EFF is taking on Zuma, his scandals are dealing a death blow to the economy of South Africa.
            Before and after coming to power, Zuma hasn’t broken away from controversy.  He’s currently facing a looming situation whereby he’s required to resign. Although corruption has been there since apartheid time, South Africans think it seems to have surged after Zuma came to power so as to become endemic and widespread in the country now. For a while now, South African has evidenced the wave of calling that aimed at exerting pressure on Zuma to vacate the office of the president. Zuma may pooh-pooh this. However, the dent has already been incurred on his presidency. Retired Archbishop Desmond Tutu was quoted as saying, “A society that assigns resources on the basis of peoples' proximity to power is no less sinful to one that assigns resources on the basis of skin colour.”  For Tutu, corruption is as bad as apartheid was due to the fact that the national cake is eaten by a kit and caboodle of a few connected elites and their consociates leaving the majority out of the party as it currently is under Zuma. Such a statement is very denting. Another icon of liberation, Ahmed Kathrada added his weight urging Zuma to go.
The BBC noted that President Jacob Zuma has been the chief target of anger, with $24 million (21 million euros) of improvements to his private residence becoming a symbol of alleged government misspending and mega corruption. South Africans are questioningly wondering.  How such humongous money can be spent on Zuma’s security upgrade while the situation was different for his predecessors. The Guardian November 23rd 2013 wondered too. It reported, “The 215m rand spent on Zuma's home is in stark contrast to state money spent on improving the security of previous presidents, the Mail and Guardian said. FW de Klerk, South Africa's last white president, who left office in 1994, received 236,000 rand (£14,179) for upgrades to his house, while 32m rand (£1.9m) was spent on Nelson Mandela's home.
                        On his part–sometimes back in 2013–former South African president, Thabo Mbeki slammed Zuma for failing to answer question by parliamentarians on Nkandla scandal. Mbeki was quoted as saying, “I’m sure that all of us, including the parliamentarians, never expected that such a thing would happen in parliament ... I sat in the same hall from 1994 to 2008 and either listened to or participated in making many state of the nation addresses and nothing of the sort ever happened.” Furthermore, due to being a feeble president, Newspapers had it in South Africa that the Guptas reached a point of asking for diplomatic passports the demand which South African authorities refused to grant.
            To show how deeper the relationship between Zuma and Gupta family is, one Member of Parliament (MP) David Maynier, (Democratic Alliance) was quoted as telling the parliament back in 2013  that, “There is a widely held perception that when the Guptas say ‘jump’, the president says, 'how high?” Again, this being the real situation South Africa is in, who’ll save it from Zuma?
Source: The African Executive.

Tumkumbuke Marehemu Issa Juma toto la Tanga

Mlevi: Itungwe sheria ya kunyonga mafisadi

$
0
0
            Baada ya wale ambao hukuwatarajia kutumbuliwa tena uchi na wengine kulala lupango, Mlevi nina mpango wa ima kwenda mjengoni au kwa Dokta Joni Kanywaji Makufuli kuwachomea utambi ili itunge sheria kali dhdi ya wanaoiba mabilioni. Nitapendekeza wanyotolewe roho hadi kudedi kabisa kabisa.
            Hapa sitasikia stori za haki za binadamu. Kwani washenzi hawa  wameua wangapi kwa ukapa wa kutengenezwa? Hivi kweli hawa nao wanahitaji kufaidi haki za bindamu wakati matendo yao si ya kibinadamu?
            Leo mnawapeleka lupango wakiwa nan doo zilizojaa kila kitu ili iweje? Hawa hawastahili kufungwa bali kunyotolewa roho kabisa. Tunawafunga kwa faida ipi huku wakilala white house na kula bure baada ya kutembeza nchiko? Kwani hatujui kuwa wanene wakifungwa wanaishi kama vile wako uraiani? Muulize yule jambazi wa benki
            Nilipokuwa uchina kwa rafikiyangu Kil ua Them nilishuhudia vigogo wengi wakitwangwa shaba bila huruma na hakuna aliyesikiliza upuuzi unaoitwa haki za binadamu. Anayefanya unyama kama uhujumu anakoma kuwa binadamu. Hivyo, hasatahiki haki za binadamu. Ingekuwa inawezekana ningependekeza wote waliokwisha kufikishwa kwa pilato achukue maji anawe mikono yake na kuwaambia,”Damu yenu sidaiwe ila msulubiwe na iwe hivyo.”
            Majizi yote yaliyohujumu kaya kutokana na kuwa wake, wakwe, watoto, marafiki au mashemeji wa wakubwa lazima yanyongwe. Kama siyo kulindana na kuogopana chini ya dhana ya kuanza upya, hata haya MaWAMA, ma-Fursa Sawa kwa Walaji yalipaswa kufumuliwa na majambazi yaliyoko nyuma yake yakanyongwa au kufungwa maisha bila kumuangalia nyani usoni. Kwani hatuyajui wala kuyaona majambazi ya kiume na kike yaliyofilisi kaya yetu kutokana na kuwa na uhusiano na wanene? Nani hajui kuwa bi wakubwa wawili waliotangulia walikwapua kwa kutumia vishirika uchwara na vya kiwizi? Bring them to book Dr Mugful please before I commit suicide.
            Ni vitegemezi vingapi vya wanene vimepewa vyeo si kwa sababu vina sifa za ziada zaidi ya majina ya madingi yake? Ni vitegemezi vingapi vya wanene sasa ni vihishimiwa hata vimilionea wizi kwa vile ni vitegemezi vya wanene? Kwani hatuvijui wala havijijui? Nilipokuwa Uchina nilimshuhudia mnyongaji aitwaye Fire nyong Yote akiwanyotoa roho mafisadi wanene wanene wa kichinaizi bila kujali vyeo au majina yao au ya madingi wao. Mna habari kuwa hata bi mkubwa wa Mkiti Mao Zedong aliwahi kuhukumiwa kifo baada ya kugundulika kuwa alitumia madaraka ya mwenyekiti Mao vibaya? Sasa kama bi Mao mzima anahukumiwa kunyotolewa roho, hawa wetu vinuka mavi ni nani?
            Leo hii mijizi kama Has Kitne, Haoi Msumari au Chose Sunare yangekuwa yameishaoza kama ingekuwa uchainizi. Kule wasingejali kuwa mengine ni makwe ya wanene au mashoga wa wake wa wanene au mashemeji wa wanene. Hata yale majambazi manene ya EPA, Kagoda, Kiwira na mikashfa mingine bila kusahau Escrew yangekwisha nyongwa na kuzikwa kwenye makaburi yasiyo na alama kama Gaddafi. Unacheza na wachainizi nini? Hata hawa wahalifu wa kichainizi wanaotorosha vipusa vyetu ingekuwa kwao wasingefungwa zaidi ya kunyongwa ili kutoa somo kwa wanaodhani Uchaina ni shamba la bibi au kichwa cha chizi kujifunzia kunyoa. Wala Uchainizi siyo the land of Vasco da Gama au No-Man’s land ya akina Ben Tunituni Dugong Makapi na wezi wenzake walioleta wachukuaji wakawapa jina zuri la wawekaji wakati walikuwa wanaweka wanachukua waa.
            Tuache utani. Naandika waraka huu kwa wahishimiwa kuwa watunge sheria ya kunyonga mafisadi hata kama mafisadi hao ni wenzao wanaodai uchache kwa makampuni ili kupitisha mazabe na madudu yao. Akina Rich Ndassi wananipata bila shaka hapa.
Kama waishiwa watakaidi agizo langu basi nitawahamasisha walevi wavamie mjengo na michupa yao na ulabu watembeze–wewe! Shika adabu yako! Hayo tuyaache. Nitawahamasisha walevi wavamie mjengo wakiwa uchi ili kuwamwagia radhi watakaokataa kupitisha sheria ya kuwanyonga wabaya wao.
Najua wapo waishiwa watakaoogopa kupitisha sheria hii kwa kuogopa wenzao au wao kunyotolewa roho. Hivi miishiwa inayoomba mshiko kwenye sirikali za wilaya si ya kunyotolewa roho hii? Lione lile linasoma na kunisonya wakati limenenepeshwa na njuluku za rushwa. Kwani hatuyajui maishiwa yanayokwenda mjengoni kuwakilisha mitumbo ya kwa kisingizio cha kuwakilisha walevi?
            Tokana maishiwa yanayokula rushwa kama yalivyokwisha kuanza kutumbuliwa, Mlevi ana mpango wa kutangaza walificha njuluku nje. Hii ni baada ya wezi wetu na ndugu zao kutoonekana kwenye karatasi zilizovujishwa hivi karibuni kuhusiana na maficho ya njuluku kule Panama. Panama wamenusurika; Bahamas, Dubai, Switzerland, Isle of Man, Cayman na kwingineko hatapona. Hivyo, asije fisadi akakudanganya kuwa yu safi kwa vile jina lake, mkewe, kitegemezi au mramba makalio wake hajatajwa. Wanazo njuluku nje hata hapa hapa Afrika. Ukienda pale Mauritius utagundua utajiri wa kijambazi wa ajabu uliofichwa kule na mafwisadi wetu wanaojifanya kujionyesha kama watu wema wakati wengi wao ni mijambazi ya kutupwa.  I know them; and one day I’ll name and shame them. Believe ye me.
            Leo sichongi sana. Ngoja niwahi kwenda kuandaa orodha ya majambazi tena wakubwa wakubwa ambayo ukiisoma hutaamini macho yako.
Chanzo: Nipashe, Aprili 9, 2016.

Magufuli tumbua wezi bodi za mashirika ya umma

$
0
0

            Akiwa mjini Chato mkoani Geita hivi karibuni, rais John Pombe Magufuli alizungumzia mambo mbali mbali yahusuyo mstakabali wa taifa. Moja kati ya mengi aliloongelea –au tuseme kugusia –ni namna baadhi ya watanzania waroho na wabinafsi wanavyoishi maisha mazuri kuliko hata malaika wakati wengi wa watanzania wakiishi kwa mateso.
            Magufuli alisema, “Kuna watu wanaishi maisha mazuri kuliko hata Malaika,” wakati watanzania wengi wakisoteshwa na kuteseka kwa umaskini. Ni roho mbaya kiasi gani? Hata fisi–pamoja na kuwa hayawani na kiumbe mroho sana–hawezi kuwafanyia hivyo wenzake. Ajabu watu wa namna hii wanaitwa wasomi na wanaamini kuwa wanachofanya–licha ya kuwa haki–ni wajibu wao kwa taifa. Watu wa namna hii si wa kuficha majina yao wala kufumiliwa. Nadhani wakati wa kulalamika umekwisha.  Kilichobaki ni kuwashughulikia bila huruma wala ajizi. Hivi ndivyo Tanzania inaweza kuondokana na kugeuzwa shamba la bibi na wahalifu wachache wasioona mbali. Kuendelea kuwa na wezi wa namna hii ni tishio kwa amani na usalama wa taifa huko tuendako.
Pamoja na taarifa za ufujaji na wizi huu kuchukiza, kukatisha tamaa na kuchefuam, cha kufurahisisha ni ukweli kuwa rais Magufuli aliahidi kuwa atahakikisha watu wachache wanaojinufaisha kwa fedha ya umma kwa kujipangia na kujilipa marupurupu, maslahi na mishahara mikubwa–aliyosema inapitishwa na bodi za mashirika za kifisadi–wanapunguziwa mishahara yao toka milioni 40 hadi 15. Wengi wangetaka aanze hata leo na si baadaye. Kama hili litafanyiwa kazi vilivyo, basi ni ni hatua nzuri ya kutenda haki, kuwawezesha wanyonge na kuziba pengo baina ya wenye nazo na wasio nazo linalozidi kuongezeka kiasi cha kutishia usalama wa nchi. Katika kuelezea namna nchi ilivyokuwa imegeuzwa “shamba la bibi” Magufuli alisema, “Wapo waliofikia hata kufanyia mikutano ya bodi nje ya nchi.” Hakuna namna ya kuelezea kadhia hii. Huu si ufisadi wala jinai tu bali dhambi isiyohitaji msamaha. Hata kama ni ni jinai, basi huu ni ufisadi, uroho, roho mbaya, ulafi na ufujaji wa fedha za umma na ni jinai ya aina yake yenye kuweza kutendwa na binadamu. Hivyo, tunamuomba Magufuli awashughulikie wote waliobainika kwenda ughaibuni kufanya mikutano ya bodi.
            Katika kushughulikia wezi na wafujaji hawa wa fedha za umma, Magufuli anapaswa kufanya yafutatayo:
Mosi, uchunguzi wa kina ufanywe na majina ya wahusika yatangazwe hadharani na kiasi gani cha fedha walifuja, nchi gani walikokwenda na kwa muda gani waliokaa kule. Hii licha ya akubaini wahusika, unaweza kugundua madudu mengine kama vile watu kwenda kufanyia ufuska nje kwa kisingizio cha mikutano ya bodi.
Pili, wahusika walazimishwe kurejesha fedha zote walizofuja katika matanuzi yao haya huku wakilazimishwa waeleze mantiki ya kufanya hivyo hasa ikizingatiwa kuwa nchi yetu ni maskini inayoishi kwa kuombaomba.
Tatu, wafunguliwe kesi mahakamani ili kuwa somo kwa wengine. Kama sheria za sasa hazina meno, basi zirekebishwe kwanza ili kutoa adhabu kali ndipo watuhumiwa washitakiwe ili wakipatikana na hatia wapewe adhabu kali isiyohusisha faini.
Nne, wafukuzwe kazi; na uanzishwe utaratibu wa kuhakikisha watu wenye ajira nyingine hawateuliwi kwenye bodi za mashirika ya umma. Hii itasaidia kuepusha keki ya taifa kufaidiwa na waroho wachache wakati taifa lina wengi wasio na ajira hasa vijana waliosoma kwa fedha ya mikopo ambayo inakuwa vigumu kuirejesha bila kuwa na ajira wala kipato. Tungependekeza itungwe sheria ya kumtaka kila mtanzania awe na chanzo kimoja cha mapato; na kama ni ajira asiwe na ajira zaidi ya moja ili kutoa fursa kwa jeshi kubwa la watu wasio kuwa na kazi ambalo taifa linakabiliana nalo. Nadhani hii itaondoa ufisadi wa kilafi wa namna hii.
Tano, bodi zote za mashirika yote ya umma zifanyiwe ukaguzi wa mahesabu na kubaini wengine ambao hawajabainika ikiwezekana kuanzia wakati mashirika yalipoundwa ili kubaini ni fedha za umma kiasi gani zimeibwa na nani wanahusika wawe hai, wameishastaafu au kufa lazima watajwe ili umma uwajue na kupendekeza hatua za kuchukuliwa dhidi ya warithi wao au walio hai kulipa wenyewe.
Sita, mali za watuhumiwa zikamatwe na kurejeshwa serikali hasa zile zinazoonyesha kuzidi toka kwenye malipo halali waliyopaswa kulipwa.
Saba, iundwe taasisi maalumu ya kuchunguza na kuratibu shughuli za bodi za mashirika ya umma.
Nane, irejeshwe sheria ya maadili ya utumishi wa umma itakayowataka wajumbe wa bodi kuwa wanaripoti mali zao kila mwaka ili kubaini wizi wa mali ya umma.
Tumalizie kwa kumtaka rais Magufuli asiishie kulalamikia kadhia hii. Achukue hatua tena mara moja ya kuwatumbua wahusika au hata “kukata miguu” kama alivyosema pale jipu linapokuwa kubwa au limeishautafua mwili.
Chanzo: Tanzania, April 10, 2016.

Dr Mugful:Boozers want our Swiss dosh back

$
0
0

            After the American Millennium Challenge Corp (AMCC) withdrew its pledge of furnishing the hunk with $ 700 thanks to Zenj’s mess, as a hunk, we need to think out of the box about how to bridge the gap resulting from this holier than thou mentality. Mind you. I don’t condone Zenj’s mess which’s obviously uchakachuaji; I toughly condemn. Again, why punishing boozers for the crime one wino committed to save another? Don’t donors know the culprits behind this blooper? If they don’t, I’ll tell them. Go punish Njaa Kaya and Shain but not boozers.
            Now that the twinge’s already been felt, we need to come up with creative and constructive ways of addressing and arresting the problem. Boozers, however, suggest the following:
            First, stop pointless dependency and begging while the hunk sits on immense resources such as minerals, fertile land, rivers, lakes, an ocean; and above all, boozers themselves. Why’d we depend on donors for everything as if we don’t have hands and heads?
            Secondly, make sure that the dosh putas stole and stashed in offshore banks is retrieved ASAP. Let’s start with the dosh stashed in Swiss banks. I still remember how the Swiss govt was, and still is ready, to help us to retrieve the loots. Given that Njaa Kaya and his courtier, Freddie Werema, are no longer at the helm, it is the right time to tell Dr. Joni Kanywaji Mugful to rekindle the process of claiming back the dosh from cooperative offshore banks.one firm in Panama recently led the way by exposing thieves and hypocrites who deceive their people that they’re clean while they actually are bloody thieves.
            Thirdly, arrest and have up all those that caused the blunder in Zenj so as to give a pretext to donors to withdraw their dosh. Why’d a few crooks cause such sufferings to boozers; and still be spared from facing the music? Given that these guys plundered a lot of dosh, force them to reimburse us by attacking their freedoms and dosh; simple.
            Fourthly, tell the donors to stop double standard of employing pretexts to deny boozers the dosh they robbed them through slavery and colonialism. Why’d you punish the son simply because the father offended you? The infrastructure–this dosh would build–doesn’t belong to politicos but boozers.  If the same donors shamelessly sustained freebooters like Mobutu, why can’t they sustain others? I feel like punching somebody in the face. Why? For, what seems to matter to the bloody donors is their democracy but not our good. For instance, when big-headed Uncle Tom Ben Mkapa signed bogus and exploitative contracts with the takers aka investors, donors didn’t withdraw their bloody dosh. What double standard! Is what transpired in Zenj worse than what’s been going on in the Democratic Rep of Congo (DRC), Equatorial Guinea, Republic of Congo, Rwanda, Uganda and Togo where constitutions are defecated on in order to make demigods kings through sham-voting plebiscites?
            It is terribly saddening to find that those who over and above robbed us through colonialism, and still do under neocolonialism, treating us like halfwits if not zombies. It becomes even worse finding people calling themselves men to kow tow before other men simply because they’re promised of degrading assistance without thinking out of the box. Guys, mtaendelea kuliwa hadi lini? Let’s face it. As Mugful said recently, uchumi mnao but you’re sitting on it. How did Africa live before 1884 when colonial monsters congregated in Berlin to chop and divide it like a cake? Did Africa live on handouts or aid or want donors to babysit it as it currently is? This is a question Dr Mugful needs to answer.  To avoid degrading dependency on donors, do this: Correct tax, fight corruption, practically and steadfastly, create jobs, and above all, spends wisely. I toast Dr Mugful on suspending Union Day’s extravagance and globetrotting simply because he’d be paid some per diem.  Add more Sir to see to it that you aren’t going abroad to self-dress as it used to be under three gullible and venal rules the hunk ever had. Despite being tanked-up, boozers don’t get it. How can we sit down and weep for spilled milk while we’ve so many cows? To put it in the milieu, why’d we weep for just $700 million while buggers like IpTL and others are raking in more dosh than that while we stay side and look? Why’d we holler for just $700 million while capital flight, tax evasion, bribes and other sorts of graft are sinking even bigger dosh than that? How much do our thieves have in Swiss banks not to mention in Panama, Dubai, Mauritius, London, Hong Kong, the Isle of Man, Bahamas, Cayman and Jersey?  Go ask mzee wa Vijisenti or Roast Tamu Aziz.
            To cut a long story short, please start talks with Swiss authorities to see to it that our dosh stashed there is retrieved.
Source: Guardian, April 10, 2016.

On Chinese criminals: Tanzania can learn from Kenya

$
0
0
Some of 37 Chinese nationals who were arrested in Nairobi on December 1, 2014 in Runda, Nairobi County. PHOTO | PAUL WAWERU | NATION MEDIA GROUP
Kenya authorities recently  busted a Taiwanese gang of criminals. After arraigning the members of the gang who were allegedly involved on various criminal activities such as cyber crimes,  Kenya decided to bundle them on the plane and dispatch them to China. However good this maybe, such criminals were supposed to be jailed for longer time then extradited to China so that it can be a lesson to all those who think Africa is No-Man's Land for them to come and plunder. I wish Tanzania should take a leaf from Kenya after making sure that such criminals are jailed; and thereafter being bundled into a  plane and send them home. For more info, please CLICK HERE.

Hii kitu nimeipenda sana

$
0
0

Hakuna kitu kilikuwa kikinikera kama ujambazi wa kutumia ofisi ya rais kwa wake zao kujitajirisha. Hili nilishaliandikia sana hadi baadhi ya waathirika wakadhani nilikuwa na ugomvi binafsi. Msanii hapa amefikisha ujumbe kisawasawa. Watu wamechoka na ujambazi wa wake za wakubwa. Nadhani Dk Kanywaji na mkewe wataisoma hii na kuizingatia.
Chanzo: Msomaji wangu Sirili Akko Miontini.

Kijiwe kutuma mjumbe Panama

$
0
0

            Baada ya kampuni ya uwakili ya Fonseca ya nchini Panama kuwaanika wezi wenye maulaji, kijiwe kinataka kumtuma Msomi Mkatatamaa kwenda kule kubaini na kutaka FONSECA ifichue na majina ya majambawazi ya Kibongo yaliyoficha njuluku kule.  Hoja hii imeletwa na Mgosi Machungi akishangaa kwanini wezi wetu hawakutajwa kwenye expose iliyotolewa hivi karibuni.
            Baada ya kuamkua, Mgosi anaamua kuanzisha mada, “Wagoshi, leo nina bonge ya inshu juu ya ufichaji njuuku kue Panama Canai. Mmesoma oodha ya vigogo wa Kiafiika waioficha njuuku kue Panama?”
            Kabla ya kuendelea, Msomi anaamua kutia guu, “Orodha ninayo hapa,” anachomoa jarida moja kubwa la kimataifa la masuala ya njuluku na kuliweka kwenye benchi kila mtu aone. Mchunguliaji analidaka huku kila mmoja akitoa mimacho kuambua kilichomo kwenye jarida hili.
            Mipawa anakula mic, “Pamoja na kukaribisha ufichuaji wa majambazi yanayojificha nyuma ya vyeo, taarifa hii imenikera sana.”
            Kabla ya kuendelea, Kapende anauliza, “Eti hii taarifa adhimu imekukera? Au mwenzetu nawe umeficha mshiko au jamaa zako?”
            Mipawa anajibu, “Siyo hivyo ndugu yangu. Mie nipate wapi mshiko wa kuficha Panama na ukapa na ukata huu ndugu yangu? Kilichonikera ni taarifa hii kutokuwa na majina ya mafwisadi wetu walioficha njuluku kule. Ni hilo tu. Vinginevyo naiunga mkono taarifa yote.”
            Msomi anakatua mic, “Mheshimiwa Mipawa huna haja ya kuchukia. Kwani mambo bado. Huu ni mwanzo tu. Majina ya majambazi yako yatakuwamo–huenda kwenye orodha nyingine itakayotoka–ambayo nimeishahakikishiwa kuwa inaandaliwa.”
            Baada ya Msomi kusema hivyo, kila mmoja anamtazama mwenzake kwa mshangao. Kama amegundua ambavyo wanakijiwe wameshangaa na kudhani hizi ni Kamba, anakula mic tena, “Najua ninaposema nafuatilia, wapo watakaotia shaka wasijue kuwa hawa wanasheria wawili wenye kampuni ya Fonseca yaani,Jürgen Mossack na Ramón Fonseca, nimewafundisha sheria nilipokuwa nafundisha kwenye chuo kikuu cha Yale kule kwa Joji Kichaka. Hivyo, ninamanisha ninachosema.”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anakamua mic, “Kaka Msomi iwe hivyo. Nangoja kuona orodha hii ili nijihakikishie kama wote wapo au ni danganya toto ya kutaka kupewa mshiko tena ili kuwafichia wengine madhambi yao. Maana haiwezekani kaya nyingi za Afrika zitajwe bila Danganyika kuwemo angalau mmoja.”
            Kapende hajivungi. Anakwanyua mic, “Hata mimi kusema ule ukweli, orodha hii haijanikuna. Bila kuwataja akina Rugemalayer, Rizi, Ana Tamaa, Ana Kajuamlo Tiba na majambazi wengine sitaiamini.”
            Msomi anarejea, “Inawezekana wezi wetu hawafichi kule hasa ikizingatiwa kuwa maficho ya njuluku si Panama tu. Nani alijua kuwa visiwa vya Jersey ni maficho kabla ya ujambazi wa mzee wa Vijsenti na Roast Tamu kugunduliwa? Kuna sehemu nyingi zinakofichwa njuluku kuanzia Dubai, Mauritius, Isle of Man, Cayman, Bahamas, London, Paris na kwingineko. Hivyo jamani vuteni subira watapatikana.”
            Mheshimiwa Bwege anaamua kutia guu, “Mie watajwe wasitajwe hainisumbui. Nijuacho ni kwamba wapo wezi wetu. Hata hivyo, tunapaswa kujiuliza. Hata wakitajwa tutawafanya nini zaidi ya kupiga kelele na kunyamaza? Wako wapi waliotajwa na Uswisi hata mjengo ukapiga kelele na kuwagopa?”
            “Mambo iko badilika dugu yangu. Hii dokta kanyaji kama napata jina ya hii naficha juluku Panama takamata yeye kama nakamata Hasi Tilya na miji mingine. Hapana fanya chezo na dokta Kufuli veve,” anajibu Kanji.
            Mheshimiwa Bwege haridhiki. Anatia guu tena, “Hapa hakuna cha kufuli wala funguo. Kama unaona kufuli lako laweza kuwafunga majambazi wetu, jiulize kwanini halijashughulikia Escrew na kubadili mikataba ya kijambazi ya uchukuaji katika madini na nishati kayani? Kama unaona kufuli–sijui funguo–mbona amegwaya kuzitaka mamlaka za Uswizi ambazo zilionyesha utayari kurejesha njuluku zetu kufanya hivyo?”
            Mpemba anaamua kula mic, “Wallahi hapa Mhishiwa Bwege wankuna japo wankata. Nami nshangaa sana. Kama kweli huyu Makufuli amaanisha asemacho, kwanini asikamate lau wevi wa Kagoda waniojulikana hata kwa kunguru? Mbona hajaingilia kati kwenye wizi wa UDAA ambao uko wazi kabisa?”
            Msomi anakula tena mic, “Najua–kwa sasa wengi wanahangaishwa na kutaka kujua majina ya wezi wetu–yapo mambo mengi makubwa yatatokea. Kama Makufuli atakuwa makini na kutaka taarifa za mabenki mengi kayani yaliyokuwa yakiibia sirikali na kuikopesha njuluku hiyo hiyo yaliyoiibia, tutasikia mengi. Nyie tegeni masikio mtasikia na kuona mengi hata ambayo hamkutegemea. Mnadhani hii njuluku inatoroshwa na nani kama si baadhi ya mabenki na Bureau de change zilizotapakaa kayani kama uyoga?”
            Mpemba anakatua mic tena, “Usemayo Msomi ya kweli. Nshangaa sana kuona bureau de change nyingi zenye kutia shaka zikiachwa ziendelee kutorosha njuluku zetu wallahi.”
            Kijiwe kikiwa ndiyo kinanoga si simu ya Msomi ikalia. Kumbe ni Fonseca walikuwa wakimpa maendeleo ya kinachoendelea kule Panama.
Msomi anapokea simu na kusema, “Thanks brother, I am in the process of coming over to check more names.
Chanzo: Tanzania Daima, Aprili 13, 2016.

Ma-konda: Ombaomba yupi amfukuze mwenzake?

$
0
0
    Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook











Inanikumbusha ile amri ya dingi mwenyewe ya kupiga marufuku vijiwe vya walevi huku akibariki vya waishiwa, wachunaji wajiitao wachungaji, mashehena wajiitao mashehe ukiachia mbali vile vya akina Anna Kimlango Malisera waliovurunda kule Shy wakaambiwa: watapangiwa ulaji mwingine. Unapoteua mijitu iliyobwagwa kwenye kura za maoni unategemea nini?
            Kwa kumbukumbu ni kwamba hata huyu dogo anayetaka kuwatimua ombaomba amewahi kukiri: alikuwa akienda canteen kuomba chakula kilichokuwa kiende kwa wenye mbwa. Ama kweli mkuki kwa nguruwe. Anayebishia au kufikiri nazua abonyeze https://www.youtube.com/watch?v=0FmCByYhV0c&nohtml5=False
Kama aliongea kuwafurahisha watazamaji, ajue huu ndiyo ushahidi na imekula kwake.
            Sina haja ya kutetea ombaomba. Kwanza, hawana uchache wa kunilipa. Pili, wanachofanya ni aibu sawa na kaya yao. Nadhani ili kupata kile waCameron huita moral authority, kaya ilipaswa, kwanza, iache kuombaomba ndipo ipate udhu wa kuwafukuza ombaomba wenzake. Ombaomba wana akili, nguvu na mikono kama nyenzo za uchumi; ila wanavikalia sawa na kaya inavyokalia uchumi huku ikishikilia kuombaomba. Kwa walevi, ombaomba wa mitaani ni nafuu kuliko wa maofisini wanaoomba kitu kikubwa na kidogo. Sidhani kama ombaomba wa mitaani ni wabaya sawa na wale wanaokwenda Ulaya kuomba halafu njuluku ikaishia Uswisi, Panama, Jersey na kwingineko. Au mnawaonea kwa vile hawakupiga buku? Nani amewafanya ombaomba kama siyo wakubwa wa hovyo walioacha kaya igeuzwe shamba la bibi huku wao wakitanua kila uchao kwenda nje kufanya kazi hiyo hiyo?
            Sidhani kama ombaomba wetu ni hatari kama wamachinga wa kigeni waliofurika miji yetu wakiuza ubuyu wakati wachovu wetu wanaweza kufanya kazi hii au wale wanaosamehe kodi, kuruhusu makontena kupita bandarini bila kulipa ushuri, kuingiza mafuta kayani kwa miaka mitano bila kuwa na mita; au wanene walioruhusu kaya yetu ifilisiwe wakati wao wakicheka cheka; au wale waliojimilkisha Kiwira, UDA au kushiriki ujambazi kama EPA, Escrow na uchafu mwingine. Pamoja na ulevi na mibangi yangu, sijui kama ombaomba hawa wana hatari sawa na majambazi walioingiza mikampuni jini kama IPTL. Sijui na sijajua kusema ule ukweli.Kamata hao kwanza wafuatie ombaomba.
            Tuache utani. Hata tukimpiga darubini huyu dogo mkubwa wa mkoa, ukubwa wake haukutokana na kingine zaidi ya kuomba ateuliwa na Njaa Kaya hasa baada ya kumdhalilisha mzee Jose Waryuba. Mbali na hayo, badala ya kuangalia ni kwanini wachovu wanakimbia vijijini na kuja mijini, mnadhani kuwafukuza ni jibu? Pelekeni maendeleo na maisha bora kule. Hamtawaona mijini. Tokana na elimu yangu ya uchumi niliopata wakati nikisomea PhD yangu kwenye Environment, Resource, Development and Economy (ERDE) ni kwamba wachovu wengi wanakimbia vijijini kutokana na kutokuwapo maendeleo. Watafanya nini iwapo wanasikia mijizi kama Singasinga, Jimmy Rugemalayer, Rosti Tamu la Aziz, Ni Ziro Kadamage, Has Kitiliya, Say Kisenena na wengine wanapiga dili na kuibuka mabilionea bila kutoa jasho? Mnadhani hawasikii wala kujua kinachoendelea kwenye majiji kama Bongo ambako gendaeka wanauza mibwimbwi na kulala maskini na kuamka mabilionea na hakuna anayehoji walivyozichanga? Nani aende shamba wakati hata marahis wastaafu hukomaa jijini? Do you think they’re stupid son? Think twice. Sijui kama ombaomba wa mitaani ni wabaya sawa na majambazi ya bunduki na kalamu. Sijui kama ombaomba hawa maskini ni wabaya sawa na viongozi wa kiroho wanaowachuna na kuwaibia maskini wakitangaza ujinga kama kutenda miujiza wakati miujiza yenyewe ni kuwatapeli wachovu na kuwa matajiri wa kutupwa. Brother mchunaji Rwakatarehe, Gamanyua, Lusekelelo, Mwasengesenge, Ka-tortoise, Jose Gwaijimani na matapeli wengine wa kiroho mnanideku hapa?
            Sasa ngoja nitoe ushauri wa kitaalamu. Kwanza, nashauri wakubwa wasihubiri maji wakanywa mvinyo kama yule jamaa wa kwenye kitabu fulani aitwaye Po kama huyu bwana mdogo aliyesema fuateni niwambiayo lakini siyo nitendayo. Hawa hakika wanakikumbusha mama ntilie fulani ambaye alikuwa akiagiza mlo wake wa mchana wakati akiuza msosi kutokana na kujua kilichokuwapo nyuma ya pazia.
            Pili, kaya iache kuomba. Ikusanye ushuru, ilinde mali za umma, ikamate mafwisadi wote na kuwanyonga, ijitegemee ndipo ipate udhu wa kuwafukuza ombaomba. Jogoo aliyewafundisha vifaranga kunya ndani.  Kwanini lisirikali linaloomba linataka kuzuia wachovu wake kuomba wakati lina kila raslimali tofauti na wao? Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga. Ukiishi kwa kuomba na wachovu wako wataomba kama wewe hata kama hawana sura wala hawaongei kimombo katika kufanya hivyo.  Sijui hapa ni ombaomba yupi anataka kumfukuza yupi wakati wote ni wamoja?
            Ngoja nijikate kisilesi nikingoja kiumane!
Chanzo: Nipashe, Aprili, 16, 2016.

Ngoma bila nguo: Wewe ungefanyaje

Viewing all 3178 articles
Browse latest View live