Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all 3180 articles
Browse latest View live

Kwa wananandoa au watarajiwa

$
0
0

Hapa Agatha Murudzwa anawanasihi wanandoa kupendana huku akiwapongeza wawili waliofunga pingu za maisha kwa lugha yake ya Kishona.


Hongereni
Mungu awe nanyi
Mungu awalinde
umepata mume
mapenzi umpe
Hongereni
umpe upendo
Auone na kuuhisi

Wawili nyinyi
Mmetukusanya hapa
Mmesimama mbele ya Mungu
Hiki kinachofanyika
Ni mbele ya Mungu
Mungu awaunganishe
Mtangulizeni Mungu
Hongereni
Mungu awe nanyi
Mungu awalinde

Nawe baba ni mlinzi
Mtunze umpe upendo
Mpe upendo wa baba
Hongereni
Mungu awe nanyi
Mungu awalinde


ONYO
Ukisikia mukadzi usiseme ni Nkwazi
Hata ukisikia Ngwazi usidhani ni Nkwazi
Mukadzi ni mwanamke na Ngwazi ni mzee

Cronyism, nepotism and nihilism: Hooray Makamba

$
0
0

           As any boozer, I didn’t expect Jan Makamba’s accusations against Jake Kiquette. I didn’t expect this given that the accuser is one of the beneficiaries of the crime he’s accusing Kiquette of. Makamba’s recently quoted accusing the past govt of cronyism favouratism nepotism, and nihilism among others. Though Makamba’s allegations are true, he’s supposed to be the last to attack the very system that cloned him. Again, why’d he care if the said govt’s already packed and vanished into the oblivion? Makamba is very smart. He’s trying to entice Mugful–just like any other dudes we see self-dressing down in order to stay in ulaji. Don’t play with ulaji especially in the upper echelons of power. One thing’s obvious. After Mugful lapses his time in office, the same Makamba will treat him the same way he’s now disparaging his godfather.
            Let’s dissect Makamba a wee bit using our bhang and Kanywaji knowledge. Besides being the son of a party bigwig, what political qualifications does Makamba have to deserve such a position? Methinks. He and Dr Hussy Mwinyi should thank Kiquette for favouring and protecting them as Makamba said that the former govt was good at favouring and protecting corrupt and inept officials among who are children of the high and the mighty. Makamba is lucky. I remember. His dad once blathered that his son would be appointed a minister. Against all odds, soon thereafter, he’s appointed. Lucky him; had the said govt being ethical and manned by an accountable head, such irresponsible utterances would have stopped the appointing authority from appointing him. Again, given that the hunk was on autopilot and manned by an ever-smiling guy who’s never been serious in anything, who’d bother to torture his head to look into ethics while favouratism, nepotism, cronyism and nihilism took the place of ethics?
            Essentially, Mamba’s words are but self-inculpatory. They justify our assumptions that this hunk’s become another kingdom through the back door whereby certain clans have held it on ransom. Look at Dr Mwinyi, Nipe Mapepe Nnauye and others whose qualifications are nothing but their parents’ big names. I won’t wonder one day evidencing Riz Kiquette becoming a minister. I’ll be shocked beyond comparison shall Mugful keep Makamba in his fold. How dangerous this is retaining an opportunist that’ll turn the tables on you after vacating the highest office? Mugful–had he left alone to do as he’s planned–given that he climbed the ladder without any godfather, he’s what it takes to divorce dudes like Mamba.
            It is very easy to know why Kiquette cloned Makamba. First of all, he too was cloned by Mzee Ruksa apart from being a soldier like Makamba’s dad. Who knows what they did when they were soldiers so as to become close allies? Again, Makamba’s revelations make it harder for the general public to trust him. Why now not then even if taking on nepotism and cronyism would cost him his ulaji due to his patriotism? Can Makamba tell us in honesty what forced him to take a swipe on his creator or he’s trying to entice Mugful so as to keep his ulaji? If Makamba was able to easily turn the tables on his creator, surely, one day, he’ll replicate this to Mugful.
             I fully concur with Makamba that the former got was irresponsible vis-à-vis nepotism and corruption. Who’d think that bigwigs alleged to have forged their academic qualifications would not be touched? Remember how Mokorongo Mahanga, Billy Lukuvi, Mary Nag, Emanuel Nchimvi and  Diod Kamara were accused of the vice? What happened to them? Zilch!
            Remember how Kiquette beseeching EPA thieves to return the loot instead of baking them. I remember how Kiquette told us to stop harassing Ben Mkapa when allegations surfaced that he, his family, in-laws and friends acquired Kiwira Coal Mine illegally.
            As if that’s not enough, Kiquette went ahead and defended Escrow saying that the dosh it robbed from our vaults didn’t belong to us.  The list is very long. Remember how he controversially appointed chaps like Abdul Shimbo (ambassador), Paul Makonda who’s accused of assaulting Mzee Warioba) and appointing Rweyemamu (DCs) despite being tarnished not to forget Silvie Rweyemamu to be the head of presidential Press unit.
            Remember the mothers of all scandals that Kiquette pushed under the rags? Let me jog your mind a wee bit. Remember Richmond, Escrow and UDA scams?
            Last but not least remember how Freddie Werema threatened the Swiss former Ambassador, Olivier Chave when he said that his govt tried to help Bongo to retrieve millions of dollars stashed in Swiss banks but the Bongo’s govt became non-compliant.
            In sum, I urge Makamba to search his soul and be honest. Is there any way he’d have become a minister without cronyism, nepotism and favouratism? If I were him, I’d make an apology and relinquish my position to show how clean and morally upright I am. Guess what. The monkey doesn’t see its rumps.
Source: Guardian, March 6, 2016.

Breaking news Sefue chini Ikulu

$
0
0
  • Ombeni Sefue

Baada ya kulalamikiwa kushiriki uchafu mbali mbali,aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue amepigwa chini rasmi leo na nafasi yake kuchukulia na John Kijazi aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini India. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Kijiwe: Makonda acha kudhalilisha walimu

$
0
0

            Baada ya mkuu wa wilaya ya Kinondo Po Makonda kuchemsha kwa kuja na mpango wa kudhalilisha wanafunzi, Kijiwe kimekaa kama kamati kulaani ujinga huu. Pia kijiwe kinatoa mapendekezo ya nini kifanyike kuepuka baadhi ya wazito kutumia matatizo ya wachovu kujipendekeza kwa Dk Kanywaji ili aendelee kuwabikiza kwenye ulaji.
            Mgosi Machungi ambaye alikuwa mwalimu kabla ya kuacha baada ya kuona ualimu ulivyokuwa umesahaulika na kuzikwa na kubakia kuwa kazi ya kudhalilishwa na wito anakula mic, “Wagoshi leo nina hasiaa sana. Mmemsikia huyu mtafuta uaji akijipendekeza kwa Dk Kanywaji akisema eti waimu wapande daadaa bure kana kwamba wanafanya kazi ya Bwana” sijui ametumia akii gani zaidi ya matope”      
            Kapende anajibu, “Unamshangaa huyu bingwa wa kujikomba ili asitimuliwe kwenye ulaji baada ya kuteuliwa kimazabe ukiachia mbali kudhalilisha ukuu wa wilaya? Nami nimesoma upuuzi huu kwenye magazeti na kupandwa na hasira nusu nimtafute mtoto wa mtu na kumfanya kitu mbaya; kama siyo ustaarabu wangu.”
            Kanji leo naye anahiwahi kula mic. Anazoza, “Hata mimi sangaa sana hii toto. Kwanini fanya walimu sikini sana? Kama napanda dala dala bure ile konda tafanyie yeye huni kama nafanyia toto ya sule. Takuwa aibu sana kwa walimu kama takubali hii jinga.”
            Msomi Mkatatamaa anakatua mic, “Nadhani huyu aliyekuja na pendekezo hili la kidhalilishaji na kimaskini ameonyesha alivyo maskini upstairs. Kwanini walimu wasafiri bure kana kwamba hawalipwi mishahara? Je kusafiri bure ndiyo jibu?”
            Kabla ya kuendelea, Mbwamwitu anamchomekea, “Kwa huyu mjikombi aliyelitoa ni jibu. Sijui wakienda na hotelini wale bure?”
            Msomi anaendelea, “Nadhani baadhi ya watawala wetu wana mawazo mgando na ya kimaskini. Kama wanataka kuwasaidia walimu –au kama wana uchungu na elimu –wawape maslahi mazuri walimu badala ya kutaka kuwaingiza mkenge kuwa wanawajali wakati wanataka kuwadhalilisha ukiachia mbali kuwanyanyasa. Sijui kama walimu nao watakuwa hamnazo wakubaliane na upuuzi huu?”
            Mipawa anachomekea, “Mbona walimu wameishamuonya jamaa aache kutumia matatizo yao kujipendekeza ili asitumbuliwe jipu? Walimu walimtolea kavu kavu kuwa hawahitaji msaada wala hawakumuomba awe msemaji wala mtetezi wao.  Kwani wana chama chao tena imara tu.”
            Mijjing aliyekuwa akisikiliza kwa makini huku akiweka vizuri ulimi wake wa nyoka vizuri kifuani anaamua kupoka mic, “Nyie kumbe hamjui! Huyu dogo baada ya kusifiwa kujamba sasa anataka kupoop. Anafanya kila awezacho hata visivyoingia akilini ili kumfurahisha Dk Kanywaji ili aingie mkenge asimtumbue jipu au ampandishe cheo baadaye ajute. Sijawahi kuona mtu wa hovyo na mwenye mawazo ya hovyo kama huyu anayetaka kuua elimu kwa kuwadhalilisha walimu. Walimu si maskini kiasi hicho. Kwanza, nani alimtuma awe mtetezi na msemaji wa walimu? Ama kweli jina baya humuharibu mwenyewe. Huyu jamaa kweli amekonda kiakili kweli kweli.”
            Sofia Lion aka Kunungaembe anakula mic, “Hata nami naungana mkono na wale wanaoona kuwa huu licha ya kuwa udhalilishaji wa walimu ni upuuzi. Kwanini zipatikane elimu za kutoa elimu bure sikosekane pesa za kutosha kuwalipa walimu wakajilipia nauli? Je tatizo la walimu ni nauli tu? Je wale wanaosafiri wiki nzima kuendea mishahara yao kwenye makao makuu ya wilaya nao wafanye nini? Shame on him!” anamalizia kwa ung’eng’e kiasi cha kuacha kijiwe hakina mbavu. Maana yeye si mpenzi wa kiswanglish kama alivyo Dk Kanywaji ambaye juzi alionyesha kuwa anahitaji kusoma tena grammar tokana na ung’eng’e wake kutonyooka ukiachia mbali kuchanganya na uswa.
             Mheshimiwa Bwege aliyekuwa akisoma habari ya Makonda kutaka walimu wasafiri bure huku akitabasamu na kutikisa kichwa anakula mic, “Japo Dk Kanywaji amemsifia huyu dogo kuwa alitatua matatizo ya ardhi, nadhani anapaswa kufikiri upya. Sijawahi kuona ubabaishaji unaoanza kuonyeshwa na baadhi ya watendaji kwa kisingizio cha kumfurahisha na kwenda na kasi ya rais. Kila siku utasoma magazeti mkubwa fulani amfukuza mkubwa fulani wa chini yake. Sijui kama wanafuata sheria au wanataka kuanzisha vurugu kiutendaji. Kwanini –kama kweli Dk Kanywaji anataka kubadili kaya hii iliyoozeshwa na awamu zilizopita –asifumue na kuufuma upya mfumo wetu wa hovyo? Kuhusiana na Makonda, huu ni mwanzo tu. Mtaona madudu yake mengi zaidi ya yale ambayo mmeishaona. Hafai kiumbe huyu. Ila ashukuru siasa za kulindana kama alivyosema Jan Makamba kuwa utawala uliopita ulijaa kulindana na kuoneana haya.”
            Mpemba ambaye alikuwa akisikiliza kwa makini anaamua naye kula mic, “Yakhe mie nshangaa sana huyu bwana. Yeye adhani kuwa tatizo la walimu usafiri tu? Kwanini haongelei mishahara midogo, mazingira magumu ya kufundishia na kuishi maisha ya kifakiri? Kama ataka wasaidia basi atetee mambo ya maana badala ya huu udoho udoho uso na maana yoyote zaidi ya kuendelea kumfichua alivo wa hovyo.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si yakapita maandamano ya walimu wakimsaka Makonda wampe vipande vyake aache kuwatumia kutafuta ulaji!
Chanzo: Tanzania Daima, Machi, 8, 2016.

Haya ni maombi au utapeli na ubangaizaji

$
0
0

Baada ya rais John Magufuli kustukia gea ya baadhi ya viongozi wa kiroho wenye uroho na hamu ya kuwa karibu na ulaji, amesusa kuhudhuria upuuzi unaoitwa kumuombea. Kwani hamuwezi kumuombea majumbani au kwenye nyumba zenu za ibada hadi iwe matangazo? Acheni njaa. Eti wanaiombea nchi! Kama si njaa na utapeli mlikuwa wapi wakati inageuzwa shamba la bibi? Naona aina fulani ya ushirikina licha ya uganganjaa na utapeli wa kutumia jina la Mungu.

Reunite East Africa instead of integrating it

$
0
0

           The just concluded meeting of the East African Community (EAC) heads of state in Arusha Tanzania reached a milestone. South Sudan was officially admitted to the EAC. This is a good move shall it be expanded to the reunification but not integration. African does not need or deserve to be integrated. Instead, it needs and deserves to be reunited so that it could become more powerful; and thereby play an importantly respectable role in world affairs. So, we urge our leaders to avoid tunnel vision by clinging to presidency and petty nationhood as it currently is. They must show the rest of Africa how things are done vis-à-vis the reunification of Africa.
            Although our leaders do not want to face this reality, Africa was partitioned and demarcated as a tactic of weakening it so as to be colonized forever. We pride ourselves that we are independent. Yet still, we live on begging. African countries are becoming their own obstacle due to thinking and working severally; and due to the resource Africa is endowed with, we are not supposed to live by begging. Every country is trying to protect its interests. To me, there is any meaningful and big interest as Africa. African countries are in a self-imposed cul de sac wantonly and pointlessly. Many African countries like to trade with non-African countries as they shy away from other African countries. Once you trade, say, with China, you create job and wealth for Chinese workers by denying the same from you brothers and sisters Africans. This can only be stopped through fully and totally reunification of Africa. Historically speaking, Africans had never lived depending on begging or handouts from the West before 1884. Why can’t we take it back to this glorious time?
            We are now calling ourselves Burundians, Kenyans, Rwandans, South Sudanese and Ugandans. Again, we know that we did not choose to be. Instead, in 1884 in Berlin Germany, colonial monsters partitioned and demarcated Africa to suit their interests not ours. This is the fact based on our history. God creates us Africans but the colonial monsters made as Cameroonians, Nigerians, Tanzanians and whatnot so as to perpetually exploit us. We know this for a fact; but we don’t want to accept it and work on it to emancipate ourselves a people.  Again, who is now preventing us from reunifying Africa to the very tune it was before 1884?
            United we stand. Divided we fall. It is this simple. I think, over fifty years of our so-called independence that has always made us dependent on our colonial monsters would have taught us a lesson.We are forced to carry passports in Africa as if we are travelling to America Asia or Europe! Do Africans need to carry these bloody passports when traveling in their country that was divided by colonial monsters so as to weaken their country for exploitation and degradation through these current tiny countries Africa has?  How can a person seek permission to live in any room of his or her house?  Is it not internalizing colonial-demarcated borders or colonialism itself that is committed by Africans themselves in the name of sovereignty which also was invented by the same monsters in Westphalia Germany in 1648?  Here are we now! Aren’t we discriminating against each other based on our colonial superimposed fake nationalities? Aren’t we attacking one another based on xenophobic fears such as what has been happening in South Africa whose freedom came at the expenses of many African countries that offered to help her?
            Although we tend to blame our colonial monsters–which is our right to do–for all of our miseries, we, so, too, need to look at ourselves in order to do justice to ourselves. What have our people done to force such bêtes noirs in power almost in all African countries out of their offices that they have turned into their private estates? Aren’t we the part of the crime or accomplices? We need to put our own house in order; and now the ball is in our court. Blaming and keeping mum won’t do us good.
            Let us challenge the status quo by embarking on true emancipation based on the reunification of Africa. Let us take this less traveled road based on facing the reality as a people desiring to live well just like others. Blame games, pretense, and lamenting have not helped us; and won’t help us either. We need to understand the complexities and size of the encounter of reunifying Africa; and work on them seriously if we need to live like decent and upright humans.  We have been under the so-called our own governments formed by Africans. However, the situation has worsened days by days. Are these governments truly ours or theirs? We need to deconstruct and reconstruct everything we achieved since independence that led to our dependence and uselessness before other nations. We need to challenge the meta narrative of the current political dispensation which is full of fabrications, injustice and imperialism. Africa needs to do something Chinese and others who are now on top of the world did. Why should Africa become stagnant while those she acquired freedom with are running while we sit down? We need to fight corruption by the high and the mighty and those they use to rob us. We need to be true to ourselves to see to it that the dream of reunifying Africa becomes a reality. Such bold move will help us to avert conspiring with our tormentors or betraying one another given that our vision will be one, to see Africa reunited. We need to look beyond our stomachs and noses. There is life after we are gone. This is how it has been. It will always be like that.  If tiny creatures like termites with their magnificent high-rise buildings–in spite of having small craniums and tiny brains–can still think about tomorrow, why can’t we who are gifted with such huge craniums and big brains? Don’t ants build skyscrapers? Don’t bees store honey for the use of tomorrow? Don’t beavers store their food in summer so as to use them in winter?
            Suffice it to say, the EAC should aim higher by envisaging the unification of all members to form one big country known as the EAC or whatever they will settle for. We are tired of being slaves in our continent. We are tired of being curtailed to move in our own continent that used to be a country known as Africa. We are tired of purchasing weapons for the fear of our own brothers and sisters in our neighbourhood. We are tired of serving and servicing colonial interests those who partitioned, divided and demarcated Africa envisaged for our own peril. The fool is the one who is bitten twice in the same hole. East Africa countries unite instead of integrating.  I talked the importance of the reunification of Africa in my new book (480 pages) that came out in December last year AFRICA REUNITE or PERISH published by Langaa RPCIG, Cameroon.

Sijui kama wanaong'ang'ania madaraka walijifunza kitu hapa

$
0
0
Ukijikumbusha Ngwazi Muamar Gaddafi alivyolipwa, unashangaa mantiki ya maimla wa kiafrika kuendelea kubadili katiba ili wabakie madarakani wakati ni hati hati na mtihani ukipatikana. Kweli historia ni somo gumu kwa walio wengi. Hata wajifunzapo huelewa kinyume!



Mlevi amtumbulisha jipu Sifui

$
0
0

Boozer won’t pray for Mugful

$
0
0
President Joni Kanywaji Mugful’s recently quoted as saying that this hunk–for over thirty years it’s ruled by termites and hyenas–was turned into shamba la bibi due to doing monkey business. Essentially, Mugful was more of complaining than telling the real situation. Heartbroken as he seemed, he too seemed worried due to those he said are trying to sabotage his efforts to cleanse this hunk. He, therefore, asked boozers to pray for him so that he can do this job he called hard and trickier.
            Firstly, true, Bongo’s shamba la bibi from the day Mwl JK Mchonga threw towel in up to the day Mugful was sworn in. arguably; all previous regimes–except the first phase–were presided over by greedy, visionless and selfish dudes full of myopia and devoid of patriotism. To avoid generalization and victimization, we’ll adduce some evidence. Remember Ruksa philosophy under Mzee Ally Hass Mwinyi? Refer to how it gave birth to the Liliondo scandal in which the park was sold to one poacher from the Gulf. So, too, remember how people were using memos from the high office to secure loans for Daladala and plots. Then, there came Ben Mkapa with his Transparency and Truth that turned up to be antithesis.  Refer to scams such as EPA that was designed to raise dosh that enabled Mkapa’s successor to bribe voters and rig elections. Go a mile ahead. Remember defective presidential jet and radar scams? Wait. There are many more.  Remember how the then NBC was felled and thereafter vended to Boers?
                There’s still more. Remember Kiwira scandal in which Mkapa, family, in-laws and friends acquired this public utility? Yes, there’s another one. Do you know that Mkapa is the harbinger of globetrotting and First lady’s NGO meant for making a killing?
            After Mkapa there came Jake Kikwete who’s outdone all of his predecessor vis-à-vis making our hunk shamba la bibi. Under Jake, the hunk’s on Autopilot or was driving itself without even the autopilot. He globetrotted so as to be given a moniker Vasco da Gama, the Portuguese thug who circumnavigated the world looking for colonies and societies to rob. Kikwete’ll always be remember for being the president who presided over unnecessarily big and do-nothing government that’s famous for condoning and partaking graft; and being made of friends, courtiers, bum lickers and whatnot.
            Secondly, given that Mugful asked for it, why complain after getting it? Why can’t he use presidential powers to thwart those sabotaging his efforts? If his predecessors used the same power to mess, why doesn’t he use the same to cleanse? It is that simple. Stop complaining start charging the villains even if they’re big and connected sharks even friends and mentors. Mugful said that won’t look a monkey in eyes. So be it. Again, why doesn’t descend on them first; and talk later; to make sure that he doesn’t alert them to them to sabotage him?
            The history of how Bongo became Grandma’s farm is long.  It covers thirty years of thuggery under the three phases namely the second, third and fourth. Given that Mugful now knows everything–vis-à-vis the dangers those benefiting from shamba la bibi pose, complexity and hardship of the job–he needs to pounce first and talk later. Why disclosing his plans and steps he wants to take against them while he knows they can make use of them to harm of stop him? Kick their asses. Due to all these dangers Mugful asked boozers to pray for him. They may pray. Importantly, Mugful must know. Not all boozers are clean enough for their prayers to be accepted. So, too, when it comes to prayers, sometimes, some are not answered or answered lately. Some of those Mugful is asking to pray for him are the same criminals he’s now cleansing and purging. If they can pray for him, they may want him to croak but not to get rid of them. Maybe, Mugful has been deceived by the mushrooming churches and mosques in the hunk. We’ve already seen them pretending to pray for the hunk. Again, where were they when it was turned into grandma’s farm? Essentially, what he needs is not prayers but seriousness, transparency and steadfastness in curbing monkeys that have turned our hunk into shamba la bibi.
            In sum, we’d advise Mugful to stop disclosing his plans about curbing graft. So, too, he must use his security and intelligence to keep himself safe instead of banking on prayers. He needs to know those who congregate to his table. Some of them are his enemies. He needs to tell those who backed him–the same way he told the heads of East African Community–that they made a great mistake to select him back him while they’re dirty. If truly Mugful wants to cleanse the hunk, he must start with those who turned it into grandma’s farm. For, it is their incompetence and greed that sunk our hunk. Mugful know them; and they know. We know them. And they know themselves.
Source: Guardian, 13, 2016. 

Wakuu "wapya" wa mikoa, Magufuli achemsha

$
0
0
Ukiangalia orodha ya walioteuliwa kuwa wakuu wapya wa mikoa unashangaa kama imeandaliwa na Jakaya Kikwete au John Magufuli. Maana, hakuna jipya zaidi ya muendelezo wa usanii ule ule. Hapa ndipo alichokificha Magufuli kitafichuka kirahisi. Amerejesha ujeshi, u-CCM, ukale, kujuana na kila aina ya kufadhiliana na kulindana kwenye uteuzi wake mpya usio na upya wowote. Hivi watu kama Makala, Killango-Malecela wamerejeshwa na nini pamoja na kushindwa kwenye kura za maoni zaidi ya kufadhiliana na kulindana kichama? Uhovyo wa Magufuli hauishii hapo. Rejea anavyofanya mambo kibabe na kizamani bila kufuata sheria. Mfano, hadi sasa watanzania wengi wameishaanza kustukia udaktari wake na kiingereza chake broken ukiachia mbali kutoa maelekezo kana kwamba Tanzania ni mali yake binafsi. Rejea Magufuli alivyowaambia Bank of Tanzania (BoT) wafute majina ya wafanyakazi hewa badala ya kutaka wafikishwe mahakamani. Hata hiyo expose yake inatia shaka kama ni kweli au kanyabwoya.
Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Leo natoka na Wanda Boys na vimbwanga vyao

Janga la taifa: Vyuo vikuu vinapoeneza ujinga

$
0
0
St. Joseph University In Tanzania Logo.png
            Kashfa ya hivi karibuni iliyokikumba Chuo Kikuu cha St Joseph inapaswa kulifumbua taifa macho. Baada ya kuingia kwenye sera mbovu za kiliberali mamboleo za kubinafsisha kila kitu, nchi nyingi za kiafrika–ikiwamo Tanzania–zilipwakia kila aina ya takataka na ujinga. Tuliambiwa kuwa ubinafsishaji ndiyo chachu ya maendeleo ingawa maendeleo yenye hatujayaona. Badala ya uwekezaji kuleta maendeleo, umeleta maanguko katika nyanja nyingi ikiwemo elimu.
            Nyanja ya elimu nchini ni mojawapo ya maeneo yanayoonekana kuathiriwa na sera za hovyo za uhuria ambao umegeuka uholela. Hivi karibuni kulifumka kashfa ambapo St. Joseph kilifungwa kutokana na:
            Mosi, kutoa elimu chini ya kiwango ambayo matokeo yake ni wahitimu kuondoka chuoni wakiwa wamesheheni ujinga kiasi cha kutofanana na elimu wanayodai kuwa nayo ukiachia mbali kutoajiri. Hali hii ina athari kama vile kupoteza wahitimu muda ukiachia mbali kuwanyima hali ya kujiamini na kutoweza kuajirika kirahisi.
            Pili, licha ya kutoa elimu chini ya viwango, iligundulika kuwa chuo hiki kilikuwa kikiwalangua, kuwahadaa, kuwatapeli na kuwaibia wanafunzi kwa kuwajaza ujinga. Je viko vyuo vingapi kanywabwoya kama hivi nchini na vimeishaibia na kuwahadaa ukiachia mbali kuwajaza ujinga wangapi?
            Tatu, kuajiri wakufunzi wasio na ujuzi wa kutosha wala kukidhi viwango wa ufundishaji kwenye vyuo vikuu. Tunadhani kuwa kufungia chuo si jibu. Kwani  chuo husika licha ya kufuja dhamana yake kimetenda makosa mengi ya jinai kama vile kutoa elimu na huduma mbovu, kulangua wanafunzi, kuharibu maisha ya wanafunzi, kuwaibia na pia kukiuka taratibu za uendeshaji taasisi ya elimu ya juu. Hivyo, chuo husika kinapaswa kuchuliwa hatua mojawapo zikiwa, kurejesha fedha za waathirika, kuwaomba msamaha, kuwalipa fidia wahusika na yote katika yote, kupigwa marufuku kutoa huduma yoyote ya kielimu nchini ili liwe soma kwa wengine wenye mawazo ya kuligeuza taifa letu shamba la bibi.
            Mapungufu hayo matatu ni kati ya mengi ambayo hayakuwekwa wazi. Hata hivyo, malalamiko ya wanafunzi yaliyokaririwa na vyombo vya habari ni kwamba chuo kilikuwa kikiwatapeli kwa kuwapa alama za juu wakati wahusika hawakuwa na ujuzi wowote. Hali inakuwa mbaya hasa pale ukosefu wa ujuzi uliotarajiwa unapobainiwa na mwanafunzi mwenyewe na si muajiri wala mtu mwingine.
            Je kwanini tumefika hapa? Nitaazima maneno ya rais John Pombe Magufuli aliyekaririwa akisema kuwa Tanzania ilikuwa imegeuzwa shamba la bibi na tawala mbovu na hovyo zilizopita ambapo kila kitu kilikuwa kikijiendea kana kwamba hapakuwapo na serikali. Kwa hiviyo basi, madhara ya ukosefu wa uongozi wenye visheni na mapenzi mwa taifa uliathiri kila idara na mahali nchini. Rejea jinsi umma ulivyomlalamikia waziri wa elimu na ufundi wa zamani Dk Shukuru Kawambwa kwa kuharibu elimu na rais ambaye alikuwa rafiki yake asimchukulie hatua.
Tokana na uoza huu uliokithiri nchini, tunashauri wizara inayohusika na Vyuo Vikuu ifanye yafuatayo:
Mosi, ihakikishe inatunga sheria na kupanga utaratibu wa kuwa na waangalizi na wakaguzi wake ndani ya vyuo vikuu vyote nchini.
Pili, ajira zote za walimu wa vyuo vikuu zisifanyike bila kuwasiliana na sheria ili kuangalia kama wanaojaliwa wanakidhi viwango vyote kuanzia elimu hata tabia kama vile rekodi za jinai, kwa wageni vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini.
Tatu, kuwepo na utaratibu wa wizara husika na vyuo vyenyewe kutumia mfumo huria unaotumika sana vyuo vya nje wa wanafunzi kuwafanyia tathmini walimu wao kila baada ya kumaliza muhula. Katika utaratibu huu, wanafunzi hupewa fomu za tathmini ambazo huzijaza bila kuandika majina yao (Anonymous) ili kuepuka kuwajengea woga au kuchelea kupatilizwa na watathminiwa. Mfumo huu huwajengea kuthaminiana, kuheshimiana na kutendeana haki wadau yaani walimu na wanafunzi wao. Huu ni mfumo unaojenga demokrasia kitaaluma, kujali, kuchapa kazi na ufanisi wa hali ya juu katika vyuo vingi katika nchi za magharibi. Maana, kila mdau anamtathmini mwenzake vilivyo. Kimsingi, elimu yetu inatolewa kwenye mazingira kandamizi ya kikale ambapo baadhi ya maprofesa hujigeuza miungu watu kiasi cha kuwaumiza wanafunzi badala ya kuwasaidia. Wengine hutumia udhaifu huu hata kujiingiza kwenye rushwa za ngono ambalo ni janga kwa vyuo vyetu nchini. Ni dhahiri, hakuna namna ya kujua ufanisi au vinginevyo vya walimu kama hakuna mfumo wa kupata taarifa na tathmini ya wanafunzi. Mfumo huu huondoa ubabe na ujinga wa baadhi ya walimu kuwaonea wanafunzi na kujiona kama miungu. Pia mfumo huu huondoa utegaji na ubabaishaji.
Nne baada ya serikali ya Magufuli kuthibitisha kuwa nchi yetu si maskini, kuna haja ya kuangalia namna ya kuwezesha kila mkoa kuwa na chuo kikuu angalau kimoja cha umma. Maana, unapokuwa na vyuo vingi vya umma, unapunguza uhitaji na uhaba wa vyuo kiasi cha kuondoa motisha wa majambazi yanayotumia elimu kuwajaza ujinga watu wetu.
Eneo jingine linalotaka uangalizi, ni kupambana na kughushi sifa za kielimu ambako husaidia na kuwezesha watu wasio na ujuzi kughushi na kuishia kuajiriwa kama walimu na wataalamu wakati si chochote si lolote.
Tumalizie kwa kuishauri serikali ikichukulie chuo husika hatua kali huku ikivisaka vyuo vingine hewa kama hivi ili kuepuka kulanguliwa na kuchezewa watu wetu. Unapochezea elimu, unaharibu mstakabali wa taifa kwa ujumla. Hivyo, suala hili lipewe uzito usio wa kawaida ili kuepuka kuendelea kuchezewa watu wetu  na nchi yao.
Chanzo: Dira

Magufuli usitegemee kuombewa uchukue hatua

$
0
0
            Akiwa mkoani Arusha baada ya kuweka jiwe na msingi la ujenzi wa barabara ya inayoelekea Nchini Kenya yenye urefu wa Km 234.3 hadi Holili rais John Pombe Magufuli aliwaambia wananchi kuwa Tanzania ilikuwa imegeuzwa shamba la bibi. Pia aliwaomba wamuombee ili aweze kufanya kazi ngumu ya kuisafisha nchi na kuirejesha kwenye mstari, kazi ambayo ni hatari na ngumu. Magufuli aliyasema haya huko Tengeru.
            Kwanza ni kweli kuwa Tanzania tangu baada ya kung’atuka kwa baba wa taifa Mwl Julius Nyerere mwaka 1985 hadi Magufuli anaapishwa, ilikuwa si shamba la bibi tu bali chaka la wezi waroho na wenye roho mbaya. Kimsingi, tawala zote ukiondoa wa awamu ya kwanza, ziliongozwa na viongozi wasio na visheni wala uchungu na taifa. Ili tusionekane tunawapunja marais wastaafu, tutatoa mifano. Nani mara hii amesahau kuwa serikali ya awamu ya pili iliyosifika kwa falsafa ya hovyo ya ruksa iliasisi ufisadi? Rejea kashfa ya uuzwaji wa mbuga ya wanyama ya Loliondo, vimemo vya mikopo ya daladala na utoaji wa viwanja. Awamu ya pili iliyofuata ya Benjamin Mkapa ya kauli mbiu ya Ukweli na Uwazi vilivyokuwa kinyume imeondoka na kashfa nyingi kuliko ya awamu ya pili ya Ali Hassan Mwinyi. Kwani, hadi anaondoka madarakani, Mkapa alikuwa ameasisi kashfa za EPA ambayo iliasisiwa kumsaidia mgombea aliyeshinda na kumrithi Mkapa, Rada, Ndege mbovu ya rais, uuzwaji wa iliyokuwa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Ubinafsishaji wa kijambazi, uzururaji uliofanywa na rais na washikaji zake, na mwisho wa yote utwaliwaji wa Machimbo ya Makaa ya Mawe ya Kiwira kati ya mengine bila kusahau NGO ya ulaji ya mkewe ufisadi uliorithiwa na mke wa aliyemrithi. Hadi sasa Magufuli ameuepa mtego huu. Kwani, hatujasikia NGO ya mkewe.
            Baada ya Mkapa kuondoka madarakani, iliingia awamu ya nne ambayo imevunja rekodi kwa uchafu.ilifikia mahali watu wakasema nchi ilikuwa ikijiendesha. Wengine walisema ilikuwa kama ndege au meli iliyoko kwenye autopilot–hawa kwa kiasi fulani waliipendelea. Rais wa awamu hii Jakaya Kikwete alisifika kwa kupenda kuzurura nje hadi akaitwa Vasco da Gama, yule jambazi wa kireno aliyezunguka dunia akitafuta makoloni na sehemu za kuiba. Kikwete atakumbukwa kwa kuwa na serikali kubwa isiyofanya kitu (a big and do-nothing government) iliyoundwa ima na marafiki zake wa karibu, waramba makalio na wengine wengi. Kikwete hakuachia hapo–kama alivyodai waziri wake mmoja January Makamba kuwa serikali ya Kikwete ilijaa kulindana na kuoneana aibu–aliruhusu mafisadi kila aina wajiibie watakavyo kiasi cha kugeuka hiki anachosema rais Magufuli–shamba la bibi.
            Historia ya uovo wa serikali za awamu za pili, tatu na nne ni ndefu. Kwa vile Magufuli amegundua huu uhovyo, ugumu na hatari ya kazi yenyewe na jinsi waliozoea kunufaika na upuuzi huu wanavyotaka kumkwamisha, anapaswa kuchukua hatua madhubuti za–ikiwezekana–kuwakamata kwanza akasema baadaye badala ya kusema kabla hajawaweka sehemu salama. Nadhani alipoua Edward Sokoine alikuwa shule. Hata hivyo, anajua kilichotokea. Hivyo, tunamkumbusha, awe msiri kama chui. Akamate kwanza atangaze baadaye. Hana haja ya kulalamika wala kueleza mipango yake zaidi ya kukamata kwanza akatangaza baadaye. Anapaswa awe simba mwenda kimya badala ya kuwapa faida wabaya zake ambao ni wabaya wa wananchi.
            Tokana na ugumu na hatari ya kazi anayofanya Magufuli alisikika akiomba wananchi wamuombee. Kuomba si jibu wala siyo kile anachopaswa kufanya. Wananchi watamwombea. Ila ajua maombi mengine huwa hayajibiwi au hujibiwa baada ya muda mrefu hasa ikizingatiwa shaka ya usafi wa wanaomwombea ambao wanaweza kuhongwa udohodoho au hata wengi wao kutamani wapate fursa waibe. Hao hao anaotaka wamwombee wengi wao ndiyo wanaokula na hao anaotaka kuwatumbua majipu. Unaweza kuona jinsi ulivyoibuka utitiri wa makanisa, makundi na viongozi wa kiroho kujifanya wanaliombea taifa kana kwamba lilipokuwa likigeuzwa shamba la bibi hawakuwapo. Hawa wanaomba kweli au wanatafuta ukaribu na ulaji? Tanzania–nilishaandika mara nyingi tu–ahitaji kuombewa bali kuambiwa na kukombolewa na watu wasio na mchezo na nyani. Hata Magufuli ahitaji kuombewa bali kusadiwa na kushirikiana naye kufichua maovu.
            Hivyo basi, tumalizie kwa kumshauri Magufuli aachane na matangazo, malalamiko wala maombi. Badala yake akamate majibu na kuyakamua kimya kimya halafu atangaze. Akiendelea na staili hii, atakwamishwa kweli kweli hata na wale anaodhani ni wenzake wakati ni maadui zake. Wapo wengi waliomuunga mkono wanaojuta kwa kufanya kosa kubwa tu. Kama alivyowaambia viongozi wa Jumuia ya Afrika Mashariki, awahakikishie waovu hawa kuwa walifanya kosa kubwa kumuunga mkono na kumpitisha wakati wao ni wachafu kama nguruwe hata wawe wakubwa kiasi gani.  Kama Magufuli anataka kuikomboa Tanzania basi aanze kuwatumbua hawa waliosababisha iwe shamba la bibi. Kwani walizembea kwenye majukumu yao. Anawajua; tunawajua; na wanajijua.
Chanzo: Tanzania Daima, Machi 13, 2016.

Kijiwe chastukia sanaa za Lukuvi

$
0
0

           Hivi karibuni Kijiwe kilibaki kinywa wazi na maswali mia kidogo baada ya mjivuni mmoja kuja na mpya kuwa alikataa rushua ya madafu bilioni tano. Kukataa au kupokea si issue. Kinachogomba ni kutotoa ushahidi hata kiduchu. Issue hii aliinyaka Mijjinga ambaye anaileta kijiweni ili tuidurusu.
            Baada ya Mijjinga kuingia kwa madoido na mbwebwe anaamkua na kumwaga stori. Yeye hataki kusema mengi. Anabwaga gazeti la Danganyika Daima mezani na kuanza kutoa stori. Anakatua mic, “Hebu jionee wenyewe baadhi ya wajivuni wanavyotugeuza majuha na hamnazo.”
            Kabla ya kuendelea Mpemba ambaye alikuwa akivuta uradi anaamua kumuuuliza, “Yakhe mbona mie sikuelewi? Wamaanishani na nani huyu anayetaka kuwafanya hamnazo na majuha na kwanini?”
            Mijjinga anampoka gazeti Mchunguliaji ambaye alikuwa ameishalinyaka na kuanza kusoma. Anasoma kichwa cha habari, “Bill Lukuvi akataa rushua ya bilioni tano.”
            Kabla ya kuzama kwenye habari kamili, Mgosi Machungi anadakia, “Kumbe unaongelea hizi Sanaa za kutaka kumridhisha Dk Kanywaji ambaye anaonekana naye kupenda sifa kiasi cha kuanza kuvurunda? Umeona uteuzi wake wa wakubwa wa mikoa? Kuna sura ambazo hazikufaa hata kuwa wakubwa wa kijiji achia mbali mikoa.”
            “Bila kujipendekeza usawa huu hupati ulaji,” anachomekea Mbwamwitu huku akicheka.
            Msomi haridhishwi na mada ya Mpemba inavyopelekwa ndivyo sivyo. Anakula mic, “Hii stori kwanza haikubalanced. Mwandishi aliyemhoji Bill alikuwa kama anamfagilia. Nashangaa hakumuuliza kwanini hakuwaita Takokuru wawanyake hawa watoa rushwa au kuna kitu hataki kijulikana kama si kutaka umaarufu wa shilingi mbili.” Anakohoa kidogo na kuendelea, “Hata kwenye maelezo yake marefu hajaeleza atafanya nini kukomesha mchezo huu na wale ambao wamekuwa wakiushiriki atawafanya nini.”
            Kabla ya kuendelea Mipawa anampoka mic na kusema, “Huyu jamaa sijui anatuona sisi hamnazo au vipi. Umeona alivyoficha majina ya hao wenzake ukiachia mbali kupoteza fursa adimu ya kuwatia adabu. Maana sheria iko wazi. Kama ukikuta mtu anatenda kosa la jinai au yuko kwenye harakati za kulitenda, unatoa taarifa kwa vyombo husika.  Je huyu–kama si kutaka sifa za shilingi mbili kama ulivyosema Dk Msomi–alishindwa nini kuweka mtego na kuwakamata wanaharamu hawa? Cha kushangaza utakuta wanaofanya hujuma hii kwa kaya ni ima raia wa karatasi au wachukuaji uchwara wanaoshirikiana na akina Bill hao hao wanaojifanya kuwageuka. Si waseme kuwa dili halikuwaiva.”
            Mgosi Machungi naye anapoka mic na kuronga, “Hebu tifanye anaisis kidogo hapa. Kwanza, kwanini Bii ameficha majina ya hawa jamaa kama si washiika wake? Pii, imekuwaje hakutaka kuwakamata ii afichue mtandao wote wa wanaoibia kaya? Je inakuwaje seikai iuziwe aidhi yake yenyewe kama hakna namna?Je hawa jamaa waijuaje kuwa Kigamboni kutakuwa mai au nao wana siikai yao ndani ya siikai? Tiambie tiewe bwana Bii popote uiko.Vinginevyo huu ni uongo wa kawaida kama si usanii tu. Go tell it to the birds Bill humpati mtu hapa.”
            Msomi anaendelea, “Mimi hakuna aliponiacha hoi Bill kama kusema eti kuna wakubwa wamejilimbikizia ardhi lakini asiwateje wala kusema atawachukulia hatua gani. Ni ajabu kuwa na watu wanaofanya vitu kana kwamba hawakwenda shule. Unawezaje kuja na madai ya kitoto kama haya usichelee kuumbuliwa na wasomi kama sisi? Nadhani–kama rahis Kanywaji asingekuwa anendesha kaya kama mali yake binafsi kwa kujizungushia marafiki na waramba viatu–Bill alipaswa kutumbuliwa jipu mara moja. Maana hafai hata kidogo.”
            Mheshimiwa Bwege anaamua kula mic, “Nyie kumbe hamfahamu hizi Sanaa? Kwani hapa kuna utumbuaji majibu au vipele na vijipu uchungu? Huwezi kutumbua majipu ukawa na watu kama Bill au Muongo wanaokumbwa na kashfa kama vile kughushi na Escrew. Mie sitaki nionekane mwanga. Huyu jamaa atachemsha muda si mrefu. Mliona alivyokwenda banki kubwa kwa pupa na kutoa maagizo kuwa wafanyakazi hewa wafutwe badala ya kuagiza waliowaajiri wapelekwe kwa pilato? Huku ndiyo kutumbua majipu au kuyafuga. Yeye anatoa amri ya kufutwa majina badala ya kuyatumia kama ushahidi kama nani? Kwani hii kaya ni mali ya mama yake? Kama yeye anafanya hivyo, kwanini wapambe na waramba viatu wanaotaka kumuingiza mkenge wasifanye mambo ya hovyo kama Bill kutoa habari za uongo?”
            Kanji aliyekuwa anateta jambo na mshikaji wake Sofia Lion aka Kanungaemba anakula mic, “Hata mimi hii iko changanya mimi sana. Sasa kama yeye shinda kamata hii jambazi natangaza nini kama si ongo tupu? Kwanza mimi hapana ami kama swahili naweza pewa feza kuba kama hii natakataa wakati sahara yake dogo sana.”
            Sofi anamuunga mkono Kanji, “Kuna uwezekano mkubwa kuna ukweli uliofichwa. Maana, ukiangalia usawa huu, na namna habari yenyewe ilivyoparaganyika na kuacha maswali mengi, unashindwa kuelewa lengo la Bill. Kama ni kutaka umaarufu nadhani hapa amepiga chini. Naungana mkono na wanaotaka atumbuliwe haraka. Maana, naye ni jip utu.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si likapita shankupe la Bill. Acha tuliotoa mkuku tukitaka tumtumbue jipu kama bosi wake anamgwaya au kumkingia kifua!
Chanzo: Tanzania Daima, Machi 16, 2016.

Makufuli mtumbue jipu Lukuviii

$
0
0

            
Baada ya muishiwa waziri wa Udongo Bill Lukuviii kuja na mpya kiasi cha kumlewesha Mlevi hata bila kanywaji na tubangi, imebidi lau niseme ili wote na yeye wajue kuwa sikuingizwa mkenge. Hii itasaidia na wengine wasiingizwe mkenge katika msako huu wa umaarufu wa shilingi mbili.
            Bila hata chembe ya aibu, Bill alikaririwa na wambea akijisifu kuwa alikataa mshiko wa bilioni tano. Hebu nirudie. Five billions doughs! Ngai, Zumbe na Ambuye! Kwa vile mlevi ni mtaalamu wa masuala ya jinai hasa kusema uongo, ilibidi nirejee kwenye maktaba yangu na kufungua makabrasha na shajala zote lau nipate pa kuweka uongo huu. Kwa lugha ya kisambaa hii huitwa cheap popularity ambapo mhusika hujitahidi kujipigia debe kama yule jamaa mbaguzi wa kwa Joji Kichaka aitwaye Don Drumpf. Mhusika hujikweza hata kujikweza kwenyewe kukiishia kwenye maanguko kama ilivyotokea kwa Bill ambaye leo namrarua bila huruma.
            Kwa vile mlevi ni bonge la gwiji la sheria, nitajaribu kutoa sababu za kutokubaliana na madai ya Lukuvii.
            Mosi, Lukuviii alificha majina ya wahalifu–aliowataja kama wafanyabiashara wakubwa–waliotaka kumshikisha mabilioni haya. Hawa ni wafanyabiashara wakubwa au wezi na wahalifu wakubwa tu? Je ni kwanini alificha majina ya majambazi kama hana lolote la kuficha? Je kuficha kwake na kutoboa vinatusaidia nini iwapi watuhumiwa wamefanywa kuwa top secret?
            Pili, kwanini hakuitaarifu ile kampuni ya umma ya kulinda na kupamba–sorry–kupambana na rushua (Takokuru) kama hakuna namna. Ina maana–pamoja na nafasi yake kubwa na nyeti kama hiyo–Lukuviii hajui kuwa sheria inamtaka kila mwanakaya anayekuta mtu anatenda au kujaribu kutenda kosa la jinai anapaswa–kisheria–kutoa taarifa kwa vyombo husika? Je Bill hakuwa na imani na Takokuru? Kama ni hivyo, kwanini hakuwatonya ndata lau wakaweka mtego na kuwanyaka hawa wanahizaya wanaoharibu kaya yetu?
            Tatu, Lukuviii alidai kuwa kuna mtandao wa matapeli tena aliwaowaita wawekezaji wanaolangua ardhi yetu na kwenda kufungua mabiashara makubwa Dubai na London. Je hawa ni wabongo au maabsii na makalu? Je hawa ni wawekezaji au wachukuaji? Je walipataje taarifa za siri ya sirikali kuwa Kigamboni kungekuwa dili kama nao siyo kuwa na sirikali yao ndani ya sirikali na siri kali ambayo Bill amejitahidi kuitunza? Pia, Lukuviii alidai kuwa kuna wakubwa waliojilimbikizia ardhi. Je Bill kama waziri mhusika, kwanini hakutaja majina yao na kueleza mikakati aliyo nayo ya kuhakikisha wanatumbuliwa jipu na kurejesha ardhi yetu? Je sheria ya kuzuia kuuzia wageni ardhi ilibatilishwa au kubadilishwa lini? Je kwa uzembe wote huu hapa Bill kajijenga au kujibomoa na kuonekana muongo na mzembe?
            Nne, Lukuviii–wa uzembe na habari zisizo na ukweli kama hizi–hajawa jipu linalopaswa kutumbuliwa mapema na Dk John Kanywaji Makufuli? Katika maajabu ninayongojea ni mawili. Mosi, Lukuviii kuendelea kuwa kwenye ulaji bila kutumbuliwa jipu na kutupwa nje kama Sifui. Na pili, kama Lukuviii hatajibu maswali yangu tena kwa majibu yanayoingia akilini. Asipofanya hivyo, nitatia guu ikulu mwenyewe kushinikiza atumbuliwe jipu na kuwataja hao waliotaka kumhonga. Atafichaje majina ya wahalifu waliotaka kutuibia walevi? Anadhani hii kaya ni mali yake peke yake kiasi cha kufanya jinai kama hii suala la binafsi?
            Tano, kwanini Lukuviii hakueleza uhusiano wake na hawa “wafanyabiashara wakubwa” ambao hadi sasa ni kitendawili anachoweza kutegua yeye mwenyewe?
            Sita, kama mtu mzima na kiongozi, je Lukuviii anaona alichofanya ni haki na sawa sawa? Je hawa jamaa wangekuwa wanapanga kuvunja nyumba yake au kumkaba bi nkubwa angeficha majina yao bila kuita ndata kuwashikisha adabu?
            Saba, je kwa kuwaficha, Lukuviii haoni kuwa amewasaidia na kuwapa hifadhi kiasi cha kusaidia uhalifu uendelee kutendeka? Je uhusiano na biashara ya Lukuviii na hao wenzake inaishia hapo au kuna mengi yamefichwa na kwanini na ili iweje na kwa faida ya nani?
            Nane, je Lukuviii–kuondoa ubishi na shaka–yuko tayari kutaja majina ya hao wezi wakubwa aliowapa sifa ya ufanyabiashara mkubwa?
            Tisa, je Lukuviii yuko tayari kueleza ni kwanini asitumbuliwe jipu kutokana na kushirikiana na wahalifu kwa kuficha majina yao?
            Je Lukuviii anajua madhara atakayoisababishia kaya kwa kushindwa kuwaitia Takokuru au ndata wakawatia mbaroni? Je anafahamu kuwa na Dk Kanywaji–licha ya kuaibishwa na kutiwa majaribuni–amechukia uzembe huu wa mchana tena bila sababu na kama zipo ziko nyuma ya pazia?
            Tumalizie kwa kumpongeza Lukuviii kwa angalau kusema. Maana, alipotuhumiwa kughushi sifa za kitaaluma na yule gwiji wa kuwaumbua vihiyo Keinerugaba Msematruth. Kwa nondo ninazomwaga hapa wala Lukuviii asipoteze muda kutishia watu. Kwani ninalo tabu lote la Keinerugaba liitwalo Orodha ya Mafisadi wa Elimu. Ni bahati nzuri, wote waliotajwa humo akiwamo Bill tena wakati ule akiwa mkuu wa mkoa wa Bongo walifyata bila kwenda mahakamani. Sambamba na kumpongeza, ningetaka ajitokeze lau kimasomaso akanushe madai ya Msematruth ambayo ameyaweka kwenye maandishi. Ama kweli madai ya Lukuviii yanaacha maswali mengi kuliko majibu! Kazi kwa Dk Makufuli kumsefue ili liwe onyo kwa wengine.
Chanzo: Nipashe, Machi 19, 2016.

How do you view and assess this stuff?

Kijiwe kupinga amri za Dk Kanywaji

$
0
0

            Amri za rahis Joni Kanywaji Makomeo zimekichefua kijiwe kiasi cha kupanga kwenda kwa pilato kuzipinga. Haiwezekani turejeshewe utawala wa kindavandava wakati twaambiwa sisi ni kaya ya kidemokrasia.
            Mpemba ndiye anaanzisha mada kuhusiana na amri hatari za Dk Kanywaji ambaye Kijiwe kilikuwa kimetokezea kumwaminia. Anachonga, “Jamani mmezisikia hizo amri alozitoa rahis Kanywaji hivi karibuni baada ya kuapisha geshi lake la wakubwa wa mikoa? Wallahi mie zankata kweli kweli.”
            Mgosi Machungi anakatua mic, “Hata mimi simielewi huyu jamaa hasa pae aipoamua kuajiii wageshi wastaafu kuwa wakubwa wa mikoa huku akiwaamuu watiweke ndani hasa sisi tinaoshinda Kijiweni baada ya kukosa ajia.”
            Mipawa anaamua kumchomekea, “Kumbe ulikuwa hujui kuwa huu mchezo wa kuajiri wageshi ni wa zamani tangu zama za mzee Mchonga? Kwa nijuavyo mimi, tumekuwa tukitawaliwa kigeshi kwa mlango wa nyuma. Hivyo, alichofanya Dk Kanywaji ni kuwa muwazi tofauti na waliomtangulia.”
            Msomi Mkatatamaa leo anaingia mapema. Anakwapua mic, “Hii ndiyo hatari na kasoro za kutokuwa na sera za kutawalia. Kimsingi, wanashindwa kitu kidogo yaani kufumua mfumo mfu tuliourithi toka kwa wakoloni na kuufuma upya. Kaya haiwezi kuondokana na matatizo iliyomo kwa nguvu ya zima moto. Ningeshauri waka chini wafanye utafiti na kubaini chanzo cha matatizo yetu ambacho kimsingi si kingine bali kuondokana na maadili ya utumishi wa umma. Wanakula umma wakidai wanautumikia wakati wanautumia.”
            Kabla ya kuendelea Mijjinga anachomekea, “Usemayo Msomi ni kweli. Bila kubadili mfumo wanajisumbua. Hukumsikia Dk Kanywaji akiwaambia wakubwa wake wa mikoa kuwa ndani ya siku 15 wafute majina ya wafanyakazi misukule? Ajabu ya maajabu, wengi tulidhani mojawapo ya maagizo ya rahis yangekuwa kuwakamata wote walioajiri misikule na kujipatia njuluku na kuwasweka lupango then wapelekwe kwa pilato. Lakini jamaa hili halikumhangaisha. Mie naona anatoa maagizo kana kwamba kaya yetu ni shamba lake binafsi.”
            “Yote tisa, mie aliniacha hoi alipowapa ulaji wageshi ndata waliostaafu jana tu. Hakuwapa hata nafasi ya kwenda uraiani wakajifunze jinsi ya kuishi kama wastaafu. Sijui kaya yetu inapelekwa wapi? Unawezaje kuwapa madaraka makubwa watu wasio na uzoefu tena waliostaafu jana kana kwamba kaya haina wachovu wengine wanaoweza kuwatawala wenzao?” anachomekea Kapende huku akibofya kiSumsung Galaxy 6 chake.
            Mheshimiwa Bwege anakatua mic, “Mie hata sishangai. Kinachonishangaza ni ile hali ya kuua muungano kwa kuwagawia watu wake mikoa yao wakajifanyie watakavyo. Hamkumsikia akiwaagiza wafanye maamuzi hata kama ni ya kipuuzi ili warekebishe baadaye badala ya kuogopa kufanya maamuzi? Huu ni nini kama siyo uimla unaorejeshwa kwa mlango wa nyuma kwa kisingizio cha kutatua matatizo ya wachovu? Nadhani, badala ya kuwasaidia wachovu, watawakwaza zaidi. Unawezaje kupiga marufuku vijiwe wakati wenzetu wanakutana Idodomya, wanaitwa wahishimiwa na kupewa mshiko kwa kupiga gumzo mjengoni? Kama ni hivyo basi na spika wa mjengo awa mgeshi. Nani anaongelea kuwashughulikia mafisadi papa kama vile Kagoda, EPA, Escrew au Kiwira? Who wants to fool another here?”
            Mzee Maneno anamchomekea Mheshimiwa Bwege, “Mheshimiwa huna haja ya kulalamika. Hao unaotaka washughulikiwe hawatashughulikiwa. Kinachoendelea hapa ni kutumbua vijipu uchungu huku majipu yenyewe yakiendelea kuzaliana. Unaweza kunieleza ni kwanini–kwa mfano–wadokozi wa bandarini waliswekwa lupango ilhali wale wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wakishirikiana nao wakipewa muda wa kurejesha fedha waliyoihujumu kaya? Ama kweli Chama Cha Maulaji (CCM) ni chuo cha sanaa!”
            Kanji hataki kubaki nyuma. Anakatua mic, “Mimi sangaa sana witu nafanya Dokta Kanyaji. Yeye ikosema kuwa geshi takamosha valo vote naharibu amani hasa kwenye koa ya pakani. Kama vatu nakaa kule nakaribisha geni tena jambazi nayokuja na bunduki nategemea nini?”
            “Wallahi Kanji hapa wankata. Wankumbusha yule ngeni aliyepewa ardhi awekeze kule Kagera akaamua lima bange na asiguswa na ntu. Je wako wangapi wanofanya mambo ya hovyo kama haya na waitwa wafanyabiashara tena mashuhuri wakati ni wezi mashuhuri? Je huyu Singasinga wa Escrew ana tofauti gani na wale waniochukua bunduki wakafanya ujambazi unaoleteleza matatizo huko mikoani? Wankamate kwanza ndipo ntajua kuwa wataka sasa fanya kweli vinginevo yote hii danganya toto nawaambia.”
            Da Sofia Lion aka Kanungaembe anaamua kutia timu, “Mie jamaa amenichefua hasa pale alipoamua kuteua warume tu huku akiwatia akina mama kiduchu katika hilo jeshi lake la wakubwa wa mikoa. tunataka uwiano wa kijinsia bwana.”
            Mgosi anarejea, “Mie hakuna aipontisha kama kumpa ungu Makondakta. Napanga kuejea Ushoto ii kuepuka kunyanyaswa na huyu dogo ambaye aiwahi kuwatia ndani wahishimiwa na wafanyakazi wengine wa haimashaui ya Kinondo. Hapa azima titegemee utawaa wa kigeshigeshi, na kindavandava kama siyo uimua.”
            Msomi anarejea, “Hapa lazima tutegemee vurugu zisizo na sababu. Kwa mtu mwenye nia njema na Kaya, alipaswa kuwaasa wasifanye mambo hovyo ili kumfurahisha yeye badala ya wachovu.”
            Akiwa anataka kuendelea mara shumbwengu la Makondakta lilitia breki Kijiweni. Jamaa alishuka na kuanza kutuuliza tunafanya nini kijiweni badala ya kwenda kuchapa mzigo. Acha tumzomee. Kama siyo kuwahi na kujongomea kwenye mchuma wake huenda historia ingekuwa nyininge!
Chanzo: Tanzania Daima, Machi 23, 2016.

SHUKRANI YA PUNDA

Kwa ndugu zetu mnaoamini kwenye dini za kigeni

Mlevi astukia 'ugesishaji' kaya

$
0
0

Viewing all 3180 articles
Browse latest View live