↧
HAPPY NEW YEAR 2014 TO ALL
↧
Kijiwe chafunga mwaka kwa kuitimua sirikali
Tokana na wasomaji na mashabiki wa Kijiwe kukikosa kwenye gazeti, nimeamua kuwa nawaandika kijiwe kila nikipata fursa.
Baada ya kunyaka habari kuwa Chama Cha Majaribio (CCM) kiliwaita baadhi ya watu wake kuwahoji kuhusu kuongeza uzito kiasi cha kuwa zigo zito kwa ulaji wao, kijiwe nacho kimeamua kwenda hatua moja mbele. Leo kitakaa kama kamati maalum ya kuokoa kaya kuhoji sirikali nzima na kutaka ikitoe. Kijiwe hakina muda wa kutoa sanaa za kujipima na kufanya maamuzi ya hovyo ya kutowajibika.
Mpemba analianzisha, “Yakhe mmesikia sanaa za kuhojiana kuhusu ili mizigo iliyojaa njuluku ya umma?”
Msomi Mkatatamaa, “Yakhe umeamini hizo sanaa? Hujui jamaa wanataka kujikosha kwa waliwa kuwa wanawajali wakati wanawasanifu? Kwangu kuhoji au kutoa fursa ya kujipima ni ufisadi wa aina yake. Kama mtu amebainika kuwa zigo bwaga chini.”
“Msomi umenena. Hebu kwanza mmwagie kahawa mpaka azimie.” Anasema Mbwamwitu.
“Niombe msamaha kwanza. Nimwagiwe hadi nizimie! No.” Anamgeukia muuza na kusema, “Mmwagie huyo huyo anayetaka kuwamwagia wenzie kama anaona kumwagiwa kahawa ya moto ni jambo jema.”
Kijiwe hakina mbavu hasa ikizingatiwa kuwa Msomi huwa si mtu wa masihara.
Mgosi Machungi anakwanyua mic, “Wagoshi tiache utani. Hamijui kuwa tinamaiza mwaka? Jamaa wamiona watiingize mjini kwa kujifanya wanatijali wakati wanatiibia kila uchao. Sasa niaminini. Ngojeni mione kama kuna mtu atatimuliwa zaidi ya kuyamaiza kichama kama kawaida yao. Hawana lolote hawa. Wamefiisika kama alivyowahi kusema jamaa fuani.”
Mipawa anadandia, “Mgosi jana ulikulaga nini? Maana naona una mipwenti kama Juliyasi! Kwa ufupi ni kwamba kama ni kuhoji, basi sirikali nzima inapaswa kuhojiwaga na kutimuliwaga kabla ya kuzusha machafuko siku si nyingi. Sisi kwetu Ng’wanza tumeishasema kuwa kuna siku patachimbika bila jembe. Maana ubabaishaji umezidi.”
Anakunywa kahawa yake na kuendelea, “Kila mwaka wamekuwa wakiwakopa pamba wakulima halafu huyu Kinamna na Mapepe Ninaye wanakuja kutusanifu eti kwa kuwahoji mawaziri. Watoke wote kwani wameshindwa kusimamia shughuli za kaya. Wanachojua ni kuua wanyama wetu na kuiba fedha na kuficha ughaibuni.”
Kanji uzalendo umemshinda. Anakula mic, “Dugu yangu, this time chama iko wery serious. Nyinyi taona. Mimi jua chama tafuta kazi ile yote zigo.”
Bi Sofi aka Kanungaembe anamuunga mkono Kanji. Anakatua mic, “Sioni haja ya kuwa na haraka. Nyie ngojeni mjionee. Mtukufu kama alivyowahi kusema atawaaibisha wakosoaji.”
Kapende anadandia, “Kwenda huko na ndoto zenu uchwara. Amuaibishe nani wakati yeye alishaaibika miaka mingi? Kanji na Sofi sijui mmeingiliwa na nini. Maana huko nyuma hamkuwa hivi. Nyie ngojeni kusikia mwandishi fulani wa habari amevamiwa namajambazi na kuuawa ili kuhamisha mjadala kama ilivyotokea kwa akina Ulimboooka na Kibaaanda.”
Msomi anarejea, “Hebu tuwe serious kama Kanji anavyoona. Je kuna mtu nambari wani anayepaswa kuitwa mzigo na kuhojiwa kama Njaa Kaya ambaye kila uchao yuko kwenye matanuzi ughaibuni? Ana bahati yupo mzee Mizengwe anayetwishwa mzigo wake kila uchao. Hivi kuna bomu kama jamaa mwenyewe ambaye amewajaza jamaa zake kwenye ulaji halafu eti anajifanya kuendesha kigwena cha kuwajadili? Shame on you! Go tell it to the birds. Wa kuondoka ni wewe na genge lako lote.”
Anakunywa kahawa na kuendelea, “Najua wanywanywa wake watasikia vimondo vyangu na kumpelekea taarifa. Wakamwambia kuwa tumechoka na sanaa na rongorongo zake. Hakuna cha kuhoji wala kuhojiwa bali kukitoa maana wameshindwa kulhali. Na wakiendelea na sanaa hizi mie lazima mwaka ujao nimtokee mtu liwalo na liwe.”
“Msomi tuko nyuma yako.” Anadakia Mbwamwitu.
“Nyuma yangu kufanya nini. Mmekuwa nyuma yao kila siku na hakuna mlichofanya zaidi ya kuendelea kuliwa huku mkijiona.”
Mgosi kaguswa pabaya. Anakatua mic, “Kwei wapo wengi wanaoiwa hasa Kanji na Sofi wanaotetea huu uoza. Sisi kue Ushoto tishaazimia kuhakikisha tinachagua upinzani.”
“Mara hii mmeishamchoka mtoto wa Makambale mliyebambikiwa!” Anahoji Mchuguliaji aliyekuwa kimya muda mrefu.
“Timchoke maa ngapi. Sisi si wajinga kueendeea kuwa na mzigo wa Makambae. Titamtimua tu.”
Kapende anamnyang’anya Mgosi Machungi mic, “Naona tuazimie kama kaya nzima badala ya vipande vipande. Kwanini tusiamue kuitaka sirikali ikitoea baada ya kuchemsha. Hebu waulize. Ziko wapi njuluku zetu zilizofichwa ughaibu? Wako wapi wauza bwimbwi ambao mkuu amekalia majina yao? Yako wapi maisha fit kwa wachovu wote? Uko wapi uwajibikaji ambao sasa umegeuka uhojianaji?”
“Du! Inaonekana jamaa mmegeuka wanasiasa tena wabukuzi kweli kweli. Yaani mnachambua mambo kuliko hata maprofesa wa chuo cha Manzese akina Baaana na wenzake wanaojikomba kwa genge la walaji!”
“Ulikuwa hujui kuwa kijiwe ni chuo kikuu na kile ni chuo cha Manzese siyo? Hapa ndipo kwenyewe mwanangu.” Anachomekea Mbwamwitu.
“Tuache utani. Nadhani hiki kinachoitwa kuhojiwa na kujieleza ni janja ya kutaka kubadili baraza la ulaji hasa baada ya yule manzi aliyevurunda kwenye Uno kupewa ulaji ili akateuliwe. Mengine rongorongo. Nani alitegemea nyani amhukumu ngedere kwa kosa la kula mahindi wakati wote lao moja?” Anazoza Msomi.
Mzee Maneno aliyekuwa kimya anaamua kuchomekea, “Da! Msomi umenifumbua macho. Kumbe ndiyo maana Kinamna na Mapepe waliamua kulianzisha wakiwa vijijini na yule manzi! Sasa nimeelewa.”
Mpemba anakwanyua mic, “Yakhe hii yaweza kuwa kweli. Maana ukiona huyo manzi alivyoteuliwa haraka haraka na kuwekwa mbele lazima kuna jambo wallahi.”
“Eti amewekwaga mbele?” Anahoji Mipawa
Sofia anaonekana kuudhika. Anakula mic, “Wewe ulitaka awekwe nyuma wakati ana sifa zote? Huyu ni mkombozi wa akina mama.”
“Mkombozi wake anabebwa na kushindwa kujikomboa hadi abebwe” si akagombee tumuone.” Mzee Kidevu anazoza.
“Mie naona tusizungushe. Kwanini tusijipange tukawatokea huko Dom na kuwatimulia mbali kwa kuangusha kaya yetu.”
“Twende sasa twende sana.” Kijiwe kilihanikiza isipokuwa Kanji na Sofi walioamua kuondoka haraka.
Tulipokuwa tukijiandaa kwenda si umeme ukakatika!
You know what. Tusingeenda bila kuonana.
↧
↧
South Sudan: Why EAC Must Intervene
Diabolic fighting, power hunger and selfishness the world is evidencing currently in South Sudan can’t go without a comment. The author of this article wrote an article “South Sudan: One tribe takes it all perilous” in July 2011. If anything, after all symptoms were clear that South Sudan would go solo, it was easy to foresee what would happen. It was easy to see uneasiness between Dinka and Nuer represented by two protagonists president Salva Kiir Mayardit (Dinka) and Dr. Riek Machar Teny Thurgon former vice president (Nuer). The rift and enmity between these two tribes had a long history. It existed even at the time of fighting for the liberation of South Sudan from North.
Machar once defected to join Khartoum thinking he’d use it to gain power. He didn't thanks to the late John Garang de Mabior’s vision that put a stop on Machar’s move. Machar later found that those he schemed to use were also scheming to use him for his peril. He thus returned home where he was acclaimed by Garang who had warned him of the danger he’d face by allying with their arch foe Khartoum.
After the liberation-cum-separation, Mayardit awarded Machar the position of vice president believing that Machar would see the light. Again, the urge and thirst for power did not escape Machar. For the whole time he was VP it seems he was working to see to it that his dreams of becoming the president of South Sudan are fulfilled.
It is sad to find that an educated person of Machar caliber would become so blind to think about his personal ambition that he sacrifices and destroys such youngest and newest nation on earth. When South Sudan went solo many thought that it’d join the East African Community (EAC) Just like Burundi and Rwanda and use it to avert the danger it is currently facing. Things didn't work after Kenya Rwanda and Uganda tried to force their fast-tracked community under what came to be known as Coalition of Willing (CoW). This move, if anything, derailed South Sudan’s effort to get a hunch for her own home problems. You can see this in the fact that after fighting erupted, EAC hasn't legally been able to dispatch any force to neutralize the mutiny. How will EAC interfere while it lacks jurisdiction?
Although the situation in South Sudan can be regarded as a passing cloud, the truth is. It is there to stay. It can even get worse. Who knows if Machar isn't in bed once again with Khartoum that's desperately looking for reliable means to keep on enjoying oil revenues from South Sudan? This holds water due to the fact that Kiir’s government's already entered in some agreements with Kenya to build a oil pipe and harbour at Lamu. This isn’t good news for Khartoum. Shall it get any puppet that can see to it that South Sudan's occupied by intraconflict and fighting, Khartoum will nary let such a puppet go. For, Khartoum knows for sure that once a country cascades into intrafighting or civil wars, it won’t be able to embark on such developmental projects. The monies that would be spent on such projects will be diverted to servicing war.
So it can be argued that Machar is likely to get backing from North to see to it that he gets what he wants even though such a move can become counterproductive and short time strategy in the future. Desperate as Machar is, he’s likely to enter any alliance with whoever supports his ambitions even at the expense of the nation. He's two major trump cards to play. One's tribal card and another is Khartoum desperation to see to it that it doesn’t lose oil revenues from South which pays for the use of the pipes which lie in North.
Economically and strategically, Kenya and Uganda even Ethiopia have no choice except to go in South Sudan and make sure that the work is quickly and well done. For the duo are almost the suppliers of almost everything as far as commercial life of South Sudan is concerned. So too, it must be noted. If South Sudan becomes a failed state like Somalia, Kenya and Uganda will suffer most.
Again, going into the country in the region whereby such a move had already cost others is difficulty. Refer to what happened to Rwanda and Uganda when they went into DRC. As it was in the Somali case whereby Kenya was forced to go in to flush Al- Shabaab out, the duo might consult with the African Unity (AU) and the UN to seek their authorization of their move. Again, looking at how Kenya is gasping for fresh air in Somalia chances are that Uganda needs to organize more forces and resources to take up the task. This is out of question that the duo must do something timely and quickly before their countries take a hit.
When the duo gets into South Sudan, they also must underscore the fact that the current imbroglio is bigger than Kiir and Machar. South Sudan has more than two tribes however bigger they might regard themselves.So too, they should consider the role Khartoum and its Arab allies play in the current impasse.
Source: The African Executive Magazine Jan., 1, 2014.
↧
KAPUYA GATE MUST AWAKEN THE GOVT
Those who cared to follow closely rape allegations against Urambo MP, Professor Juma Kapuya (CCM) were baffled by how the authorities’ cold feet in dealing with it. Kapuya’s alleged to have sexually assaulted, threatened and raped a secondary school girl who went to him seeking assistance. Whether it’s true or not, it isn't’t within our jurisdiction. Had the authorities charged Kapuya, we’d have known the truth. Those of us who believe in equality and rule of law, govt’s indifference on the saga shows how the law of land is pointlessly used serve the high and mighty as it fails the paupers.
It isn't upon us to judge others. Again, it’s our sacred responsibility to query why the authorities are denying the citizen of her right to justice that’d be seen done to all equally and according to the spirit and letter of the law of the land. Law’d apply equally regardless of the position or status of a person. It’s sad and embarrassing to note how our govt’s always made us believe that it’s there to fight impunity and criminality among which is rape that carries a heavy penalty. Just imagine. If what Kapuya’s alleged to have committed were committed by a common man on the street. Suppose the girl Kapuya’s alleged to have raped were his daughter. Would the police have the guts to play ping pong as it’s currently whereby the victim isn't a daughter of a famous or rich person? Isn't this segregation and criminality in itself to apply law discriminatorily?
Time for the govt to put its house in order is now. It’d treat boozers equally and decently as far as their protection, security, human rights and dignity are concerned. The boozers the govt is giving a raw deal are the ones who pay tax that pays its institutions such as police that’s paying a blind eye on this stinking scandal. I didn't expect to evidence the whole hunk pretending neither to hear nor see this injustice committed against helpless citizen who legally enjoys all rights to dignity, security, protection and well being just as any other citizen.
I really felt bad after reading news that this betrayed girl’s now going from one foreign embassy to another seeking justice that the authorities have denied her. As a hunk that aggrandizes itself to be independent and whose people are deemed equal, how do we stomach this shame of condoning criminality in the broad daylight like this? I don’t know if the girl in question sees any importance and legitimacy of the govt that can throw cold water on their face. Where are the likes of Nape Nnauye and Abdulrahaman Kinana whom we heard recently shouting at the top of their voices ‘defending’ the rights of farmers? Doesn't this girl deserve their voices?
While this hapless and helpless earthling is wondering, still faces some threats from the same suspect. He says that this hunk belongs to the high and mighty. Thus no law under the Sun can deal with him. When Kapuya issued such threats many wrongly thought that he’d be apprehended. Some thought he’s but the last kick of a dying horse. Again, looking at how the authorities have shut doors upon the victimized girl, Kapuya’s dead right. This hunk belongs to the high and mighty that can commit crimes and get away with it as it is in this saga. Doesn’t such indifference motivate other top dogs to commit crimes as please? After noting that they've nowhere to go, shall our earthling use mob justice as they recently did in Mwanza, will we condemn them? Is this the rule of law that our politicos promised us during election campaigns? Is this better life for all if at all some are better than others?
Suppose this girl goes before East African Court. Won’t this leave our hunk with egg on the face? Yeah. By all keeping mum, we've condoned the vice. Therefore, we’re legally as guilty as the one who actually committed the crime.
Sadly though, this isn’t the first or the last time the image of our hunk’s been tarnished. Refer to how Dr. Steven Ulimboka and Absalom Kibanda were brutalized by known criminals and the authorities have maintained silence as if this isn't part of their business. In Ulimboka’s saga, one Ramadhan Igondhu’s identified as the leader of the gang that tortured Ulimboka. Yet, despite this damning revelation Igondhu has nary even been questioned by the police. Aren't we pointlessly creating another Rwanda whereby genocide will be between who haves and who have-nots? Refer to what transpired recently in Kanyama Magu Mwanza and Ulanga Morogoro where mob justice took place. Who’d risk thinking that unarmed citizens would fell a fully armed big wig as it recently happened? Things have changed. We need to change with them otherwise we’re forcing our hunk into chaos and anarchy.
In sum, the power that- be must revoke Kapuya’s and other bigwigs' license to commit crimes. Otherwise Kapuya and the authorities that are shielding him should come clean now.
Source: Business Times Jan., 2, 2013.
↧
Are Museveni and Zuma racists?
During his address to The East African Legislation Assembly (EALA) in Kigali, Rwanda on 24th April 2004, Uganda’s long time strong man Joe M7 said, “Why Africans forget easily it is really amazing,” M7 asked EALA members of Parliament if they remember Mau Mau. As it seems, they did not respond the way M7 wanted. So he pointlessly attacked all Africans based on the reaction of a few MPs saying that they forget easily. Is M7 a white man he likes to beg and blame? Did M7 utter this out of irresponsibility, arrogance or mere ignorance and forgetfulness?
Today’s piece will pick a bone with M7 who seems to say much without thinking. Are there any Africans who forget easily like M7 and Bob Mugabe? I'm trying to imagine. If such rubbishes would have been uttered by a white person what’d have been our reaction? I’m wondering. The media didn't pick this abuse to show how racists sometimes some of our people can be. M7 isn't alone in this racist race. Who’s forgotten how South Africa’s big man, Jack Zuma, recently shewed disrespect and racist remarks about Africans as if he weren't an Africa? He said, “We can’t think like Africans in Africa generally. We are in Johannesburg.It’s not some national road in Malawi.” For Zuma, J’burg that’s built by white racists is a big deal. J’burg for Zuma’s a symbol of pride that one can pointlessly use to discriminate other Africans. Has he forgotten how J’burg’s built? Is Zuma among Africans M7 says forget easily because of the powers they abuse and misuse? None withstanding, Zuma’s forgotten that he’s not one of those whose policies of robbing the public and build his home village built J’burg. In other words, Zuma’s trying to take credit where he didn't perform. This is theft by legal definition.
As for M7, it is sad for the guy who’s been in power forcefully for decades to say such degrading words. Try to imagine. If such words were uttered by UK prime Minister of the president of France, what’d have been the response from our Think Tanks and media even the likes of Museveni? Has he forgotten that he’s an African like Zuma? Does M7 remember some of his vows some of which is the one of not overstaying in power? Again, for over two decade now, M7’s nary remembered that he’s overstayed in power!
Swahili sage that M7likes to mix with English has it, “Nyani haoni kundule namely the monkey does not see its back.” Interestingly, it is the same M7 who seems to forget easily and think that all African do the same. For instance, M7 took a dig on others for calling United Nations into their affairs which he called the vote of no confidence from the people. Obviously he’s referring to the DRC after it called UN to flush M23 away. He forgot that DRC was weakened by his invasion and his clandestine support to M23. Again, when the same M7 tried to catch and kill Joseph Kony failed, he went himself to the same UN. Indirectly, his target was Kenya that took her case before the International Criminal Court (ICC). To M7 this is failure.
M7 went on showing how he easily forgets. He said, “China and Japan were backward technologically at that very time. This is not true. Historically, China was ahead of other countries in the world save that the Emperor abolished his ambitious programs of building bigger ships that Europe had ever seen. The Europeans tried to colonize them but failed.” Even when Brits arrived in China for the first time they were baffled with the level of development and technological advancement China enjoyed. History shows and proves that China and Japan were vanquished and colonized. M7 mentioned Opium war. To prove how he forgets easily he said that the British were defeated. Really? After the Battle of Plassey in 1757, if my memory serves me rightly, Britain won after its troops and those of France under generals Sir James Hope Grant and Lieutenant General Cousin-Montauban defeated China three years thereafter. Again, whose fault’s this? Is it M7’s or his speech writers? Again, for the person who’s well educated and sane, you don’t pick up the speech and read it as it is. You do your own research in order to corroborate the facts and issues instead of regurgitating just like M7 did to end up abusing all Africans and telling lies.
Again, M7’s naked abuses that Africans forget easily should be taken seriously. And he’d be told to his face that generalization’s the refuge for uneducated and lazy people. Academically, nothing’s sacrilegious to commit like generalizing everything without any gist of research. Mao Tse-tung used to say, “No investigation no right to speak.” Africans don’t forget easily. If they do they do so like any other human beings. So too, China didn't defeat Britain in two Opium Wars.
When faced with reality of America being hated by many people under George W. Bush, Michael Moore, in his book “Stupid White Men”, wrote, “Friends, when are we going to stop kidding ourselves?” The same token fits M7 and Zuma. Guys, when are you going to stop lying to us yourselves included? Again, Arabic proverb has it that arrogance diminishes wisdom.
Source: Business Times Jan., 3, 2013.
↧
↧
Nipeni wizara ya Mali ya siri na utajiri
Baada ya mlevi kushuhudia wakubwa wakitibuana, kuchongeana, kung’oana hata kufichuana, anapendekeza apewe Wizara ya Mali ya siri ya utajiri ili akomeshe ulaji wa kijinga na kilafi unaoendelea.
Japo sina uhusiano mzuri na jamaa yetu Njaa Kaya kwa vile anajua kichaa changu cha kupenda haki, nawaomba watu wa mjengoni watumie turufu yao kuhakikisha napewa wizara ya Mali ya Siri na Utajiri wa vigogo ili niinyooshe once and for all.
Naomba wanipe rungu nirejeshe heshima na usalama wa raslimali zetu kwa vile ufujaji, wizi, ujambazi na ujangili unaoendelea usipokomeshwa, kuna uwezekano vizazi vijavyo vikakojolea makaburi yetu kutokana na kuvisaliti kwa tamaa za kipumbavu na ubinafsi vilivyopindukia.
Japo inaitwa wizara ya Maliasili na Utalii, kwa walevi hii si chochote wala lolote bali wizara ya mali ya siri na utajiri wengine huiona kama wizara ya mali ya siri na ujangili ambayo wengi wanainyemelea ili wale bila kunawa tena kwa mikono miwili.
Hatuwezi kuendelea kuvumilia ushenzi huu. Lazima jinai hii ikomeshwe tena haraka na mara moja.
Kama nitapewa rungu, nitarejesha Loliondo na kuwakamata akina Mhunidin Ndongala na wale wote walioshiriki na kushirikiana kuhujumu taifa bila huruma wala kuangalia nyani usoni.
Sitanii wala kufanya sanaa kama wale wanasanii mliokwishawachoka. Wala si fikra za kilevi na bangi. Walevi wanajua fika kuwa waliibiwa na kutendewa jinai chini ya utawala kidhabu ulioruhusu ufisadi na ujambazi mbuzi vianze kujichimbia kwenye kaya.
Hivyo, amini nawambieni wenye kusikia wasikie na wenye kuelewa waeleve maneno haya ya unabii. Lazima Loliondo irejee mikononi mwa walevi hata kama itabidi kunyonga watu.
Kwani, wao wananyonga wangapi hasa wanapoendelea kuchuma huku dhiki zikiwadedisha walevi? Isitoshe wananyonga wanyama wetu hovyo hovyo na kwa kasi ya kutisha kiasi cha wengine kama faru kuanza kutoweka.
“We can’t stay a side and look while our hunk is being raped by evil’s and devil’s agents in the name of investment. How can we invest in destruction as if we’re zombies and vagabonds?”
Ili kutimiza ahadi zangu, nitawahoji wote wanaotuhumiwa kuhusika na ujambazi huu wa kuliangamiza taifa hata kama itabidi kumhoji mzee Ruxa kwa kunyamazia ujambazi wa Loliondo.
Japo ana kinga, nitataka nimhoji anipe mantiki ya kuruhusu jinai hii itendeke chini ya uangalizi wake kama hakuwa na maslahi yoyote.
Itabidi nipate maelezo ni kwanini wahusika waliruhusu huu ujambazi wa mchana kama kweli hawakuwa na maslahi binafsi?
Kwanza, nitahakikisha nalipa fidia kwa familia ya marehemu Stan Katabaro aliyenyotolewa roho na ujangili na kumtangaza shujaa wa utokomezaji ujangili hasa wa kiutawala na wale wote walioathiriwa na ujambazi huu wa mchana. Hii itatoa motisha kwa walevi wote wanaojua madudu na mbinu za watenda jinai hii kujitokeza na kunipa taarifa na ushirikiano.
Pili, nitawahakikishia usalama wao na familia zao.
Tatu, nitahakikisha nataifisha mali za mawaziri na vigogo wote na maajenti wao wanaosadikiwa kuigeuza wizara hii mali ya siri na ulaji.
Nne, nitamtimua mtoto wa mfalme wa kimanga ambaye alijinyakulia Loliondo kupitia kwa mawakala wake washenzi waliokuwa na madaraka.
Wote waliopata vitalu na vibali kupitia rushwa au kujuana wakae mkao wa kuliwa. Naapa kabisa. Sitanii wala sijaribishi bali kufanya kweli. Kwani kama walevi tumechoka kugeuzwa mashahidi wa maangamizi yetu na vizazi vijavyo.
Tano, nitahakikisha namtoza fidia huyu mmanga kwa muda aliotumia Loliondo bila kulipa kodi wala kufuata sheria.
Sita, nitahakikisha wale wote waliouza wanyama wetu nje wananyongwa hadharani mbele ya walevi.
Saba, nitahakikisha wale waliouza mahoteli yetu ya kitalii kwa bei mchekea wakae mkao wa kuliwa. Wakae wakijua kuwa nikichukua ukanda nitawanyongelea mbali na kuhakikisha mali zao zinataifishwa huku nikibatilisha mikataba ya uuzwaji wa hoteli husika.
Nane, nitawasweka ndani vigogo wote wenye kulalamikiwa kupewa vitalu vya uwindaji kinyume cha sheria.
Nadhani akina Pio Msekua, War Kawawa and family, Andaaman Kinamna na Mood Sefu Khatib wananipata.
Najua mambo yao na jinsi ambavyo walitumia madaraka kujinyakulia vitalu.
Tisa, nitakomesha ujambazi unaoendelea ambapo vigogo wa wizara huenda ughaibuni kutanua huku wakijilipa ‘per diem’ kwa kisingizio cha kwenda kule kutangaza utalii.
Kumi, nitakomesha uwindaji haramu na ujangili kwa kuwaongoza walevi kusimamia mbuga zetu za wanyama. Hata uwanja wa ndege na mipakani nitajaza walevi na wavuta bangi ili waonyeshe wanavyoweza kufanya kazi vizuri kuliko walevi wa ngawira.
Heri wangevuruga walevi kwa vile ni walevi kuliko washenzi wanaoitwa waheshimiwa wakati ni wezi wa kawaida tu waliojificha nyuma ya madaraka.
Kumi na moja, nitaendesha operesheni Tokomeza Ujangili kwa kuwashughulikia majangili wote yaani wale wa mbugani na wa maofisini.
Sitakuwa na cha msalie Mtume wala nini bali kukamata tu. Pia sitaruhusu kuingiliwa na kiumbe yoyote awe mdogo au mkubwa. Nikipitisha uamuzi umepita. Atakayejiletaleta na cheo chake namuanika kwenye magazeti ili jamii imjue. Wale ndata wanaotumia bunduki na magwanda yao kufanya ujangili, wakae mkao wa kuliwa. Nitawakamata na kuwanyonga sambamba na mabosi wao wanaowaachia watende jinai hii kwa walevi.
Wanadhani hatuwajui na jinsi migari yao inavyotumika kufanya ujangili kama wale waliokamatwa kule Mugumu?
Walevi wanawajua wao na mitandao yao. Wanajua kila kitu na wako tayari kuhakikisha wahusika wote wanakamatwa bila huruma wala upendeleo.
Ifahamike wazi. Sitatoa muda wa watu kujipima na kufanya maamuzi magumu. Nitafanya maamuzi magumu mwenyewe kwa vile mimi na walevi ndiyo tunaokabiliwa na maisha magumu yatokanayo na maamuzi na tabia za kipumbavu za baadhi ya watu kuuza mali ya kaya kwa manufaa yao binafsi.
Hii kaya ni yetu wote kwa usawa bila kujali cheo wala mitandao.
Kama nitaeleweka na kupewa rungu, aminini hii ndiyo saa ya ukombozi wa kaya hii na raslimali zake.
Lazima nirejeshe wizara ya Mali ya Siri na Utajiri kuwa ya Maliasili na Utalii na si ujambazi na ushenzi.
Nawatakieni heri ya Krismas na Mwaka Mpya wa ku fanya maamuzi magumu
Zikomo kwa mbiri.
Chanzo: Nipashe Jumamosi Jan., 4, 2014.
↧
Kwa mlio mbali mjue ni hali halisi
↧
Will China soon take a lead in science?
↧
Peanut-vending billionaires in a begging hunk uh!

News that our always-begging hunk has been able to produce some billionaires can’t pass without being dissected. I read somewhere in many newspapers and websites people prodding themselves for being the citizens of the hunk that has produced billionaires.
High on the list were Reggie Mengi, Saydou Bakhressa, Roast Tamu Aziz and Moody Dew-jii. When it comes to the first two, I’ve no qualms or quarrels with them. They’re truly prominent business men. Again, for the last two, I've a lot of doubts and questions altogether.
I’m still musing about how the guy, for example, accused of engineering grand scams such as Kagoda, EPA and Richmonduli can become a billionaire while he actually’s a criminal who robbed us in the broad daylight? Instead of being referred as a billionaire the guy’s supposed to be behind bars after his property being confiscated. How came a boy who grew up yesterday manning his dad’s suspicious business can become a billionaire overnight? I can’t just believe that such person who is still languishing in uhishimiwa in order to protect his dad’s interests and mint and print more dosh is deservedly a billionaire.
The good question one can ask is: Do these guys pay tax? Are they clean so as to meet the threshold of becoming billionaires just like in other civilized countries where paying tax is next to God’s order? Again, what does it mean for a begging hunk, just like ours, to produce billionaires while our hoi polloi are robbed every day? Although, I’ve been ignored time and again, I still stand for my vision of asking our rulers to return back to maadili or ethics. To do so, they need to abandon the current regime of madili that are sabotaging our nation.
For me, a billionaire’s the guy that pays tax, deals with legal business transparently. And he or she doesn't rob others.
The other day I heard one guy, Prof Sossie Muongo sorry Muhongo saying that Bongolalalandan business people deserve to do peanut business but not invest in gas production. I was shocked to death to note that we still have people with such archaic hangover and carryover altogether. If the minister who answers to the title prof is such myopic, ignorant, blind and whatnot, what of the guys on the streets? Boy, you’re in the office to make things happen not to sanifu others. If your citizens are paupers just help them instead of revering foreigners who come and plunder as pleased. Is it because they give you chochote kikubwa and kidogo or just kuabudia wageni? Do you remember what happened with RITES’ gabacholis who came and rip us off under the pretext of investing while they actually had no coin save to scoop it from us? Again, those calling our people wauza karanga are the one who enabled these thieves to get away with our dosh! Help them the way you help your masters (investors) they’ll be able to invest in gas instead of karanga au siyo?
As I said above, the first two beside, I’d like to know the type of the business the last two do. I need to know because, if the trend of locating billionaires is going to go on unquestionably, chance are that next time we’ll hear of drug barons becoming billionaires. The other day even these thieves in cloaks we've will feature high in the list. Though we don’t want to face it, we've many con men and women, thieves and jambazis hidden behind the word of God. They rob our people under the pretext of solving their problems while they actually are aggravating them. I wonder why the power that- be does not excoriate these thugs of whom many are now coming from neighboring countries just like those Nigerians that were nabbed in Tabata living in the country illegally. Who cares if at all everybody is busy minting and printing dosh for those who have power? Who cares if at all they are in the same bed doing the same thing? I’m told that even operesheni Kimbunga is aimed at those that are unable to be in bed with the high and mighty. The living example is what’s reported in Dodoma where one cloack- con man known as Elis-ha Muriri’s said to have raped a girl. The media said expressly that cops were protecting this foreigner. They didn’t refute the allegations. What’d we take from this if this is the case?
In a nutshell, instead of celebrating and cachinnating for having fake billionaires, we must agitate that thugs among them be brought to books as soon as possible. The minister who seems to miss the point in his business must be told that time to serve the wananchi is now. Aggrandizing and praising swindlers simply because you’re in bed with them is uppity. Though we truly have some real billionaires, like the Swahili sage says: Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. There are some kenges in our billionaires. Anyways, all depends on those who are robbed. If they celebrate their own deaths, what can I do? I’ll just tell them as I’m doing. Whether they accept it or not, shauri yao. See you guys!
Source: Thisday Jan., 6, 2014.
↧
↧
Is it the beginning of the end of Mugabe?
Rumours are good source of news for those who care to follow the leading clue. New that Zimbabwe's strong man Bob Mugabe collapsed is concerned. Just like any mortal being, Mugabe will one day die. When? It is upon the creator to decide. Again, what we can surely say is that Mugabe will one day die especially at this time when he is approaching his end of normal brief live on this planet. For more leads just CLICK HITHER.Is it the beginning of the end of Mugabe's arrogance and fake infallibility? Who knows?
↧
Article 0
Though it's still early to write a dirge or obituary for former Deputy General Secretary of Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) Zitto Kabwe (MP), it's close to call. Looking at the heavy, stinky, messy and hot soup Kabwe's in; my crystal ball tells me I’d do. Though I’m not writin' the obituary even the dirge. Others can do.
Today I’m addressin' the whole fracas CHADEMA is in. Refer to the hype-touted, “the Kitilya-Zitto-Mwigamba dossier. I don’t want to lawyer anybody or judge anyone. Looking at the look of the things I must say, Zitto's history as far as membership in CHADEMA is concerned. I've a number of reasons to believe so.
Firstly, Mkumbo’s self-inculpatory confession, if anything, put the last nail in Zitto’s political coffin. By admitting they wrote the dossier that aimed at placing Zitto in power illegally and covertly, the trio committed what Indians call suttee. Kitila said he saw nothing wrong with his dossier then he confessed to have authored the dossier. He went a mile ahead apologizing. If you see nothing wrong with your dossier, what are you apologizing for in the first place?
Again, why did Mkumbo and Zitto want to resign from their position if they felt and understood that they committed no sin? When the politburo sensed their ploy and attempt to resign honourably, it axed them so that they’d go down dishonourably. I know Zitto’s fans and sympathizers are asking: Will our hero survive? Zilch, by all means and possibilities.
The other day when I read some headings saying that Kitila-Zitto axis would spill beans I waited anxiously to find that instead of spilling beans, the duo were too apologetic and beaten. If anything, such an expected U-turn forced speculators to say that the guys were now done. It means. They’d no beans to spill after theirs were spilled by CHADEMA bigwigs who caught the trio with their “pants down.” What else can you expect out of such desperate situation whereby the suspects are as good as cadavers? Done deal uh!
Two weeks before the moment of truth surfaced for the duo, I penned a piece asking Zitto to live up to his words. It's as if I knew what’s coming. I’m not a con astrologer to say that I saw it in my books. It's coincidental that I said what would happen before long. I take no credit save that I’m happy that I can see the future however accidentally and vague as it may seem.
Let me delve into the dossier that showed Zitto and Kitila the door. When cornered, the vulture cries eagle. So too, when Mkumbo was cornered he said that Zitto wasn’t aware of the dossier! Does it cross the mind even that of the dove? If he didn't know the said dossier why didn't he distance himself from it when he met the media? What does this mean really? Does it mean that Mkumbo-Mwigamba gang wanted to use Zitto or vice versa? So what?
Why people think that it’s easy to jump a smoking gun? How can you conceal your courtship to the girl you're intending to marry? Who wants to fool who hither? Let me say it clearly and loudly. Zitto knew everything. This is why he didn't and he can't recant the dossier. Moreover, CHADEMA’s been so tolerant and patient pointlessly for long. Time to act's now and now's the time to act decisively for once and for all. Dude set a precedent that political opportunism and prostitution don't pay.If they do, he who banks on them commits political suttee as it is in this saga-cum-case.
Anyway, when Zitto faced the media, he avoided eleven charges placed against him. Instead, he gerrymandered about ho-haa and other bull-cock tales. Why? Was there anything sinister Zitto didn’t want us to know? Again, this is not my question. It's the question that CHADEMA lawyer, Tundu Lissu asked when he faced the media to reciprocate to Zitto-Mkumbo face-the-media opportunity that took place a day before.
Although much has been said, one might still ask,: If Mkumbo Dossier aimed at enabling CHADEMA to win why did the author turned it into a top secret involving only a select few? How can you help a party by concealing the strategy from it?
In my piece on asking Zitto to live up to his words I advised him to quit active politics and do the job he loves, teaching. It's time I give him more wisdom nuggets that if he still wants to be in the game, he’d follow Warrid Kaboro. Return back home to CCM that's said to be using him. Again, does it make sense to cry for the milk one spilled thanks to his myopia, greed and rush?
In sum, Zitto deservedly got what he asked for. Mwana mkaidi. Though insanity will dictate that Zitto’s facing his Waterloo due to religionism, regionism and whatnot, the truth's the he authored his obituary-cum-dirge. Will he evolve from the ash? Perhaps. It amounts to miracles, miracles, miracles ad infintum.
↧
Tumerudi upya mambo mapya mwaka mpya
Wapendwa wasomaji wa safu hii,
Kabla ya kuwaletea nini ajenda na mjadala wa kijwe cha leo, tuonaomba kwa niaba ya wazee wa kijiwe na kwa unyenyekevu msamaha kwa kutokuwa hewani kwa takribani mwezi. Tunawashukuru kwa utulivu na uvumilivu wenu. Maana kuna msomaji aliniambia kuwa alikuwa na mpango wa kutangaza maandamano ya kutaka kujua kwanini kijiwe hakikuwa kikitoka.
Mengi yalisemwa. Wapo waliodhani kuwa tumekolimbwa au kunyamazishwa. Wapo waliomzonga mhariri kutaka kujua kunani. Wapo waliosema nimekamatwa baada ya kukibandiwa kabla ya kumwangosiwa au kumvungiwa na mambo mengine mengi. Wapo waliodhani kuwa Kanji na Kanungaembe Sofia walitia mtima nyongo wasijue wachawi si wao bali wengine. Nawashukuruni sana hasa msomaji wangu Shaddy Mijjinga ambaye alinisumbua na maswali kweli kweli.
Kwa ufupi ni kwamba wote tu wazima kuanzia mimi Mgosi Machungi, Msomi Mkatatamaa, Mbwamwitu, mzee Mipawa, Kapende, mzee Maneno na mzee Kidevu na akina Mchunguliaji bila kuwasahau ami Mpemba, bi Sofia aka Kanungaembe na dugu moja Kanji.
Pia n achukua fursa hii kutoa rambi rambi kwa kufiwa na mzee Mandela ambaye bahati nzuri nilihudhuria maziko yake ingawa kwa staili tofauti na wale mafisadi waliokwenda kula kuku na kutalii. Wanakijiwe walinichangia uchache nikawakilisha na rambirambi zao. Sitaki niseme makufuru niliyoshuhudia kule ambapo malaika alizikwa na wenye dhambi kibao.
Tuyende ku nchito. Kijiwe cha leo ni cha aina yake. Naona kama kawa mgosi Machungi anaingia akiwa amevalia kanzu yake na kofia ya tarabushi. Mpemba naye keshajaa tele kama pishi la mchele huku Kapende na Mipawa wakiwa tayari ugani farasi kufungiana nyama na nyangwa.
Msomi kama kwaida yake hakosi mabuku makubwa mkononi huku Mbwamwitu akiwa na bashasha zake.
Mpemba analianzisha, “Yakhe hebu tupe habari za safari yako kwa Madiba.”
Nakunywa kahawa yangu huku nikijiweka vizuri kwenye benchi.
Nasema, “Kwanza nawashukuru nyote kwa kuniwezesha kufika Sauzi. Licha ya kufikia J’burg kama wao wanavyoiita Johannesburg nilifika kijijini kwa Mandela kule Mvezo. Ni kama Butiama. Hakuiba wala kujenga makazi ya kifahari kama yale ya kijijini kwa Zuma Nkandla. Sema kwa jina la Mandela na wema wake, bado Mvezo panaheshimika kuliko hata hiyo Jo’beg.”
Mpemba anachokemea, “Yakhe wataka sema paheshimika kama Nsata au Bwagamoyo?”
Msomi anadakia, “Ami acha utani. Huwezi kulinganisha chawa na tembo. Huwezi kulinganisha pango la wezi na hekalu la Mungu.”
Msomi anakunya kahawa na kukatua kashata na kuendelea na kuchomoa gazeti la kikameruni toka nchi jirani na kusema, “Umeona hiki kibonzo kinachoonyesha viranja wetu wakiingia kwenye viatu vya Madiba na kupwaya?”
Kapende anachomekea, “Hao pamoja na kumezwa humo aangalie wasivijaze vinyesi au kuviguguna kama panya kama siyo kuvipiga mnada.”
Kijiwe hakina mbavu isipokuwa Kanji na bi Sofi ambao walionyesha wazi kutopenda vimondo vilivyokuwa vitupwa kwa walaji wa kaya.
Sofi anachomekea, “Kwani mawazo ya huyo mchora vibonzo ni msahafu hadi yawe kweli?”
Mipawa anakwanyua mic haraka, “Ukitaka kujua ukweli wa jambo uangaliage jinsi watu wanavyolipokea au kulipenda au kuliponda. Hiki kibonzo kimeeleza ukweli ndiyo maana wengine unawachoma.”
Mbwamwitu anadakia, “Unawachoma wapi?
Mipawa anajibu kwa mkato, “Popote watakapoona unawachoma.”
“Yakhe mie naona mambo ya kuchomana tuyaache tuongelee uaminifu na mchango wa Madiba ati.”
Nlisema kwa ufupi kuwa Madiba hakuwa fisadi wala mpenda maulaji kama wengi wa waliomzika toka barani kwetu.
Kwa vile tulikuwa na mambo mengi ya kuzungumzia, tulirukia kwenye hali halisi ya mambo kwenye kaya ambapo tunafunga mwaka.
Mgosi Machungi anasema, “Wagosi naona tinafunga mwaka kwa mkuu kuendelea kuzuua kiasi cha kutisha. Juzi tilimuona akienda kwa akina Bonjour, mara kwa Diba mara kwa Nyayo sijui kwanini hajifunzi.”
“Ajifunze nini wakati wanaopaswa kumshikisha adabu hawajifunzi?” Anajibu Msomi kwa kejeli.
Anaendelea, “Mie naona tungeangalia hili la Mzigo sorry Mzito Kabwela kuonyesha makucha yake asijue watayakata kabla hayajaparura.”
Mipawa anadandia, “Mbona walishayakata kiasi cha mtu mwenyewe kuanza kuweweseka!”
Kapende naye hajivungi, “Hakuna kitu kilimmaliza huyu limbukeni kama Chama Cha Mafisadi kuonyesha eti huruma kwake. Wao ya Chakudema yanawahusu nini?”
Sofia anadandia, “Kwani ni vibaya kumuonea huruma mtu hata kama ni adui yako?”
Kanji ambaye alikuwa kimya naye anaamua kukatua mic, “Hapana baya Sofi. Naona chama penda vatu diyo maana naona huruma kwa Bwela.”
Mzee Maneno ambaye naye alikuwa kimya anaamua kuweka timu, “Ukiona hivyo jua lao moja. Si nasikia walikuwa wakimlipa pesa nyingi ughaibuni ili aibomoe chakudema na hajakanusha.”
“Kwa vile msimu wa wanasiasa kusiasia urongo na kamba zao unawadia, tunapaswa kujiandaa kuona mengi.” Alidokeza Kapende.
Mgosi naye hakutaka kujivunga, “Nashauri mwaka ujao tijiandae kuwatia adabu wanaotaka kutitumia kama majembe. Tihakikishe pesa ya ughaibuni inaejeshwa, kina Kagoda wanakamatwa, mafisadi wanaojipitishapitisha wakihonga njuuku za wizi wanapigwa chini na mambo mengine.”
Mipawa anaingilia kati, “Tuazimiege kuwa mwakani badala ya kutwambia kilimo kwanza watwambie mibwimbwi na kuficha njuluku nje kwanza.”
“Yakhe mie naona mwakani iwe ni kamba kwanza ukweli mwisho. Hivi ile nguvu ya soda ya Mwakiwembe ya kupambana na wauza bwimbwi nayo imeishi wapi?” Alichomekea Mpemba.
“Si ajabu hata wale dagaa wa airport washarejeshwa kwa mlango wa nyuma au kuhamishiwa kwingine. Bongolalaland hii ati,” Anajibu Mchunguliaji.
Msomi anadakia, “Nadhani Mwaki naye ni mzigo kama Mizengwe, Mgimua, Chiizi, Milima na Hawa wana Ghasia na wengine. Nadhani kama kungekuwa na uwezekano wa kuwachapa bakora hawa jamaa ingewafaaa sana. Maana they are good for nothing so to speak.”
Naona bi Sofi na Kanji wanaamua kukitoa baada ya kugundua kuwa vimondo vingi vinaelekezwa kwenye genge lao.
Kwa ufupi ni kwamba kijiwe kimepania kuja na ukali mpya mwaka mpya kuhakikisha wababaishaji na mizigo wanapigwa chini.
Kikiwa kijiwe kinanoga si mvua ikaanza kunyesha! You know what followed guys. Guess what. Kila mtu alitimka kutafuta pa kujikinga.
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 8, 2014.
↧
Makamba, do fear God Please

GIVEN that the season of politicking for the 2015 elections has started, all aspirants will be out and about. I recently heard Jan Makamba, the deputy minister for Comm., Sci. & Tech liken himself with Prophet Nehemiah whom God ordered to take up the ministry at tender age.
Makamba quoted Jeremiah 1: 4-10: 'Before I formed you in the womb, I knew you before you were born; I appointed you a prophet to the nations.”
How dare he compare himself with Nehemiah who’s selfless and God-fearing. Nehemiah wasn’t a self-seeker scheming for mundane power in a country of Richmonduli, EPA, IPTL, UDA and other scandals whereby the high and mighty eat with both hands, unwashed?
Please Jan, fear God! Do you mean God appointed you to become Govt. minister? If I were President Jake Kiquette, I’d fire you and see if God'd reappoint you!
Is Makamba showing 'u-Dini' on a mission to become president?
Surely, he should find another way of attaining his goal(s).
God and prophets have nothing to do with the power hunger of mortals. Why doesn’t Makamba tell us unequivocally that he wants to run for President?
But then again, one observer said he sees no qualities in Makamba as such to make him President – even of a country like Tanzania!
Although boozers like the writer are seen as 'fyatus,' they nonetheless do have a point once in a while!
Apart from being a rookie, Makamba needs to tell us what good, positive, he has ever done for our country!
Makamba was quoted quoting the Bible, saying that “God in His holy book wants a leader or deacon not to be quarrelsome, not to love money. He must manage his own family well. If one does not know how to manage one's own family, how can one take care of a church or a country?”
Well, well, well... Our country is looking for a president, not a cleric. Ironically, if looking after one’s family well would be one of the qualifications for a State President, some of those enjoying 'ulaji' at the Magogoni White House wouldn’t have even got close to the place in the first place!
Again, saying that a leader shouldn’t love money is a big lie. In our country, power means money-making, period!
Given that boozers know everything the 'vi-Gogo' and their offspring do, it's time to tell wishy-washy presidential aspirants that we don’t want them in the Highest Office in the Land.
One boozer left us in stitches when he quoted (Biblical) Hebrew 3:12, saying, 'take care, brothers, lest there be in any of you an evil, unbelieving heart, leading you to fall away from the Living God.'
Before anybody could chip in, another quoted Genesis 6:12, which says, '...and God saw the Earth and, behold, it was corrupt, for all flesh had corrupted their way on the Earth!'
Another wound up the story by quoting John 8:44, in which Jesus addresses the masses: 'you are of your father the devil, and your will is to do your father's desires. He was a murderer from the beginning, and has nothing to do with the truth, because there is no truth in him. When he lies, he speaks out of his own character, for he is a liar and the father of lies...'
Source:Thisday Jan., 10, 2014
↧
↧
Viongozi wanapogeuzwa nyumba ndogo za mafisadi


Viongozi wa namna hii ni wa kuogopwa kama ukoma. Hapa Balozi wa Tanzania nchini Marekani Liberata Mulamula akijidhalilisha kwa mfanyabiashara na mbunge mwenye utata jinsi alivyopata utajiri wake Mohamed Dewji. Bila shaka anakwenda kumtoa mshiko jambo ambalo halidhalilishi mhusika bali hata taifa. Chini nako ni anayejiita mwenyekiti wa CCM huko Washington Marekani George Sebo anakwenda ofisi kwa Edward Lowassa kuombaomba ili aweze kuishi. Wanamtembelea Lowassa kama nani kama siyo kutafuta chochote kitu?
↧
Taunts and boos: Is it you Prof Tiba-ijuka?
Dear Prof Annae Kajuamlo Tiba-ijuka,
Allow me to humbly touch base with you seeking some explanations about a couple of things. I hope you’re recovering from the shock after some fyatus in Mbeya jeered at and booed you so much that the DC had to zero in to aid you in this fracas. Firstly, I thought it’s untrue. After reading the story all over the place, I truly felt very bad. I wished I were there to teach these sons, and possibly daughters of bin-Adam, a very good lesson.
Again, I believe you still remember me. If yeah, cool. If not, I’m the author of an epistle that asked you what’d happen if the Uhindini building you condemned didn’t come down as it happened. Sadly, you didn’t reply. To remind you I wrote another epistle in the defense of the same building. Thanks. You heard my prayers and spared that expensive and magnificent building which stands to be a symbol of ‘good governance’ in our hunk.
The other day I penned a piece asking you how you’d deal with moneyed people who built mansions on legally forbidden areas. One of these creatures answers to the name Gettie Rwakatarehe. Again, you didn’t reply. This didn't kill my oomph to see to it that you reply to my inquiries.
Once again, I’m penning another piece specifically aimed at you. You know what. Boozers are saying that your promise of retrieving their land from an investor will end up a cropper just like the one on demolishing that killer house. How were you able to privatize the whole village as if villagers didn’t exist? Does this need a PhD to know really? How can a govt act like a traditional healer?
Though I got it from boozers at our swallowing joint, I still want to know more. Is it true that you cowardly hared to the car when you saw charged farmers baying for your blood? For, one boozer left us in stitches when he said that you warned furious guys to reckon with the fwact that you’re a porofwesa and a minister whom they’re duty-bound to respect and protect even if it meant to shed their blood like those who died in Uhindini building saga. They did not buy it though. They just booed and booed and booed till you escaped.
Boozers are wondering why you didn't know the real situation. There are some complains that some ‘investakers’ are even subletting the land they acquired to develop. It is the same with those guys who buy our factors to end up turning them into godowns that keep illegals. If a Prof doesn't know such simple and open issues, he or she must be doomed. The right thing boozers can do to him or her is to just boo and jeer at such a creature.
When I remember and compare what I read in your book, “Poverty and Social Exclusion in Tanzania”, to what you’re doing as a minister, I truly end up disheartened and marveled. As the sage has it, is it better said or written than done?
I also read your paper in the International Development Magazine titled, “AIDS and Economic Welfare in Peasant Agriculture: Case Studies from Kagabiro Village, Kagera Region, Tanzania.” You wrote,
“Economic reforms introduced in 1986 in the context of the World Bank supported economic recovery Programs have led to the liberalization of agricultural services and thereby improve farm prices by breaking the monopoly previously enjoyed by the state- controlled market institutions.” You’re dead right prof. You’d not let people of Kapunga monopolize the farm whose price is attractive especially to investors who can offer you kitu kikubwa and kidogo so as to forget those earthlings.
True, had these fyatus read your publications, they’d not have thought that you’d support them by frying an investor. I wonder. Why didn't they see that your all eyes were on the investor instead of being on them! One thing many, especially those who goof, don’t underscore is the fact that being referred to as a prof is only a big deal in Africa. One boozer left us shocked when he dressed professors down just easily saying, “Sometimes I don’t see the border between professors like Ju-ma Kapuyanga who’s alleged to have raped a girl recently, J4 Majembe who messed every docket, Kajuamlo, Sossie Muhongo who’s messing our gas currently and many more and quacks like Maji Marefu.”
Before going on I heard another boozer saying, “Wewe, don’t mess up with nshomile profwesor.”
The guy replied, “Go way. Yes she might be. Her actions dress her down. Do you remember how she changed stances?”
Another asked how, “She firstly agreed that the investor had all rights to the land in dispute. Thereafter, she changed her statement and said there were mistakes in issuing a title. How and when did she know this new truth? My foot! Bribe’s behind all this sellout. How can professionals make such grave mistake?”
In a nutshell, boozers wanted the major question to be answered before reaching to the conclusion that there were some mistakes in issuing the title deed. Logically, how does the prof know that it’s a mistake but not a deliberate move to mint and print money by those who issued the title deed? Mistaking a thousand of hectares easily?!!!! Rushwa tupu! Mtazomewa sana tu. Kapunga’s but a drop in the ocean of corruption.Source: Thisday Jan 13, 2013.
↧
Breaking news!!! Hashim Saggaf afariki dunia leo
Hashim Saggaf (Pichani juu) mbunge wa zamani wa Dodoma Mjini CCM hatunaye tena. Taarifa toka kwa jamaa wa marehemu zinadai Saggaf amefariki japo hazikwenda kwenye undani wa nini kilisababisha mauti yake. Tunaipa pole familia ya marehemu.

↧
Ni kwanini serikali inamwogopa Kisena?
Nyingine ni ile hali ya kuweza kuvamia viwanja vya watu na kuvifanya vyake. Tatu ni ile tabia yake ya kudharau amri za mahakama, si mara moja wala mbili.
Nne ni ile hali ya kuwa chambo kinachosemekana kutumiwa na mtoto wa kigogo mmoja mwenye madaraka ya juu nchini, ambaye muda si mrefu ataanikwa hadharani ili historia baadaye imuhukumu ipasavyo ili liwe somo kwa wengine.
Kisena huyu ni mtata kweli kweli kama alivyoibuka kupitia utatanishi. Sijui kama huyu Bob ndiye Jokala aliyefukuzwa Mirambo Sekondari kwa usaliti au yule Jokola wa Nsumba Sekondari kule Mwanza.
Sijui kama ni huyu huyu Kisena aliyedaiwa kuwanyonya wakulima wa pamba Kanda ya Ziwa au yule aliyedaiwa kupewa upendeleo wa kusafirisha mahindi kutoka Mkoa wa Ruvuma kwenda Arusha.
Sijui kama ndiye huyu huyu aliyeumbwa na mwanasiasa mmoja wa upinzani aliyewahi kuvuma kwenye eneo la Kanda ya Ziwa huku akinawirishwa na waziri wa zamani toka mkoa mmoja wa kati mwenye kukumbwa na kashfa ya kubaka.
Sijui ni huyu huyu Kisena aliyekuja kufunga ndoa na waziri mmoja wa zamani toka jimbo mojawapo la Jiji la Dar es Salaam wakashirikiana kwenye unyakuzi wa UDA?
Na mwisho sijui kama ni yule yule aliyefunga ndoa na mtoto wa kigogo (…) kama inavyosemekana.
Je, Bob huyu huyu ndiye mwenye jeuri ya fedha hizi kiasi cha kudharau hata mahakama au ni chambo tu wenye mali wamejificha nyuma yake?
Kuna haja ya kumtafiti huyu jamaa tuone hiyo pesa aliyonunulia UDA kaipata lini na wapi na kwa njia ipi!
Tatizo la taifa letu kwa sasa ni kuendekeza mfumo wa kijambazi ambapo wenye madaraka, wake zao, watoto wao, hata marafiki zao wamebariki jinai.
Mtu hajulikani anakotoka, kisha anakuwa bilionea na hakuna anayehoji kama ni jambazi, muuza unga, fisadi, mfanyabiashara halali au kibaraka wa wakubwa!
Nani atahoji iwapo wanufaika ndiyo wenye mamlaka? Je, mamlaka yao yakikoma watajificha wapi? Je, kila mkubwa ajaye atakuwa rahisi na fisadi wa kuwalinda kama walivyolindwa wale waliopita?
Kisena amenikumbusha kisa cha Giriki mpumbavu aliyewahi kutamba kuwa serikali ya awamu ya kwanza ilikuwa mfukoni mwake. Baada ya baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyesifika kwa usafi na ulevi wa maadili kupata habari zake kwenye vyombo vya habari kutokana na tabia yake ya kujisomea na kuandika na si kusomewa wala kuambiwa, aliamua kumuita na kuhoji ukubwa wa fuko lake linaloweza kumeza serikali nzima.
Nyerere hakumkawiza. Alimfurusha Giriki mpumbavu na limbukeni bila kujali kama alikuwa mwekezaji au mchukuaji. Huu ndiyo ulikuwa mwisho wa stori ya Giriki huyu mwenye majivuno.
Tukija kwa Kisena anayeweza kudharau amri ya mahakama, tunashangaa ni kwanini Rais Jakaya Kikwete hajasoma habari yake. Je, ameisoma au bado kweli hajaisoma? Je, rais wetu hasomi magazeti? Hata mashushushu wake?
Je, amesoma au kuambiwa akaamua kuminya kiasi cha kuacha mhimili mmojawapo wa dola udharauliwe jambo ambalo linainyang’anya serikali yake uhalali licha ya kuidhalilisha, kumdhalilisha rais na taifa zima kwa ujumla?
Je, serikali yake iko kwenye fuko la Giriki huyu wa Kiswahili? Je, inakuwaje wananchi waendelee kushuhudia kufuru zake wasichukue hatua?
Amejipatia UDA kwa bei ya kutupwa huku umma unaangalia kana kwamba UDA si mali yake.
Je, nani anampa kiburi Kisena? Ni mkuu gani au mtoto hata jamaa yake? Je, Kisena ni kuwadi ilhali wenye mali kiasi cha kudharau mahakama ni wakubwa wasiopenda kujulikana?
Ukidharau mahakama (contempt of the court) unatenda kosa la jinai ambalo huadhibiwa kisheria. Je, ni kwanini mahakama imenywea? Je, kwanini serikali imenywea? Je, inatoa picha gani kwa wengine wenye fedha au mahusiano na wakubwa mafisadi kama katika sakata hili? Uko wapi utawala wa sheria?
Anatumia polisi kulinda uvunjaji wa sheria. Rejea maneno ya ofisa wa juu wa polisi wa kituo cha polisi cha Chang’ombe: “Hivi nyie mnajua UDA ni ya nani? Mnataka kuhatarisha ajira yangu, kama Nchimbi ameng’olewa, mimi ni nani?” Je, kwa kuhoji watu kama huyu mkubwa wa polisi aliyejitetea kuonyesha utata wa mhusika hawezi kubanwa akaeleza anachojua juu ya nani anamilki UDA kwa sasa?
Je, ni kwanini watu kama hawa ambao wamenukuliwa na vyombo vya habari wanaachwa bila kuhojiwa ili kusaidia kutatua kitendawili hiki? Ajabu Takukuru bado wako kimya hawataki kuingilia kana kwamba hili haliwahusu!
Japo taifa letu kwa sasa lina uhovyo wake kama vile kuzidi kuongezeka kwa ufisadi, bado hatukupaswa kujiruhusu kufikia kiwango hiki. Kuendelea kushuhudia Kisena akidharau mahakama ni kuwapa wengine kama yeye kuidhalilisha tena na tena huku wakipoka haki za wananchi jambo ambalo linaweza kujenga ustaarabu wa wananchi kujichukulia sheria mkononi kama ilivyotokea hivi karibuni kule Kanyama, Mwanza ambapo Mwenyekiti wa zamani wa CCM wa Mkoa wa Mwanza aliuawa kinyama na wananchi wenye hasira.
Ni rahisi kufika kule hasa tukiendelea kuwafumbia macho watu wachache wanaojiona wako juu ya sheria kutokana na uswahiba wao na wakubwa.
Tumalizie kwa kuitaka serikali iige mfano wa Mwalimu Nyerere wa kumkamata Giriki na kumfurusha. Mahakama nayo isingoje kutetewa bali iamke na kusimama kwa miguu yake hasa ikizingatiwa kuwa huitwa ‘extra debito judiciae’, yaani chemchem ya haki.
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 13, 2013.
↧
↧
Alexandre-Ferdinand Nguendet rais mpya wa CAR
↧
Utabiri wa mwaka 2014
Ufuatao ni utabiri wa Shehe, Maalim, Nguli, Ustaadh, Alhaj, Dk, Profesa Mpayukaji Msemahovyo njukuu wa Msemakweli wa Waambie Waelewe katika kile ambacho wataalam wa nyota huita al khabar mutawatir.
Kwa taaluma yangu ya ilm al mubashir al nujm al maarif na shams ul maarif al kubra na ilm huroof. Mimi ni nguli katika sayansi iitwayo An-Najm uth-Thaqib na madude mengine mengi yenye majina magumu.
Kwanza, naomba msamaha kwa kuchelewesha utabiri huu tofauti na mazoea. Kwani huu utabiri ulipaswa kutoka tarehe moja Januari ila kutokana na udhuru haikuwa hivyo. Unaposoma utabiri huu ujue unasoma kitu ambacho kiliandikwa mwaka jana kwa ajili ya mwaka huu.
Natabiri kuwa kutakuwapo ongezeko la wizi wa mali ya umma a mbao utafutatiwa na ngurumo toka Karatu na kwingineko. Zile ngurumo zilizokuwa zikisikika toka Kigoma, Arusha na Iramba zilikuwa ni danganya toto. Ili kuepukana na mvua ya ufisadi na wizi wa mali na fedha ya umma lazima ngurumo zisikike toka nchi nzima.
Natabiri pia kuwa kutakuwa na ongezeko la ujangili na utoroshaji wa nyara na fedha za umma ughaibuni. Nyota zinaonyesha kuwa mali hizi zitapelekwa India, China na Mashariki ya Kati. Natabiri kuwa majangili wengi watakaoshiriki kuua na kusafirisha nyara hizi watakuwa wageni wakishirikiana na wenyeji wakiwamo hata ndata na baadhi ya maafisa wa serikali.
Kutakuwa na mafuriko kuanzia ya mvua hadi bidhaa na dawa feki. Mafuriko haya licha ya kuathiri wengi yataua wengi kama hatua za kuyadhibiti zisipochukuliwa haraka.
Natabiri kuwa atakufa kiongozi king’ang’anizi wa muda mrefu upande wa kusini.
Natabiri kuwa kuna ndoa moja ya mkeka ya kisiasa upande wa pili na ule mwingine iliyodumu kwa muda sasa itavunjika kutokana nammoja wa wanandoa kuona muda umemuacha na nyota yake inazidi kuchafuka kiasi cha kuhitaji kusafishwa.
Natabiri kuwa wanasiasa wataendelea kuumbuka huku wale waliojiona wanaweza kutumia ujana wakiangushwa na wazee. Wale wenye majina yanayoanza na Z, K, P na M wakae mkao wa kuadhirika. Hata chama dume kitakuwa na wakati mugumu wa kumeguka na kuchakaa kiasi cha kunyang’anywa tonge kama uchaguzi ufuatao hautahusisha uchakachuaji. Vyama vyenye majina yanayoishia na M, F, I viko hatarini. Vyama vyenye majina yanayoishia na A vina nafasi kubwa ya kufanya maajabu.
Natabiri kuwa kutakuwa na mgawanyiko mkubwa kwenye vyama vyenye kuishia na F na M kutokana na ima kuchokwa kwa viongozi wake au kuparaganyika kwao.
Pia natabiri kuwa kutakuwa na kashfa nyingi zinazowahusu wake na watoto wa watawala zitafumka kiasi cha kutishia mstakabali wa tawala za wazazi au waume zao.
Natabiri kuwa mwanasiasa mmoja mkubwa mwenye cheo kikuu ataanguka na afya yake itazidi kuwa mbaya kiasi ambacho si rahisi kujua nini kitakachofuatia kati ya kifo na uzima.
Natabiri kuwa waziri wa masuala ya njululu atakufa baada ya kuugua muda mfupi tena akiwa ugenini akitibiwa.
Natabiri kuwa kutakuwapo ongezeko la madudu kiutawala likiandamana na kutupwa watoto wengi mitaani.
Natabiri kuwa watazuka wagombea wengi wa urais ima wenye utata na kashfa au wenye kutumia majina ya baba zao. Wengi watakuwa na majina yanayoanza na herufi J, E, H na A. Hata hivyo, umma utawakataa na kuwazodoa kwa vile hawana sifa yoyote zaidi ya majina ya wazazi wao na tamaa ya kutaka kuufanya utawala kuwa wa kifalme wa kurithishana.
Natabiri kuwa gharama za maisha zitapanda kiasi cha watawaliwa kuwachukia watawala huku vitendo vya kujichukulia sheria mkononi vikiongezeka. Mawaziri wengi watazomewa kila watakapoenda kufanya ubabaishaji kuanzia Mbeya kwa warusha mawe. Natabiri kuwa kukutakuwa na ulannguzi mkubwa wa nishati kutokana na kuwapo kwa mikataba ya kijambazi.
Natabiri kuwa wenye nyumba wengi waliojaa mijini kwenye vibanda vyao watakimbilia mashambani na kuwaachia wapangaji au kuuza kabisa. Kwa jiji la Dar es Salaam natabiri wenye vibanda wataviuza na kwenda kujibanza Uzaramoni mashambani kutokana na ukali wa maisha.
Natabiri kuwa kutakuwa na ongezeko la wasanii hasa wale wa kisiasa ambao mustakabali wao utakuwa mahakamani lakini si kwenye vyama vyao.
Natabiri kuwa kutakuwa na ongezeko la ndata kujihusisha na uvunjaji sheria kama vile utekaji magari, ujambazi hata ujangili ukiachia mbali Jeiwii kuwaonea wachovu kwa kuwapiga wakigombea mambo ya kipuuzi kama mabibi na kadhalika.
Nataibiri kuwa kutakuwa na mapigano kwenye nchi moja changa ambayo yatasababisha vifo vingi na ukatili mkubwa upande wa kaskazini.
Natabiri kuwa vyama tawala vingi vitapoteza madaraka au kuwa na serikali zinazohusisha wapinzani.
Natabiri kuwa kiongozi mmoja wa juu atatumia pesa nyingi kwenye safari zisizo na umuhimu kwa walipa kodi. Nyota yake inaonyesha kuanza kufifia kiasi cha kuhisi kuwa anapaswa kuanza kutafuta mahali pa kuwekeza iwapo lolote litatokea.
Natabiri kuwa mwaka huu utashuhudia kuzidi kuzama kwa ilm kwenye ngazi zote kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu. Rushwa ya ngono na shahada za kughushi vitaongezeka huku ajira za kujuana zikizidi kuongezeka pia.
Natabiri kuwa wasani hasa wanamuziki na wachungaji wengi wanaotumia joho la sanaa na neno la Mungu watajikuta kwenye kashfa za kusafirisha mihadarati.
Natabiri mgosi Machungi atahamia Ushoto huku Mpemba akizamia Dar es salaam ili aongeze vitegemezi. Natabiri kuwa Kanji atakwenda India na kukuta surprise ya mwaka ambapo bi mkubwa wake atakuwa amemuongezea vitegemezi vitatu toka mtaani huku bi Sofi ataongeze mkorogo mpaka aungue na kuumbuka. Natabiri Msomi Mkatatamaa atatangaza nia ya kugombea urais mwaka 2015 kwa chama chake kiitwacho People’s Help and Development (PhD).
Natabiri kuwa wale wanaojigamba kuiweka polisi mifukoni mwao, mifuko yao itapasuliwa na nguvu ya umma. Mipawa na Kapende watatabiriwa baadaye.
Mnakaribishwa ofisini kwangu na utabiri ni bure isipokuwa ukitabiriwa kifo unaacha hati ya nyumba, gari hata talaka ya bi mkubwa.
Ofisi ziko Manzese mitaa ya kati nyumba namba 666.
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 15, 2013.
↧
Hivi Lowassa na ulanguzi umeme bado anaota urais?
Kwa wanaokumbuka ndoa ya waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa na kampuni la kitapeli la Richmond lililosababisha atimuliwe madarakani, hawana shaka kuwa ndoa hii haiwezi kuvunjika. Hata ikivunjika, bado mirindimo na legacy yake haviwezi kumuacha Lowassa huru. Kama kongwa shingoni, Richmond itaendelea kumuandama Lowassa hadi kaburini. Huu ndiyo ukweli.
Hivi karibuni Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) liliomba Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuliruhusu kupandisha bei ya umeme kuanzia Januari 2014 na 2014 kwa kiwango cha aslimia 40. Hii si habari njema kwa watanzania hasa wale akina yakhe ambao mizigo ya utawala imeishawajeruhi vibaya sana. Binafsi niliposoma habari za ulanguzi huu wa umeme, picha ya kwanza niliyoiona ni ya urais wa Lowassa ukiyoyoma. Niliona ulanguzi huu kama msumari wa mwisho kwenye kaburi la Lowassa kisiasa. Nina sababu za kuona picha hii.
Kwanza, licha ya kuwakumbusha watanzania kashfa iliyosukumizwa chini ya busati ya Richmond, upandishaji bei za umeme ambao kimsingi ni ulanguzi, unawakumbusha skandali nzima kama vile ilitendekajana.
Pili, kupandisha umeme, mbali na kuamsha kumbukumbu za watanzania, kutaamsha hasira zao hasa ikizingatiwa kuwa akina Lowassa, licha ya kujinadi kutaka kugombea urais, wanaendelea kuwakoga kuwa urafiki wao na wenye madaraka si wa kukutana barabarani. Hii ndiyo siri ya Lowassa kutofikishwa mahakamani hata baada ya kukiri kuhusika na Richmond. Rejea alivyopewa kitanzi cha kujipima na kuamua na kweli akaamua kuachia madaraka ikiwa ni ushahidi kuwa alihusika vilivyo na kashfa hii.
Wapo wanaokwenda mbali na kusema kuwa Lowassa hakupenda kuwajibika. Kilichomsukuma ni kunusuru serikali ya rafiki na mshirika wake rais Jakaya Kikwete.
Pili, ni kuepuka yasifumuliwe mengi ambayo mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza kashfa hii Dk Harrison Mwakyembe alisema kuwa kama wasingeficha baadhi ya mambo nchi isingetawalika. Na kweli, baada ya akina Mwakyembe kuficha waliyoficha walipewa vyeo kama malipo ya fadhila. Samuel Sitta, spika wa bunge aliyeanzisha mchakato ule alinyamazishwa kwa kupewa uwaziri sambamba na Mwakyembe huku mjumbe mwingine Stella Manyanya akipewa ukuu wa mkoa.
Japo kugombea urais ni haki ya kila mtanzania, kuna haja ya wale wanaotaka kufanya hivyo kujipima. Leo tutatoa ushauri wa bure kwa Lowassa kuwa anafaa kujipima na kufanya maamuzi magumu ambayo ni kuachana na ndoto za urais. Sidhani kama watanzania waliwahi kumsamehe kwa harasa na karaha aliyowatia. Maana huu upandishaji holela wa bei za umeme ni matokeo ya kazi ya mikono ya Lowassa na wenzake aliowafia msalabani ili kuwakoa.
Bahati nzuri Lowassa amekuwa bingwa na mwalimu wa kuwaambia wenzake wafanya maamuzi magumu. Naye anapaswa kufanya maamuzi magumu hayo hayo kwa kuwekeza kwenye kujisafisha au kueleza ukweli na kuomba msamaha badala ya kuotea urais akidhani watanzania watakuwa wepesi wa kusahau hivyo.
Kimsingi, mzigo wa ugumu wa maisha utokanao na ulanguzi wa nishati unaowakabili watanzania kwa sasa una mkono wa Lowassa. Lowassa hawezi kukwepa lawama ingawa amekuwa akijtahidi kujisafisha kwa kutoa matamko yanayoonekana kuwatetea wanyonge ukiachia mbali kumwaga mamilioni ya shilingi ambayo haelezi alivyoyapata. Wapo wanaoona kuwa anachofanya Lowassa ni sawa na kumuua samaki halafu ukatumia minofu yake kuwalisha samaki wengine. Tofauti ni kwamba fedha anazomwaga Lowassa zinatokana na hao hao anawapa. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa ukiona mtu anawanunua wenzake jua naye amenunuliwa. je ananunua nini kama siyo kujenga mazingira ya kujilipa baada ya kupata madaraka ambayo yamegeuka biashara kubwa yenye kutengeneza utajiri haramu haraka? Natamani Lowassa ajitokeze na kukanusha madai yangu ili nimuumbue zaidi. Najua hatafanya hivyo. Kama kawaida yake, atasoma na kupuuzia akidhani tatizo litajiondoa, ataendelea na umbuni wake ambaye huona adui akaficha kichwa mchagani akidhani na adui atafanya hivyo wakati siyo.
Wanaompenda na kumtakia mema Lowassa wanamwambia wazi wazi kuwa hafai ingawa hapendi kusikia ukweli huu: Achana na urais na ashukuru Mungu kwa rafiki yake kumwepusha na kesi mahakamani. Je watanzania ni wasahaulifu au mataahira hivyo wamzawadie mtu aliyewaingiza kwenye matatizo kama yeye? Ni ajabu kuwa Lowassa katika matamko yake ya “kuwatetea” aliowanyonga na kuwateketeza kwenye dili la Richmond haongelei ufisadi na ulafi unaoangamiza taifa letu. Nadhani kama Lowassa anataka kuwatendea haki wanyonge, basi ajadili mambo muhimu hasa ufisadi, wizi, rushwa, kulindana, kujuana na mengine kama hayo. je anao udhu wa kufanya hivyo? Thubutu!
Japo Lowassa amekuwa akiwalaumu maadui zake kuwa wanahujumu mipango yake ya kumrithi rafiki yake, anapaswa kujilaumu na kukubali ukweli kuwa alichofanya hakiepukiki. Kama kuna mtu ameamua kumuumbua Lowassa na kuzamisha ndoto zake za kuwa rais si mwingine bali aliyetoa wazo la kupandisha/kulangua umeme hasa kipindi hiki tunapokaribia uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.
Lowassa si kwamba hafai tu kugombea achia mbali kuwa rais, hata atakayemuunga mkono atamponza. Japo ana mtandao mkubwa, sambamba nao anayo dhambi kubwa ya kuhujumu watanzania kwa kuwaingiza kwenye matatizo yasiyokwisha ya mgao na ulanguzi wa umeme wa kila mwaka. Ana mzigo wa kusababisha maisha magumu kwa watanzania. Maana unapopandisha bei ya umeme unasababisha kila kitu kipande kiasi cha maisha ya watanzania wa kawaida kuzidi kuwa magumu. Kinachofanya dhambi ya Lowassa iwe kubwa zaidi ni ile hali ya yeye kuendelea kutesa akimwaga mamilioni ya pesa huku watanzania wakifa kwa magonjwa yanayozuilika na ambayo serikali ingeweza kuyatokomeza kama si kuruhusu madudu kama Richmond ukiachia mbali mengine kama IPTL. Lowassa hana pa kukimbilia. Ataendelea kuandamwa na jinamizi la Richmond linalosababisha maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu na kukosa maana.
Kwa machache haya, je pamoja na kupanda na kulangua umeme Lowassa bado ana ndoto ya urais? Je watanzania watakubali kuchagua mtu ambaye alishawaumiza ili awaumize zaidi?
Chanzo: Tanzania Daima Jan., 15, 2013.
↧