Barua kwa waliofyatuliwa na Tarampu
Kwanza, nawasalimia kabla kuwafyatua lau mfyatuke muwafyatue waliofyatua hadi mkakufyatuliwa na shida mkakimbilia kwa Tarampu aliyefyatuka na kuwafyatua. Nilimwandikia barua. Hajanijibu. Pili,...
View ArticleChunga usiolewe majuu ukidhani umeoa!
Kisa cha jamaa yetu toka tena kwetu Tanzania (mji hatutaji) kinafikirisha na kufundisha kwa wale ambao hawajaingia mkenge kama huyu bwana. Akiwa amesikia mazuri mengi juu ya kuukata kwa kwenda majuu,...
View ArticleNo reforms, no elections ilhali tushageuzwa na kuchakachuliwa!!
Mjini hakuna stori ya no reforms no elections, kwa kisambaa, hakuna mageuzi, hakuna uchaguzi. Kwanza, sijui kama mafyatu waliofyatuliwa na shida wanaweza kufyatuka wakawafyatua wawafyatuao. Wapo...
View ArticleChunga yasikukute ya Aziz na ndoa ya majuu
Aziz ni kijana wa miaka 24 wa Kipalestina aliyekimbia udhalilishaji kwao akaishia kudhalilika majuu. Kisa cha Aziz kinafikirisha, kusikitisha, na kufundisha. Wapo wengi kama Aziz walioharibikiwa maisha...
View ArticleSasa Kanji nafyatuka nageuka fyatu dugu yangu!
Juzi natoka Bombei ona mama na toto. Iko furahi kuba sana. Naacha toto moja. Nakuta mama nakwisazaa toto sita. Yote faida. Nakaa Bombei. Woo! heva iko chafu veve hapana ona. Sikia tu. Nalala naota...
View ArticleTunashangaa, Tunashangazwa, na Kushangaza
Huwa nashangaa. Sijui kama nawe hushangaa kushangaza? Kama hushangai, unashangaza. Kama unashangaa, pia, unashangaza. Hata nami nashangaza kwa kushangaashangaa bila kufyatua. Huwa nashangaa kwa...
View ArticleTulifyatuliwa, tunafyatuliwa, tutafyatuliwe tena
Mwaka jana, Mkaguaji mkubwa wa njuluku za sirkal aka KAGO alitoa taarifa ya kuchefua baada ya baadhi ya mafyatu kufyatua mafyatu wote waliokataa kufyatuka wakafyatua wapigaji wakaishia kuufyata....
View ArticleShemeji, huwezi kumpiga mke wangu
Kisa hiki kinamhusu rafiki yetu. Siku moja, rafiki yetu alisimulia kuwa kulikuwa na mabishano juu ya suala la kifamilia baina ya mkewe na kaka zake wawili ambao ni mashemeji zake. Katika ubishi huu,...
View ArticleTusichachawe, kuchawishwa, tukachawishana
Kuna usemi wa hovyo. Kila nikiusikia, natamani nifyatuke na kuwafyua wadudu hawa wawe ni wadudu au ngurumbili waliofilisika kimawazo hadi kuwa hivyo walivyo hovyo. Msemo unaonichachefua na kunifyatua...
View ArticleWamefyatuka wanafyatuana mbele ya mafyatu!
Juzi tilishangaa sana. Mwe! Nani angeamini kuwa mafyatu wanene na wanono wangefyatukiana na kufyatuana hadharani? Unene kweli taabu japo una raha ya kula bila kutoa jasho! Si fyatu mmoja aliyekaribu na...
View ArticleUmuhimi wa Wanandoa Kutunza Siri
Kuna busara wakati wa kuwafunda wanawali katika jamii moja nchini Uganda isemayo kuwa wanapoolewa lazima wajifunze kufunga miguu na kufungua macho badala ya kufungua miguu na kufunga macho. Hii...
View Article‘Niite’ Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere
Juzi nilimsikia tapeli na zwazwa mmoja akijita kitegemezi cha mzee Nchonga (RIP). Ajabu, nasi mafyatu wake tuliufyata tukafyatuliwa utadhani huu si utapeli. Haraka haraka, niliwasiliana na Madaraka...
View ArticleNapanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu
Sihitaji ubongo tena. Kwanza, umenifyatua nikafyatua wengine hadi wanatishia kunifyatua kwa kuninyotoa roho. Ubongo umesababishe kero na hatari hadi nikageuka machukizo ukiachia kujiudhi mwenyewe....
View Article