Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3187

Angalia watawala wetu wanavyotula

$
0
0

Kuna taarifa kuwa viongozi wastaafu wanatengewa pesa nyingi kuliko baadhi ya wizara. Hii imefichuliwa na vyombo vya habari hivi karibuni. Wengi huwa tunajiuliza, kwanini watumishi wengine wa umma wanaostaafu wanaachwa wajifie huku viongozi na wake zao wakiendelea kutunyonya na kutanua huku sisi tukiteseka? Huu licha ya kuwa uroho na roho mbaya, ni ujambazi wa wazi unaofanywa na wanajiita wenye madaraka. Je ufisadi huu wa kimfumo ambao umegeuka ukoloni mamboleo ukitekelezwa na wakoloni weusi utakomeshwa na nani na lini kama siyo sisi na sasa? Je umma unaridhika na wizi huu wa mchana chini ya dhana ya viongozi wastaafu? Inashangaza na kusikitisha zaidi kukuta kwenye orodha ya viongozi wastaafu kuna watu kama Edward Lowassa ambaye aliachia madaraka bila kufikia muda unaopaswa kisheria ukiachia mbali kuondoka kwa kashfa iliyolisababisha taifa hasara ya mabilioni ya fedha. Inaumiza kukuta mijitu kama Benjamin Mkapa anayejulika wazi kujitwalia Machimbo ya Makaa ya Mawe ya Kiwira na mkewe aliyeliibia taifa kuendelea kuongezewa pesa itokanayo na kodi ya mlipa kodi maskini waliyemwibia. Je tumegeuka taifa la hovyo na kuridhika na hali hii? Tafakarini.
Kwa habari zaidi BOFYA hapa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3187

Trending Articles


Vimeo 10.7.1 by Vimeo.com, Inc.


UPDATE SC IDOL: TWO BECOME ONE


KASAMBAHAY BILL IN THE HOUSE


Girasoles para colorear


Presence Quotes – Positive Quotes


EASY COME, EASY GO


Love with Heart Breaking Quotes


Re:Mutton Pies (lleechef)


Ka longiing longsem kaba skhem bad kaba khlain ka pynlong kein ia ka...


Vimeo 10.7.0 by Vimeo.com, Inc.


FORECLOSURE OF REAL ESTATE MORTGAGE


FORTUITOUS EVENT


Pokemon para colorear


Sapos para colorear


Smile Quotes


Letting Go Quotes


Love Song lyrics that marks your Heart


RE: Mutton Pies (frankie241)


Hato lada ym dei namar ka jingpyrshah jong U JJM Nichols Roy (Bah Joy) ngin...


Long Distance Relationship Tagalog Love Quotes