
Sina ugomvi na utanuaji wa Kikwete. Tabu yangu siku zote ni ile hali ya kuficha wale anaoandamana nao utadhani kuna soo! Au kuna watu wasiopaswa kwenda kutanua kwa njuluku za umma wanaopenyezwa kwenye msafara wa bwana mkubwa ambao umegeuka kuwa top national security agenda?