Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

Zuma apatikana na hatia ya kutumia pesa ya umma kwa matumizi binafsi

$
0
0

 Taarifa ya Mlinzi wa Umma (Public Protector)  Thuli Madonsela imebainisha kuwa rais Jacob Zuma alitumia jumla dola 23,000,000 kwenye makazi yake binafsi huko kwao Nkandla. Wakati kashfa hii ikifumka, Zuma anakabiliwa na mashitaka mengine ya kulidanganya bunge na taifa pale aliposema kuwa hakuna pesa ya umma iliyotumika kwenye ujenzi wa makazi yake ya kifahari. Alidanganya kuwa makazi yake yamejengwa kwa pesa yake wakati si kweli. Hata hivyo, chama chake cha ANC kinaonekana kuendelea kumtetea kwa vile kinatawaliwa na mafisadi karibu katika kila ngazi.  Zuma anazidi kuwa mzigo kwa ANC hasa ikizingatiwa kuwa hii si kashfa ya kwanza. Amekuwa akipangua kashfa moja baada ya nyingine kuanzia ubakaji, ufisadi,uongo, matumizi mabaya ya fedha za umma na nyingine nyingi. Hao ndiyo viongozi wetu. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173