Kwa wale ambao hawakubahatika kuona jinsi uovu usivyolipa, nawaletea video ya mateso ya Samuel Kanyon Doe aliyesifika kwa wendawazimu na tamaa ya madaraka asijue malipo ni hapa hapa duniani. Naomba msamaha kutokana na taste ya kila kitu ila huo ndiyo ukweli. Si vibaya kusikia muziku mkubwa alioimbishwa mbweha huyu aliyejiona ni mali kuliko wengine asijue madaraka ni mapito na cheo ni dhamana. Je unapata somo gani?
↧