Wakati kashfa hii ya magendo ikifichuka nchini Zimbabwe, nchini Uganda mkwe wa rais Yoweri Museveni aitwaye Odrek Rwambogo (Pichani chini) anatuhimiwa kutaka kumhonga mgombea wa upinzani jumla ya dola za kimarekani 630,000 ili ajitoke kwenye kinyang'anyiro kwenye eneo lillogunduliwa mafuta la Bunyoro.
Kwa taarifa zaidi BONYEZA HAPA.