Hotuba nzuri ingawa sikubaliani na hitimisho lake la kusema kuwa tuishi legacy ya Mandela kuhakikisha nchi maskini zinajikomboa kiuchumi. Angesema mwingine ningeamini ila si Kikwete bingwa wa kuvuja pesa yetu kulea ufisadi na kuwakingia kifua wauza unga majambazi na wawekezaji.
↧