Mke wa rais Salma Kikwete akimsikiliza mke wa waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Cherrie Blair huko Hoyoyo. Kwa walioona picha ya kuwasili kwa rais Obama na mkewe jinsi Salma alivyosimama kama mpambe huku Michelle akilazimika kuongea na Kikwete na mumewe kutokana na mwenyeji wake kutokiweza kimombo watajiuliza swali lile lile.Ni bahati mbaya kuwa Salma akishauriwa asipoteze muda kwenye usasi wa ngawira kupitia NGO yake ya WAMA na badala yake akajiendeleze,anaona wanaofanya hivyo kama wanamchukia au kumdharau wakati siyo. Je hawa wawili wanaelewanaje bila mkalimani?
Mke wa rais Salma Kikwete akimsikiliza mke wa waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Cherrie Blair huko Hoyoyo. Kwa walioona picha ya kuwasili kwa rais Obama na mkewe jinsi Salma alivyosimama kama mpambe huku Michelle akilazimika kuongea na Kikwete na mumewe kutokana na mwenyeji wake kutokiweza kimombo watajiuliza swali lile lile.Ni bahati mbaya kuwa Salma akishauriwa asipoteze muda kwenye usasi wa ngawira kupitia NGO yake ya WAMA na badala yake akajiendeleze,anaona wanaofanya hivyo kama wanamchukia au kumdharau wakati siyo. Je hawa wawili wanaelewanaje bila mkalimani?