.jpg)
Waingereza husema a picture speaks a million words. Sijui hii picha hapo juu inakukumbusha au kumaanisha nini? Wapo waliovuma wakavumishwa na mwisho wakaishia kuwa wala makombo. Wapo waliopaa wakaishia kukatwa mbawa na kuishia kuwa mabingwa wa kujikomba ili waweze kuishi. Hakika katika picha hii imenoga hasa kutokana na kuongezeka wengine watatu yaani profesa Ibrahim Lipumba, maalim Seif Shariff Hamad na 'mchungaji' Christopher Mtikila. Hakika ngoma ya kisaliti inogile!