Image may be NSFW.
Clik here to view.
Pichani ni mbunge wa Temeke (CCM) Abass Mtemvu akitoa box lenye zawadi za vikombe, vijiko. chupa ya chai na upuuzi mwingine kama mkono wa Idd. Unajiuliza, zawadi gani ina picha ya rais kama siyo rushwa ya Idd? Hata ukiangalia kinachoitwa zawadi ni udhalilishaji na umaskini mtupu. Viongozi wetu na wanasiasa wataacha lini kutukana dini kwa kuzitumia kisiasa?
Clik here to view.
