Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3175

Unajihisi vipi unapokuta kuwa taasisi yako ya umma imeajiri watu kidini au kikabila?

$
0
0



Tanzania ilisifika kuwa taifa lisilo la kikabila hata kidini. Watanzania tulizoea kuwacheka jirani zetu wa Kenya kwa kuendekeza ukabila. Tulizoea kuwashangaa wanigeria kwa kusumbuliwa na udini. Tulizoea kulaani jinai hizi. Ajabu ya maajabu ni kwamba kwa sasa Tanzania tunao udini na ukabila saa nyingine kuliko hata hao tuliozoea kuwacheka. Je unajisikiaje unapogundua kuwa taasisi inayoitwa yako na ya umma imeajiri watu wa dini au kabila moja simply because mkuu wa taasisi hiyo ni kutoka kabila au dini hiyo? Je tunao mawaziri na hata majaji wangapi wanaosemakana kuajiriwa kwa misingi ya udini au ukaribu wao kwa rais au mkewe? Shukuru Kawambwa, Adam Malima, Hawa Ghasia na wengine mnanipata? Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3175