Bila shaka watanzania kila mmoja kwa namna yake wanamkumbuka baba wa taifa marehemu Mwl Julius K Nyerere Burito. Gwiji huyu ni kama anaishi japo kimwili alitutoka siku nyingi. Tuzidi kumuombea baba yetu Mwl Nyerere apumzika mahali pema peponi Amina.
Bila shaka watanzania kila mmoja kwa namna yake wanamkumbuka baba wa taifa marehemu Mwl Julius K Nyerere Burito. Gwiji huyu ni kama anaishi japo kimwili alitutoka siku nyingi. Tuzidi kumuombea baba yetu Mwl Nyerere apumzika mahali pema peponi Amina.