Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

NI MIAKA 20 TANGU GWIJI NA NGULI JOHN NGEREZA WA LES WANYIKA ATUTOKE

$
0
0

KENYA

Japo alitoa mchango mkubwa katika burdani miaka ya 80 na 90, sijui kama kweli kuna kumbukizi lake. Hawa ndiyo majabari ya muziki yaliyofanya muziki uwe si burdani tu bali sehemu ya urathi wa mataifa na Afrika. Wimbo wa Sina Makosa hadi sasa unasifika utadhani uliimbwa jana. John Ngereza ni mmojawapo waliotoa burdani hii isiyo na kifani. Ama kweli, ya kale dhahabu.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173