Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3185

KATI YA KABWE NA MAALIM NANI ANAMDANGANYA NANI?

$
0
0
Image result for zitto kabwe and maalim seif
Kwa  wanojua historia ya Zitto Kabwe kiongozi wa chama cha ADC na aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharriff Hamad na namna walivyoweza kuibuka na kuzunguka kisiasa kabla ya kufikia walipo, atakuwa anashangaa sana ndoa waliyofunga wawili hawa. Seif anasifika kwa kumnyang'anya chama chake marehemu James Mapalala na kukimilki kabla ya kupokwa na rafiki yake wa muda mrefu aliyegeuka kuwa hasidi wake mkuu Prof Ibrahim Lipumba. Zitto naye anakumbukwa alivyotaka kuja juu kwenye chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Kwa historia na malengo yao, wawili hawa ni wajanja hata schemers. Sina Kiswahili chake. Je umefika wakati wa Kabwe kupokwa chama au Maalim kuonyeshwa mlango kwa mara nyingine? je nani anamdanganya nani? Na nani atamzidi kete mwenzie?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3185

Trending Articles


Presence Quotes – Positive Quotes


Vimeo 10.7.1 by Vimeo.com, Inc.


Girasoles para colorear


Love Quotes Tagalog


EASY COME, EASY GO


5 Tagalog Relationship Rules


“Mali man na ikaw ay ibigin ko, akoy iibig padin sayo”


RE: Mutton Pies (frankie241)


Vimeo 10.7.0 by Vimeo.com, Inc.


FORECLOSURE OF REAL ESTATE MORTGAGE


UPDATE SC IDOL: TWO BECOME ONE


Pokemon para colorear


Sapos para colorear


OFW quotes : Pinoy Tagalog Quotes


Tropa Quotes


“BAHAY KUBO HUGOT”


Re:Mutton Pies (lleechef)


Ka longiing longsem kaba skhem bad kaba khlain ka pynlong kein ia ka...


Long Distance Relationship Tagalog Love Quotes


HOY PANGIT, MAGBAYAD KA!