Quantcast
Channel: Free Thinking
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173

Waziri Mwakyembe Azindua Kitabu Changu

$
0
0

Jana Waziri  wa Habari, Sanaa, Michezo na Utamaduni Dkt Harrison Mwakyembe alizindua kitabu changu cha Kudos to President Magufuli mjini Dodoma. Katika ufunguzi huo ambao uliambatana na kuanza uuzaji wa kitabu, Mwakyembe aliwahimiza wananchi kukinunua na kuona mambo mengi makubwa na mazuri aliyokwishatenda rais John Pombe Magufuli. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3173