Huyu ni mchungaji au mchunaji? Tanzania na Afrika kwa ujumla zimegeuzwa shamba la bibi kwa matapeli kutajirikia kwa kutumia utapeli chini ya jina la Yesu na upuuzi mwingine. Kwanini jamii isiwachome moto sawa na vibaka hawa vibaka na mibaka ya kiroho? Je nini mawazo na maoni yako juu ya utapeli huu mpya?
↧